Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 10,258
- 14,102
Kipindi JF ilipofungiwa na tcra tulihamia huko kwenye forum ya Kenya.Huko ndiko nilipoweka muendelezo wa hiyo riwaya!bado sjakupata vizuri
Kipindi JF ilipofungiwa na tcra tulihamia huko kwenye forum ya Kenya.Huko ndiko nilipoweka muendelezo wa hiyo riwaya!bado sjakupata vizuri
Kunaitwaje huko mzee? Nami nikafaidi muendelezo wa hii kitu maana nina alosto kali ya hii kitu mpaka balaa.Kipindi JF ilipofungiwa na tcra tulihamia huko kwenye forum ya Kenya.Huko ndiko nilipoweka muendelezo wa hiyo riwaya!
Dola bilioni 4 nimeshaposti kule KTalk ShunieWanakurupuka kila kufikiria wasituchoshe
Mbona mimi kila nikiitafuta Ktalk kwenye Google play siioniDola bilioni 4 nimeshaposti kule KTalk Shunie
Dola bilioni 4 nimeshaposti kule KTalk Shunie
Shunie Utafikiri unasafiri kumbe hapohapo kwenye gadget yako!😀😀😀Uko KT nimekuwa mvivu kuingia yaani sijaingia miezi
Shunie Utafikiri unasafiri kumbe hapohapo kwenye gadget yako!😀😀😀
Mode kaifuta hiyo thread huku .Sasa tufanyeje?Kule pako huru sana.Hakuna mambo ya ban wala kufuta thread!Hivi kwa nn upeleke KT wasomaji tupo huku
KT hawana App mkuu, tumia browserMbona mimi kila nikiitafuta Ktalk kwenye Google play siioni
SasaNimekupata kiongozi Patrick ck masimuliziView attachment 859815