Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,398
- 2,990
Watanzania wenzangu, napenda kutoa angalizo muhimu sana. A political mercenary is a gun for hire!
Tufanyeni makosa mengine yote tunayoweza kufanya, lakini shime shime tusije tukaingia kwenye mtego wa kuruhusu matumizi ya mamluki kwenye chaguzi zetu!
Ni kawaida ya mamluki yeyote kukosa utiifu kwa nchi alikokodiwa kuendesha shughuli zake za mamluki. Yeye hasimamii maslahi ya nchi husika. Utiifu wa mamluki ni kwa mteja wake. Period.
Ukiingia kwenye mtego wa kuruhusu matumizi ya mamluki, umeingia kwenye shimo refu na lenye utelezi mbaya. Kumbuka, Robert Amsterdam sio political mercenary pekee aliyepo duniani. Wapo wengi.
Let’s assume nchi imeingia kwenye huu mtego na Bob Amsterdam amefanikiwa kumueka mteja wake madarakani. Huu sio mwisho wa ngoma ya aina hii. Ni ngoma ya watu wazima; inakesha! Huu utamaduni ukishajengeka, baadaye mwingine mwenye uchu wa madaraka, kama yule wa kwanza, naye atatafuta mamluki wake na before we know it, we’re back to the drawing board. Je, huu ndio utamaduni tunaotaka kuujenga? Tutakuwa nchi ya aina gani hiyo?
Utamaduni wa kukubali matumizi ya political mercenaries ni utamaduni unaopaswa kuogopwa kama ukoma. Tusije tukadhani mwaka jana U.S. Congress ilipochukua hatua ya kumuondoa madarakani Bwana Trump kwa makosa mawili, likiwemo la kuwatumia Urusi ili ashinde uchaguzi, ilifanya hivyo kujifurahisha. Wanatambua risk kubwa ya kuruhusu matumizi ya foreign powers kwenye chaguzi zao!
Tufanyeni makosa mengine yote tunayoweza kufanya, lakini shime shime tusije tukaingia kwenye mtego wa kuruhusu matumizi ya mamluki kwenye chaguzi zetu!
Ni kawaida ya mamluki yeyote kukosa utiifu kwa nchi alikokodiwa kuendesha shughuli zake za mamluki. Yeye hasimamii maslahi ya nchi husika. Utiifu wa mamluki ni kwa mteja wake. Period.
Ukiingia kwenye mtego wa kuruhusu matumizi ya mamluki, umeingia kwenye shimo refu na lenye utelezi mbaya. Kumbuka, Robert Amsterdam sio political mercenary pekee aliyepo duniani. Wapo wengi.
Let’s assume nchi imeingia kwenye huu mtego na Bob Amsterdam amefanikiwa kumueka mteja wake madarakani. Huu sio mwisho wa ngoma ya aina hii. Ni ngoma ya watu wazima; inakesha! Huu utamaduni ukishajengeka, baadaye mwingine mwenye uchu wa madaraka, kama yule wa kwanza, naye atatafuta mamluki wake na before we know it, we’re back to the drawing board. Je, huu ndio utamaduni tunaotaka kuujenga? Tutakuwa nchi ya aina gani hiyo?
Utamaduni wa kukubali matumizi ya political mercenaries ni utamaduni unaopaswa kuogopwa kama ukoma. Tusije tukadhani mwaka jana U.S. Congress ilipochukua hatua ya kumuondoa madarakani Bwana Trump kwa makosa mawili, likiwemo la kuwatumia Urusi ili ashinde uchaguzi, ilifanya hivyo kujifurahisha. Wanatambua risk kubwa ya kuruhusu matumizi ya foreign powers kwenye chaguzi zao!