Robert Amsterdam athibitisha kufungua mashitaka ya uhalifu dhidi ya binadamu kwa Tanzania ndani ya ICC jumatatu

Mzungu ni nani mbona ni wa kawaida tu,mi nawatuma kila siku na wanafata ninachowaambia,alafu kuna mtu anakaa kumuona huyo mtu kama mungu acheni upimbi
Kwani wewe unaongelea hao wazungu unaopiga nao mzigo kwani wao ndio waliopelekewa kesi na Amsterdam ??
 
ACHENI mnweweseka UCHAGUZI UMEISHA. Huko THE HAGUE mnajifaiji sana.
Amsterdam hana uraia wa nchi hii ili apate legitimacy ya kuishitaki serikali.
Mtaweweseka sana ebu mwambie akamshitaki trump donald kwa kusababisha mauaji ya watu watano pale capitol hill majuzi.
Na amsaidie nancy Pelosi kukamilisha impeachment dhdi ya Donald trump.
 
Baada ya gwiji la sheria la kimataifa ndugu Robert Amsterdam kufanikiwa kuishawishi idara ya mambo ya nje ya Umoja wa Ulaya kuijadili Tanzania dhidi ya ukiukwaji wa haki za binadamu na hatimaye kusubiri hatua rasmi za kinidhamu kuchukuliwa, sasa Robert amethibitisha rasmi kuwa jumatatu anaenda ICC kufungua mashitaka dhidi ya uhalifu wa binadamu nchini Tanzania.

Kwa mujibu wa kanuni za ICC, endapo mashitaka yatafunguliwa basi Tanzania itahitajika kupeleka utetezi wake na kisha pande zote mbili kujadiliwa kwa kina.

Sasa mataifa mbalimbali yanaendelea kuchukua hatua dhidi ya Tanzania baada ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na uhuru kipindi cha uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
Ninyi kweli vilaza na nyumbu. Hivi kweli bado tu huyu mpuuzi kawashikilia akili zenu.

Basi subirini aendelee kuwathibitishia.

MTU MWENYE AKILI, AKIKUAMBIA JAMBO LA KIPUMBAVU, NA ANAJUA UNA AKILI, NA UKALIKUBARI, ANAKUDHARAU. Mwl. J.K. Nyerere.

Babu Amstaderm kawashikia akili zenu.

Fanyeni kazi, achaneni na upuuzi wa kushikiwa akili na wazungu. Hawapigi kura mjue na 2025 sio mbali na hii 2021 bado mnapiga kelele na porojo Chama kinakufa.
 
Back
Top Bottom