Mkuu,ngoja atupie moja ya JKiango tubadilishe mandhali kidogo kabla ya kurudi kwenye ombi lako.Kwenye kikomo kuna mtu/kitu kinaitwa Elungata,nadhani humu JF kuna mtu anaitwa Elungata.
Sijawaangusha mkuu lengo tupate burudani na kwa kuwa niliona yupo wa kunisaidia hivyo nikaona si mbaya kama tukaendelea kuburudika na nyingine maana watu tunaopenda kusoma riwaya huwa hatupati shida kusoma hata riwaya sita kwa mpigo. Tuko pamoja mkuu
Sijawaangusha mkuu lengo tupate burudani na kwa kuwa niliona yupo wa kunisaidia hivyo nikaona si mbaya kama tukaendelea kuburudika na nyingine maana watu tunaopenda kusoma riwaya huwa hatupati shida kusoma hata riwaya sita kwa mpigo. Tuko pamoja mkuu
Hawa jamaa ni janga kubwa. kidi kudi kaleta riwaya mbovu isiyo na viwango ya Mwalongo. Siyo kwamba tunanjaa kiasi cha kula kila kitu, tuna standard zetu jamani. please guys naomba mmalizie hii UCHU. Nakosa imani kama mtaleta sawa na orodha mliyoitoa.