Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,263
Kwani ni hadi alipwe? Yan CCM mkikaa mnawaza tumbo tu
Serikali ya CCM huangaika kuwabambikia kesi kesi chadema hiyo hiyo unayoijua ingawa unajidai kujitoa fahamuSerikali ya Ccm inahangaika na Chadema? Chadema ipi?
Polepole kasaka wanasheria Sweden kala nao dili walete Bajeti kubwa ana 10% zake humo,hao ni wafanyabiashara wakubwa wa michongo ya kiusumbufu wapo busy kutengeneza mazingira ya kujidai kuitetea CCM kwa kumvuruga Amsterdam kisakologia wakijidai kuitetea CCM kwa njia haramu za kishetani, huo mchongo upo mbioni kuja maana huko CCM kila kitu ni fursa kwa wajanja wachache wanaojinufaisha kupitia fursa hii ya kurejesha mfumo wa chama kimoja.Kwani ni hadi alipwe? Yan CCM mkikaa mnawaza tumbo tu
Bujibuji and Co
Kwani mliwalipa shilingi ngapi waliomshambulia Tundu Lissu kwa risasi?
Ukombozi umekaribia
Polisiccm magerezaccm kuwapiga wanawake ambao hawana Bunduki kisha kuwasingizia uongo kuwa wamevamia magereza ndiyo ubambikiaji wenyewe huo nashukuru kwa kuja na mfano chanya na hai.Wewe minyoo ni kesi gani wanabambikiwa? Mfano kuvamia gereza na kuingia sehemu iliyozuiwa ni kubambikiwa kesi?
Toka enzi za Yohana mbatizaji waliambiwa ufalme wa mbinguni umekaribia. Chadema nao wanatuambia ukombozi umekaribia.Bujibuji and Co
Kwani mliwalipa shilingi ngapi waliomshambulia Tundu Lissu kwa risasi?
Ukombozi umekaribia
Kuinua watanzania ni kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi wapinzani? Kuwainua watanzania ni kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani?Bujibuji ww Ni kiaz kweli
Ukombozi gani ww unataka
Hili taifa wapuuz tulipa nchi ndio maana Hadi leo waTz masikini
Leo amekuja mtu kuinua waTz watu wajinga Kama bujibuji wanapinga ...
Fala kabisa ww bujibuji na wananchi
Hakika tafakuri jadidi, kama pesa za kampeni tu waliwachangisha watanzania hasa maskini, unadhani watapata wapi pesa za kumlipa Amsterdam.Nijuavyo CHADEMA chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni.
Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae?
Tanzania kama taifa tuwe makini.
Maendeleo hayana vyama!
Sawa kabisa, na waliovunja sheria za nchi kwa jambo lolote nao wanafikishwa mahakamani tena za nje zenye kutoa biriani, samaki na nyama kila siku!Chadema mna matatizo, unataka watu wavuje sheria alafu waachwe wanavyofanya? Kisa ni kinamama wa Chadema?
Kumbe!Huko Uswahilini unapopadharau ndipo mlikesha kuomba kura na ndipo mliiba kura kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu acha ufala wako , Tambua kuwa Amsterdam ni mtetezi wa haki za binadamu ana pesa zake na taasisi za haki za binadamu humfadhili Duniani kote.
Kwahiyo Chadema ni wakoloni?!Hoja sio analipwa nani! hoja iwe ni makosa gani mazito yaliyowasilishwa huko na yanawahusu akina nani!
wakoloni walipomshtaki Mwalimu Nyerere (RIP) waliomtetea walikuwa ni wazungu baba tia akilini.
Hahahaaaa......!Id yenye jina la pilipili kichaa,unategemea mmiliki wake awe na akili?
kusema kweli kudeclare interest....rais Magufuri ana huruma sana ..Mimi ningekua eneo lake ningemfanya Tundu lissu kama President Putin did to Alexander Litvinenko huyu mtu ni mhaini ....Amsterdam and partner ni kampuni ya canada,ndege yetu ilikamatwa canada,barick gold makao makuu canadsa...Tundu Lissu katoka Ubelgiji kaenda canada...Na hii kampuni haichukui chini ya billion tano kama malipo unakuja na ujinga wa Pro-Borno...ni bange au Unyumbu
Venezuela's Maduro taps DC firm to fight US sanctions
A top official for Venezuelan President Nicolás Maduro's government has hired a Washington law firm that also represents Turkey, taking over from another legal team that backed out last month following an outcry from critics who accused it of collaborating with a repressive regime. Lawyer Bob...news.yahoo.com
The previous firm, Foley & Lardner, backed out of a $12.5 million, five-month contract after Scott in a letter urged his Senate colleagues to boycott the firm. In a filing with the U.S. Justice Department on Friday, Foley said it had transferred to Amsterdam & Partners all funds - a little more than $1 million - it has received from its client.
Kwani majeshi ya Burundi walilipwa na nani walipokuja kufanya mauaji huko Zanzibar?Nijuavyo CHADEMA chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni.
Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae?
Tanzania kama taifa tuwe makini.
Maendeleo hayana vyama!
Ni PS wa PolepoleWewe unalipwa na nani? Kutwa kucha kuandika nyuzi nyingi humu zisizokuwa na kichwa wala miguu .