you are a NUTJOB, unataka kusema nini hapa?
Haya tuambie huo mtambo umesimikwa wapi na umeingiaje hapa nchini
Shangazi yako Bagamoyo anapika gongo, mitambo yake amesimika wapi?
you are a NUTJOB, unataka kusema nini hapa?
Haya tuambie huo mtambo umesimikwa wapi na umeingiaje hapa nchini
i never see why others tend to think they need to be rude or irrational to backup their stance.Shangazi yako Bagamoyo anapika gongo, mitambo yake amesimika wapi?
you are a NUTJOB, unataka kusema nini hapa?
Haya tuambie huo mtambo umesimikwa wapi na umeingiaje hapa nchini
na mahakamani huyo marando atapeleka google ikamtolee ushahidi au siyo?Don't blame the person. May be this is what he/she got from google! this is what is making us poor thinkers. You told him to google, he instead decided to deviate the point. So sad
Umesahau kipindi kile dokta SLAA anachafuliwa kwa meseji zenye kashfa, kuna mtu aliulizwa?, usije ukategemea kuna mamlaka za mawasiliano zitasaidia ktk issue inayofeva the ruling.vyombo vya uchunguzi pamoja na makampuni ya simu watrupe ukweli kuhusu hili
Inadaiwa ni Miraji ndo mwenye mautundu hayo wakuu
nitakuja baadae kuona kama kunaushahidi unaoonesha kuwa siku ya tukio Riz alikuwa karibu(5m) kutoka wabunge tajwa wa cdm. Itasaidi kuanza para ya hitimisho.
Shangazi yako Bagamoyo anapika gongo, mitambo yake amesimika wapi?
Loh...nimeamini TBL ni noumer sana.yaani washikaji wamekata kilaji weee hadi zikawatuma waite press conference.
Mtambo wa kutuma fake SMS ....huh?...cooomon marando punguza ulabu mzee.THERE IS NO SUCH A THING.
Bora angesema application,software but mtambo?..no man.
Kwa kujua anasema uongo ndo maana akakataa kutaja jina kwa kuogopa Lawsuit.
Am not buying this mtambo story.[/QU kaka mtambo si lazima uwe na injini hata hiyo software inatosha kuwa mtambo. Hujui kuwa kuna kitu kinaitwa WORD PROCESSING, hiyo si ni kazi ya software au mtambo? Kama mtambo unaprocess kumbe hata software inaprocess so.....
Marando na wenzie Walikuwa wamelewa wale siku nzima wameshinda baa kurasini wanakunyw siku nzima ni mambo ya ulevini wanayaleta huku