20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 7,970
- 6,760
Kuna watu wanahisi wazungu wana wapenda sana, yaaani Taifa lako likajadiliwe na taifa jingine, Uphala huuuWatanzania tuungane pamoja kwa umoja na ustawi wa taifa letu. Huu mfumo wa giza kumwabudu mwanadamu mwenzetu ni aibu kwetu sote. Rejeeni wosia wa Baba wa Taifa dhambi ya ubaguzi hakuna alie salama, endapo PM anazodolewa hadharani!? Anapanga hatima maisha ya watu!? Wengi wana mengi moyoni rejea madam VP.