HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,445
- 6,207
- Thread starter
- #81
Nimestop kupost hapa hadithi kutokana na mambo yanayo endelea
asante Kulubule kwa kuwafurahisha ndg zako na marafikiNimestop kupost hapa hadithi kutokana na mambo yanayo endelea
Umaarufu tu bila kuona faida nzuri ya kazi yake zaidi ya kujulikana?Me naona hakuna tatizo wala, ndio unavozidi kujulikana kwa simulizi nzur kibaya ingekua mtu amebadili jina la mwandishi, jina liko pale pale unajulikana ni wewe umeandika, nikupe hongera kwa simulizi nzur zenye kusisimua ila umekurupuka katika hili
Kunapage facebook, vipi unauhakika riwaya zako hazitumwi kwenye magroup yavwassap na blogs???
Sjaona shida wala kufanya hayo labda mtu ajiweke jina lake wakat simulizi n yako hapo ulopaswa kumchukulia hatua hiki tukifanyacho kinakufanya utambulike kwa upana zaidi mana tunakusaidia kushare kaz zako bila hivi utajulikana vipi???

Jamani muda mwingine tuwe na roho za utoaji. Tumesoma story nyingi sana za Patrick Ck kipitia kwa #LEGE. Nafikiri sasa hivi tutakuwa tunamjua Patrick CK ni nani hasa. Sidhani kama alifikiria kuandika riwaya hizi zote kwa lengo la kujulikana tu. Anatumia muda na rasilimali nyingi kutengeneza kazi yake. Fikirieni atarudishaje rasilimali na muda aliotumia..
sasa ndugu tunaipataje kwa sheria na taratibuNimestop kupost hapa hadithi kutokana na mambo yanayo endelea
JF ingeanza kuwalipa waandishi baada ya kujiridhisha na uandishi wao/Kazi zao manake wanaongeza idadi ya members!Jamani muda mwingine tuwe na roho za utoaji. Tumesoma story nyingi sana za Patrick Ck kipitia kwa #LEGE. Nafikiri sasa hivi tutakuwa tunamjua Patrick CK ni nani hasa. Sidhani kama alifikiria kuandika riwaya hizi zote kwa lengo la kujulikana tu. Anatumia muda na rasilimali nyingi kutengeneza kazi yake. Fikirieni atarudishaje rasilimali na muda aliotumia..
KAMA HAJATOA RUHUSA.... PLS MLETA RIWAYA SITISHA TU. MADAM TUNA MAWASILIANO YAKE
Nenda kwenye forum ya KTalk Shunie utaikutaImepostiwa muendelezo wapi ebu niquote kwenye story
Kwenye jukwaa lipi na inaitwajeNenda kwenye forum ya KTalk Shunie utaikuta
Dili la bilioni nne,Jukwaa la entertainmentKwenye jukwaa lipi na inaitwaje
mbona hamna uzi kama huoDili la bilioni nne,Jukwaa la entertainment
Upo umekwenda kucheki huko?mbona hamna uzi kama huo
ndio jukwaa hili la entaitmntUpo umekwenda kucheki huko?
Kule KTalk sio hapandio jukwaa hili la entaitmnt
bado sjakupata vizuriKule KTalk sio hapa