Robert Amsterdam: Hali ya kisiasa Tanzania kujadiliwa katika Bunge la Ulaya kesho Alhamisi

Amsterdam pumbaf, sisi watanzania tumemchagua kiongozi wetu Mh. Rais JPM, sasa yeye na Lissu wanataka kutuchagulia kiongozi wao kwa nguvu? This guy is immoral, nasty..!! Beberu anafikiri sisi bado mazuzu, pumbaf
 
Debates
9.15 am
.Exchange of views with the EEAS on the situation in Tanzania after the elections...The European External Action Service (EEAS) is the EU's diplomatic service...
 
Unamjua Hitler? Unamjua Benito Musolin! jumlisha hao wote afrika wote waliowaua alafu uje unipe hesabu alafu nkwambie benito Musolin aliua wangap?

- So ulikua unasubiria raisi ambae atafanya uwe tajiri? 😂 😂 😂 😂 , rasilimali gan izo unaongelea? Watu kama nyie mnawaza ajira 24 hrs mnategemea nchi inaiendelea vp? kilakitu serikali? kwani sehem gan duniani serikali imetajirisha mtu? Simu zmevumbuliwa na watu binafasi, ndege unazopanda watu binafsi,makampuni makubwa yote ni watu binafasi weweunasubiria serikali?
we unadhan tukiendelea kua maskini tutamlaumu nan? wengine wanakuna vichwa wewe unasubiria serikali? what type of human are you

Sera mbovu uleta umasikini,rais akitoka kwenye familia masikini aliyelelewa kimasikini kwa kushindia mihogo huwa na fikra za kimasikini lzm nchi iwe masikini.Kama unalima unazuiwa kuuza nje,unazulumiwa mazao yako, mzunguko Mdogo wa pesa, matajiri walioajiri mamilioni wanaoshugilikiwa Hadi wanakimbia na kufunga biashara zao hizo ajira lzm watakosa.Unajua ni malori mangap watu wameyahamishia nje ili wasifilisiwe hapa ni wangapi wamekosa kazi.Nchi zilizoendelea sababu wanajua kuchagua viongozi waliolelewa kwenye malezi Bora na ambao akili zao hazijaathirika na umasikini.
Thus Wana sera wezeshi za kuzalisha matajiri ili kuongeza idadi ya walipa kodi ili walipe Kodi kwa maendeleo.Sera mbovu ukimbiza wawekezaji,ukiua kilimo watu watakosa ajira.
 
Amsterdam pumbaf, sisi watanzania tumemchagua kiongozi wetu Mh. Rais JPM, sasa yeye na Lissu wanataka kutuchagulia kiongozi wao kwa nguvu? This guy is immoral, nasty..!! Beberu anafikiri sisi bado mazuzu, pumbaf
Kiongozi aliyechaguliwa na tume na kiongozi aliyechaguliwa na wananchi
 
Halafu kuna pumbavu moja lipo TBC limepewa ukurugenzi linaropoka ujinga kuhusu mfumo wa kiliberali. Ni jinga fulani. Linapaswa kurudi shule. PhD zingine ni za kama za kina Mahera. Takataka.

TBC huwa wanawaweka maprofu wa UD waliosoma sylbus za zamani ziliwafunga fikra zilifundisha chuki dhidi ya mabeberu tofauti na ukweli halisi. Na wengi utumia fursa hio ya kuwa hewani ili kujiuza kwa kusifu ili waokotwe majalalani
 
wacha nkuumize zaidi, Tanzania itaingia mkataba mwingine kujenga reli mpaka angola! Imebaki kutia saini mradi uanze, just die man
True then kuna mradi Mkubwa sana wa kupeleka bahari ya Hindi chattotown ili meli zote kubwa zifike kule
 
Chuki? Kwahio uhuru aliopigania nyerere ilikua ni chuki? uko sawa upstairs? ebu tupige mahesabu ya haraka haraka chukua WW1 + WW2 nipe idadi ya waliokufa alafu leta idadi kama hio kuwahi kutokea afrika nzima, (hii ni kwa kuanza tu, unamjua hitler wewe, Benito Musolin unamjua?)

-
Huo Uhuru umetusaidia nn Hali hatupo huru dhidi ya umasikini,magonjwa,ajira,njaa afrika nzima wanaofurahia matunda ya Uhuru hawazidi 15% asilimia kubwa wanaishi dhoofu Hali tofauti na kabla ya Uhuru ambapo ajira zilikuwepo, biashara zililipa kilimo kililipa.Huwezi kuwa huru wakati huna demokrasia,hatma ya maisha yako inaamuliwa na mtawala hakuna demokrasia hakuna maendeleo.
 
Amsterdam pumbaf, sisi watanzania tumemchagua kiongozi wetu Mh. Rais JPM, sasa yeye na Lissu wanataka kutuchagulia kiongozi wao kwa nguvu? This guy is immoral, nasty..!! Beberu anafikiri sisi bado mazuzu, pumbaf
Chuchumaa ufiche utupu wako. Hakukuwa na Uchaguzi Mkuu Tanzania. Kilichotokea Ni Uchafuzi Mkuu. Subiri vielelezo mahakamani the Hague.
 
Ameandika hivyo katika akaunti yake ya twitter:

Excellent news! The situation in #Tanzania will be discussed in @Europarl_EN on Thursday. Looking forward to the hearing, the world needs to know Tanzania is becoming a dictatorship under Magafuli! The fight for democracy continues. Will share the streaming link in due course.
But what about the economic situation? Health? Education? Is Tanzania all about politics?
 
Ameandika hivyo katika akaunti yake ya twitter:

Excellent news! The situation in #Tanzania will be discussed in @Europarl_EN on Thursday. Looking forward to the hearing, the world needs to know Tanzania is becoming a dictatorship under Magafuli! The fight for democracy continues. Will share the streaming link in due course.
Colonialism ended and we are a sovereign state. We shall neither kneel nor surrender our diginity and faith to a whiteman. We are God's belongings and not the otherwise. Decide whatever but do not forget to save into your idiotic and diabolical brains that our stance is clear, still and steady. We are Tanzanians. Period!
 
Kwa style hii ndo mshinde uchaguzi kwani hao EU ndio wanaopiga kura Tanzania?

Yaani wasijadili impacts za Covid 19 na trade deals na Britain wenye Brexit yao wakae serious kabisa wajadili agenda za Amsterdam?
 
Ameandika hivyo katika akaunti yake ya twitter:

Excellent news! The situation in #Tanzania will be discussed in @Europarl_EN on Thursday. Looking forward to the hearing, the world needs to know Tanzania is becoming a dictatorship under Magafuli! The fight for democracy continues. Will share the streaming link in due course.

Itakuwa LIVE hapa > https://multimedia.europarl.europa....reign-affairs_20201119-0900-COMMITTEE-AFET_vd
Hawa watu wa hivi binguni watapasikia tu!
 
Asanteni rafiki zetu Wazungu maana Waswahili tumebakia kuvunjana miguu sisi vs sisi!
Wewe Una urafiki na mzunguuu au ndio kujipendekeza kwao.

Na wakati black wenzio wanauliwa huko kwao kama kuku wa kizungu alafu wewee unawaita rafiki zako
 
Back
Top Bottom