tofali
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 4,010
- 3,405
Wadau habari..
Naomba kujua hili zoezi la usalama barabarani la kubandika stika limeanza tarehe ngapi na linaisha lini maana leo nimekamatwa na trafic kwakosa la kutokua na stika na akataka anitoze faini elfu 30 kwakosa hilo..ila nimejieleza na thanksGod amenielewa bila chochote..ila alikua anaelekea kwenye kutoa chochote.
Je ni haki kukamatwa kwa kosa hilo..maana kanambia zoezi limeanza sijui October. .ss mbona October haijaisha..mwenye uelewa anieleweshe..na nimekagua magari mengi njiani hayana stika mpya.
Msaada ili nisije kamatwa tena
Naomba kujua hili zoezi la usalama barabarani la kubandika stika limeanza tarehe ngapi na linaisha lini maana leo nimekamatwa na trafic kwakosa la kutokua na stika na akataka anitoze faini elfu 30 kwakosa hilo..ila nimejieleza na thanksGod amenielewa bila chochote..ila alikua anaelekea kwenye kutoa chochote.
Je ni haki kukamatwa kwa kosa hilo..maana kanambia zoezi limeanza sijui October. .ss mbona October haijaisha..mwenye uelewa anieleweshe..na nimekagua magari mengi njiani hayana stika mpya.
Msaada ili nisije kamatwa tena