Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 9,900
- 19,859
Kama nyie mnaojifaragua kwa ahadi feki za Amsterdam na twiti zake baada ya kutoka kulewa na mteja wake Mr MzunguMuda utasema.
Ass kissers wa Mugabe nao walikuwa wakitamba hivi hivi!
Kama nyie mnaojifaragua kwa ahadi feki za Amsterdam na twiti zake baada ya kutoka kulewa na mteja wake Mr MzunguMuda utasema.
Ass kissers wa Mugabe nao walikuwa wakitamba hivi hivi!
Tuliambiwa Tindu atahutubia bunge la ulaya. Kumbe imebadilika!!Ameandika hivyo katika akaunti yake ya twitter:
Excellent news! The situation in #Tanzania will be discussed in @Europarl_EN on Thursday. Looking forward to the hearing, the world needs to know Tanzania is becoming a dictatorship under Magafuli! The fight for democracy continues. Will share the streaming link in due course.
Ngoja waendelee kujifariji ili wasianguke kwa presha; maana kile kipigo cha Oktoba 28 ni "Unforgettable Kick!"Mateso,shida na tabu zako zinakuhusu wewe na ukoo wako. Kama unasubiri mzungu yeyote aje kumaliza shida zako upeo wako wa kufikiri upo chini sana no wonder unashinda unatafuta nani ka tweet nini ulete Jamii Forums mshangilie na mapimbi wenzako. Hivi huwa hujishtukii kushinda FB,Twitter, JF unatafuta habari ya kukupa matumaini!!!??????????...., Mimi ndugu zangu wenye akili za kushinda wanalaumu serikali badala ya kutafuta solution ya maisha yao hata kwenye contacts nimewadelete. Tunajenga taifa la vijana wawalalamishi na WAPUMBAVU.
Kwahiyo mnaamini ulaya watamwondoa Magufuli!?,uchaguzi utarudiwa?,tutawekewa vikwazo sababu Lissu kakimbia nchi!??... Nyote hamna akili kabisa.
Sasa Hii ndio Umeandika Nini.Mungu awabariki MABEBERU/WANAUME zake JIWE.
Hata kama zingeguswa kama ilivyokuwa Simbion etc hawana ubavu sasa. Wameshindwa kumweka JPM kwenye tuviganja twao twa kinafikiMababeru hawawezi kuchukua hatua yoyote kwa sababu interest zao hazijaguswa
Hakika wala hujakosea sijui ilikuaje mwenyekiti wa CCM Taifaalipomuona yule mzungu wa Barick alisema huyu jamaa ni mwanaume haswa.Sasa wewe mwenyewe ulishajizira, utajilinganishaje na mzungu.
Yani kwa wanachadema, mzungu ni mtu ila wao ni nyani.
Bora awape nguvu wazungu na sio JPM hatufai kabisa. Mtu ambae hana utu hana maana isipokuwa kwa wale tu wanaofaidika na uwepo wake.Makamanda kaeni msubiri mabeberu watawasaidia.
Tanzania kama taifa linasongambele kwa kasi.
Mungu azidi kumpa nguvu JPM azidi kuwapiga spana mpana muombe poo.
Bora awape nguvu wazungu na sio JPM kwani hatufai kabisa.Mtu ambae hana utu hana maana isipokuwa kwa wale tu wanaofaidika na uwepo wake.Makamanda kaeni msubiri mabeberu watawasaidia.
Tanzania kama taifa linasongambele kwa kasi.
Mungu azidi kumpa nguvu JPM azidi kuwapiga spana mpana muombe poo.
Kwa akili hizi bora upinzani muwe na mbunge mmoja tu bungeni anawatosha. Mnawaza ugolo tu vichwani ndo maana mnasubiri ukombozi kutoka kwa Amsterdam. Endeleeni kusubiri embe chini ya mnazi.Sawakabisa mke wangu mzuri wala hujakosea,hebu tangulia chumbani nije nikupooze hasira kwa protin za kutosha.
Waafrika hawawezi kujitawala Wala kujiongoza.Asanteni rafiki zetu Wazungu maana Waswahili tumebakia kuvunjana miguu sisi vs sisi!
Kwa akili hizi bora upinzani muwe na mbunge mmoja tu bungeni anawatosha. Mnawaza ugolo tu vichwani ndo maana mnasubiri ukombozi kutoka kwa Amsterdam. Endeleeni kusubiri embe chini ya mnazi.
Kwa akili hizi bora upinzani muwe na mbunge mmoja tu bungeni anawatosha. Mnawaza ugolo tu vichwani ndo maana mnasubiri ukombozi kutoka kwa Amsterdam. Endeleeni kusubiri embe chini ya mnazi.
Botha alikua sahihi kabisa,ni vile tu tunajifanya hatukubali alichokisema lkn moyoni tunakubali ni kweli.Waafrika hawawezi kujitawala Wala kujiongoza.
Nyie ni mashetani na wauji wakubwa.Mmekosa utu kuliko hata wanyama. Piga kelele ila huo ndio ukweliMateso,shida na tabu zako zinakuhusu wewe na ukoo wako. Kama unasubiri mzungu yeyote aje kumaliza shida zako upeo wako wa kufikiri upo chini sana no wonder unashinda unatafuta nani ka tweet nini ulete Jamii Forums mshangilie na mapimbi wenzako. Hivi huwa hujishtukii kushinda FB,Twitter, JF unatafuta habari ya kukupa matumaini!!!?...., Mimi ndugu zangu wenye akili za kushinda wanalaumu serikali badala ya kutafuta solution ya maisha yao hata kwenye contacts nimewadelete. Tunajenga taifa la vijana wawalalamishi na WAPUMBAVU.
Kwahiyo mnaamini ulaya watamwondoa Magufuli!?,uchaguzi utarudiwa?,tutawekewa vikwazo sababu Lissu kakimbia nchi!??... Nyote hamna akili kabisa.
Nyie ni wajinga!Hakika wala hujakosea sijui ilikuaje mwenyekiti wa CCM Taifaalipomuona yule mzungu wa Barick alisema huyu jamaa ni mwanaume haswa.
Sijui aliona nini pale.