Sonko Bibo
JF-Expert Member
- May 24, 2019
- 275
- 283
- Thread starter
- #161
Kwenye episode gan mkuu Mwalimu wa tuisheniSafi Sana, ulitaka kuteleza kidogo ila unaelekea kuzuri 😎👍🤝
Si vibaya ukinionesha inasaidia sana.
Kwenye episode gan mkuu Mwalimu wa tuisheniSafi Sana, ulitaka kuteleza kidogo ila unaelekea kuzuri 😎👍🤝
Tushakaa sana jamvini, Leta Chakula ..
Mkuu sio uongo ndio uhalisia wenyewe.Ndio maana watu huwa wanapita kimya kimya. Tukishaanza kuwakubali tuu mnaanza kuugua mara kuwa busy
Pole sana. Usikawie sana sasaMkuu sio uongo ndio uhalisia wenyewe.
But soon mzigo utashuka.
Mkuu Joseph ma, kwa style hii tutaipua ugali mbichi Subiri niivishe cross dongo la kwenda ili likishuka mezani liwe linafuka tu moshi.
Hahahahaaaaa!!!Kijana wangu Sonko Bibo ,unataka mpaka nije mwenyewe ndio utasikia vijana wanachokuambia? Waelezee legacy yangu kama nilivyokupa copywights za kuiandika hapa😁
Ahahahah.kabisaa. ukiona kuna vijana machachari idarani bas ujue kuna mpishi matata anayewaandaa na kuwa groom, sasa mimi ndio godfather wa hao wote kina Seif na mabaduni wenzake. 😁Hahahahaaaaa!!!
Huyo mwamba ndie kakukosha sana eti?
Hadi ukaamua kusepa na jina lake, Inapendeza sana, hongera pia.
Shida ni kwamba umetengeneza mashetani mkuu, hawafai hawa viumbe.Ahahahah.kabisaa. ukiona kuna vijana machachari idarani bas ujue kuna mpishi matata anayewaandaa na kuwa groom, sasa mimi ndio godfather wa hao wote kina Seif na mabaduni wenzake. 😁
Serikal zote za kiafrika zinahitaji watu kama hawa mambo yaende viongoz wanasiasa wawe na adabuShida ni kwamba umetengeneza mashetani mkuu, hawafai hawa viumbe.
Hapana haya yanatokea Songomo tu. Lakini hata huko kwenye nchi zenu wananchi wakipata elimu bora mambo yatabadilika kwa kasi hadi mtashangaa, Tatizo kubwa la huko kwenu ni mitaala ya Elimu.Serikal zote za kiafrika zinahitaji watu kama hawa mambo yaende viongoz wanasiasa wawe na adabu
MABADUNI WA SERIKALI 6.Final Episode Loading...................