Riwaya: UCHU

Mkuu,ngoja atupie moja ya JKiango tubadilishe mandhali kidogo kabla ya kurudi kwenye ombi lako.Kwenye kikomo kuna mtu/kitu kinaitwa Elungata,nadhani humu JF kuna mtu anaitwa Elungata.

Eeeeeh yupo afu ye'ndo alikuwa kubwa la maadui na alikuwa kamishna wa Polisi.
 
Last edited by a moderator:
kidi kudi anatuangusha, badala ya kumaliza moja ili kuhamia nyingine, yeye anatuongezea mpya wkt anatuacha roho juuu
 
Kwa namna ya kipekee nimshukuru TECHMAN kwa kuendeleza hili gurudumu, bila shaka ataendelea kunisapoti kila ntakapokwama, sorry kwa niliowakwaza
 
Last edited by a moderator:
kidi kudi anatuangusha, badala ya kumaliza moja ili kuhamia nyingine, yeye anatuongezea mpya wkt anatuacha roho juuu
Sijawaangusha mkuu lengo tupate burudani na kwa kuwa niliona yupo wa kunisaidia hivyo nikaona si mbaya kama tukaendelea kuburudika na nyingine maana watu tunaopenda kusoma riwaya huwa hatupati shida kusoma hata riwaya sita kwa mpigo. Tuko pamoja mkuu
 
Shusheni vitu basi karibia mtaka nyapu anafika ikiwa mkesha sitapata muda wakusoma
 
Shusheni vitu basi karibia mtaka nyapu anafika ikiwa mkesha sitapata muda wakusoma

Hivi hakunaga tafsida ya tafsida? Yaani tafsida iwe na tafsida yake.msaada plz
CC. Khantwe, ntamaholo, kidi kudi
 
Hahaaaaaa mkuu rosop umeua
 
Last edited by a moderator:
Wekeni riwaya jamani ina maana hamjamsikia rosob? Katuwakilisha na sie wengine au mnataka tuseme wote?😛
 
Last edited by a moderator:
yeaah..kikomo kwanza...pia ukutoka za mtobwa tupe za UNYAMA WA MAFIA kina kabwe makanika.
 
Sijawaangusha mkuu lengo tupate burudani na kwa kuwa niliona yupo wa kunisaidia hivyo nikaona si mbaya kama tukaendelea kuburudika na nyingine maana watu tunaopenda kusoma riwaya huwa hatupati shida kusoma hata riwaya sita kwa mpigo. Tuko pamoja mkuu

usha tuuza wewe
 
Hawa jamaa ni janga kubwa. kidi kudi kaleta riwaya mbovu isiyo na viwango ya Mwalongo. Siyo kwamba tunanjaa kiasi cha kula kila kitu, tuna standard zetu jamani. please guys naomba mmalizie hii UCHU. Nakosa imani kama mtaleta sawa na orodha mliyoitoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…