Robert Amsterdam: Hali ya kisiasa Tanzania kujadiliwa katika Bunge la Ulaya kesho Alhamisi

Watanzania tuungane pamoja kwa umoja na ustawi wa taifa letu. Huu mfumo wa giza kumwabudu mwanadamu mwenzetu ni aibu kwetu sote. Rejeeni wosia wa Baba wa Taifa dhambi ya ubaguzi hakuna alie salama ,endapo PM anazodolewa hadharani!? anapanga hatima maisha ya watu!? Wengi wana mengi moyoni rejea madam VP.
Unazungumzia watanzania gani? We juzi ulimsikia kiongozi wenu VOA anasema kuwa Watanzania hawapo tayari!!! Na ndio iko hivyo watanzania hatuko tayari kufanya ujinga.
 
Kwa fikra hizi kwamba huyo wakili ndiye mwenye ufunguo wa maisha bora kwetu na tunashangilia ni kizazi chetu hiki kukosa reasoning, kwamba huyu jamaa anatupenda sana WaTz?

Inawezekana tunachangamoto kama taifa ila siamini kama huyu mtafuta ugali anaweza kuwa ndiyo Suluhisho la nchi yetu......
 
Acheni uzwazwa machadema!

Waache kujadili hali inayoendelea Msumbiji na Ethiopia badla yake wajadili tz iliyotulia tuliii na watu wanaendelea na mishe zao?

Huyo Amsterdam wenu tuliwaonya kwamba anamharibia mteja wake nyie hamkusikia.
 
Bunge la Ulaya, siasa za Tanzania!

Mgogoro wa uingereza kujitoa umoja wa ulaya unawatoa jasho, wataweza siasa za tanzania kweli?
Mfano mdogo...hivi US & EU wakiamrisha yafuatayo kufanyika (wana uwezo huo, usibishe ignorantly) unaamini kutakuwa na sijui cha Stiegler's Gorge, SGR, bombardier, nk, nk?:

  • No loans/grants from the West & allies
  • No fuel from the West & allies
  • No int'l trade with the West & allies
  • Literally nothing from the West & allies!!
 
Inasikitisha sana kuona wazungu wanatujali sana yaaani hata wapinzani wanaopewa dhamana kutoka korokoroni ni kwa sababu ya kelele za wazungu
Mnawapa vizuri ndo maana wanawajali, unadhani Amsterdam anahangaika na Lissu HAKUNA anachopewa? Hata Mimi sikubali mke wangu alalamike Nita deal na huyo anayemsumbua Kama anavyohangaika huyo beberu wenu.
 
Mfano mdogo...hivi US & EU wakiamrisha yafuatayo kufanyika (wana uwezo huo, usibishe ignorantly) unaamini kutakuwa na sijui cha Stiegler's Gorge, SGR, bombardier, nk, nk?:

  • No loans/grants from the West & allies
  • No fuel from the West & allies
  • No int'l trade with the West & allies
  • Literally nothing from the West & allies!!
Mbona mavitu yao hayo tulishaachana nayo kitambo tu aisee
 
Kwa hio unalinganisha Bongo vs uingereza sio?Kwa kitu gani labda nguvu za kiuchumi,kidiplomasia,kijeshi au?
Sasa wewe mwenyewe ulishajizira, utajilinganishaje na mzungu.

Yani kwa wanachadema, mzungu ni mtu ila wao ni nyani
 
Kwa hio unalinganisha Bongo vs uingereza sio?Kwa kitu gani labda nguvu za kiuchumi,kidiplomasia,kijeshi au?
Hajalinganisha kakupa mfano. Mbona unakuwa na upeo mdogo hivi!? Bunge la Ulaya lina mambo mengi ya kujadili mfano Corona etc, tatizo mnadanganywa na huyo Mzee shoga Amsterdam.

Ili Tanzania ijadiliwe ilibidi muandamane bila kikomo, polisi wawapige risasi za Moto na bado muendelee kuandamana ndio Dunia ingeigeukia Tanzania kujua kuna nini kama ilivyokuwa Kenya 2008.

Lakini mpo mmejazana mitandaoni eti mnasubiri matamko toka Ulaya!??... Nyie ni WAPUMBAVU na WAPUUZI sana.
 
Kwa hio unalinganisha Bongo vs uingereza sio?Kwa kitu gani labda nguvu za kiuchumi,kidiplomasia,kijeshi au?
By the way, hata hicho kikao ni geresha tu. Usikute wanajadili jinsi ya kumwondoa kwao huko Mr Mzungu maana kawa mzigo usiobebeka. Atakimbilia ubalozi wa Kanada labda
 
Watanzania tuungane pamoja kwa umoja na ustawi wa taifa letu. Huu mfumo wa giza kumwabudu mwanadamu mwenzetu ni aibu kwetu sote. Rejeeni wosia wa Baba wa Taifa dhambi ya ubaguzi hakuna alie salama ,endapo PM anazodolewa hadharani!? anapanga hatima maisha ya watu!? Wengi wana mengi moyoni rejea madam VP.
Halafu ukute unategemea arv zao za bure🤣🤣🤣
 
Yatakuwa kama ya Maalim sefu wiki 3 tu naapishwa mara hauishi mwaka huu
Mwisho miaka 5 na uchaguzi ukaja mpya
Maalim Seif hanaga msimamo, hata angepewa urais wa heshima hadi angeandamana; nguvu zake za kishirikina ziko kwenye maandamano na fujo, sawa na huyu Mr Mzungu aliyetoka baru kwenda huko kwao Belgium
 
Kwa fikra hizi kwamba huyo wakili ndiye mwenye ufunguo wa maisha bora kwetu na tunashangilia nikizazi chetu hiki kukosa reasoning,kwamba huyu jamaa anatupenda sana WaTz?

Inawezekana tunachangamoto kama taifa ila siamini kama huyu mtafuta ugali anaweza kuwa ndiyo Suluhisho la nchi yetu......

Ni kweli kabisa,huyu hawezi kuwa na suluhisho la shida zetu lakini anaweza kutusaidia tukawekena sawa.

Binafsi naamini hakuna Chama cha kuweza kuiondoa CCM madarakani kwa sasa lakini pia naona aibu kwa haya yaliyotokea ambayo nahisi hapakuwa na sababu za kuyafanya haya.

Kikwete aliwahi kupata kura chini ya asilimia 70 na alichofanya ni Chama kuunda tume na kufanya tathmini (Kinana na Nape wakaibuka na wakakemea hata mawaziri).Siioni jambo hili likifanyika kwa sasa ni kama watu wamepagawa katika kusifia na kudanganyana tu.

Kwa hatua ya Demokrasia tuliyokuwa tumefikia wengi tulitegemea miaka inavyozidi kwenda mbele kushindwa liwe jambo la kawaida na hata wagombea watumiane salaamu za kupokea ushindi na kukiri kushindwa.

Kuna dalili ambazo tunazipuuza lakini lakini ni "Alert",moja watu kuvamia vituo vya Polisi (hii ni ishara ambayo sio nzuri na inahitaji social science kujua sababu zake) la pili ni hili la mauaji yanayohusiana na siasa (njombe,Tunduma,Tarime n.k).Si ishara njema.

Naamini hakuna uchaguzi mwingine kabla ya 2025 na kama taifa ni kujipanga kwa kuandaa sio askari zaidi bali uwazi zaidi hasa katika tume ya uchaguzi.

Nahisi kwa mara ya kwanza hapakuwa na kesi za kupinga matokeo hasa ngazi ya ubunge!!
 
Makamanda kaeni msubiri mabeberu watawasaidia.
Tanzania kama taifa linasongambele kwa kasi.
Mungu azidi kumpa nguvu JPM azidi kuwapiga spana mpana muombe poo.
 
Bora wazungu kuliko kikundi cha watu wanaoitwa CCM wasiojali mateso, shida na tabu za watanzania.
Mateso, shida na tabu zako zinakuhusu wewe na ukoo wako. Kama unasubiri mzungu yeyote aje kumaliza shida zako upeo wako wa kufikiri upo chini sana no wonder unashinda unatafuta nani ka tweet nini ulete Jamii Forums mshangilie na mapimbi wenzako.

Hivi huwa hujishtukii kushinda FB, Twitter, JF unatafuta habari ya kukupa matumaini!!!??, Mimi ndugu zangu wenye akili za kushinda wanalaumu serikali badala ya kutafuta solution ya maisha yao hata kwenye contacts nimewadelete. Tunajenga taifa la vijana wawalalamishi na WAPUMBAVU.

Kwahiyo mnaamini ulaya watamwondoa Magufuli!? Uchaguzi utarudiwa? Tutawekewa vikwazo sababu Lissu kakimbia nchi!??... Nyote hamna akili kabisa.
 
Back
Top Bottom