Riwaya: Salamu kutoka kuzimu

Riwaya: Salamu kutoka kuzimu

Status
Not open for further replies.
Mkuu tupo pamoja, hivi Willy Gamba1 hakuwa miongoni kwa wale 190+?
 
Mkuu tupo pamoja, hivi Willy Gamba1 hakuwa miongoni kwa wale 190+?

Watu gani hao mkuu? Mbona kama sielewi hilo la 190+?

Willy Gamba 1 mara yake ya mwisho kuitika jana na leo kundini ilikuwa
Join Date 5th January 2015 Last Activity 15th November 2015 14:09.

Hivyo huenda si mmoja wa hao 190+ japo sijakupata mkuu

cc. m2n
 
Watu gani hao mkuu? Mbona kama sielewi hilo la 190+?

Willy Gamba 1 mara yake ya mwisho kuitika jana na leo kundini ilikuwa
Join Date 5th January 2015 Last Activity 15th November 2015 14:09.

Hivyo huenda si mmoja wa hao 190+ japo sijakupata mkuu

cc. m2n

Kuna wale walitwaliwa kipindi cha kuhesabu kura mkuu
 
Watu gani hao mkuu? Mbona kama sielewi hilo la 190+?

Willy Gamba 1 mara yake ya mwisho kuitika jana na leo kundini ilikuwa
Join Date 5th January 2015 Last Activity 15th November 2015 14:09.

Hivyo huenda si mmoja wa hao 190+ japo sijakupata mkuu

cc. m2n

Nipo mkuu...by the way asanteni kwa kuniita nipo kutekeleza kauli mbiu ya KAZI TU ndio maana sipatikani sana
 
Shukrani sana mkuu ntamaholo naona mambo yanazidi kunoga tu
 
Last edited by a moderator:
ooops! kumbe kuna mambo matamu yameanza tena? mbarikiwe kwa wito wenu
 
tumpongeze ntamaholo kwa kutujumuisha hata waliozila jukwaa hili
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom