Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Kwahiyo unataka kuniibia dear wangu
Kwahiyo unataka kuniibia dear wangu
Hahahahaa, utafanya 'me' wasiwe wanashukuruHaaahaaaa shukrani zote nilizokuwa nakupa ndio niwe me kweli jamani???
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha kumbe tupo wengiHata mimi nilijua ni njemba lenye ndevu kila mahali....
Wewe si una Yusuf jamani!!! Hata hivyo Mimi nampa pongezi kwa leo tuu baada ya hapo nakuachia dear wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaa, nasubiri kwa hamu kuona jibu la hiliWewe si una Yusuf jamani!!! Hata hivyo Mimi nampa pongezi kwa leo tuu baada ya hapo nakuachia dear wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe si una Yusuf jamani!!! Hata hivyo Mimi nampa pongezi kwa leo tuu baada ya hapo nakuachia dear wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm naona nikuachie moja kwa moja
Nani huyooo
Nimeshajibu nakuachia mieHahahahaa, nasubiri kwa hamu kuona jibu la hili
the Legend☆
Hebu nitake radhi.. Mimi ni dume la mbegu, tena shababi na zaidi sana rijali... Nakojoa nikiwa nimesimama na kulishikilia kombeo....
Naam! Mimi ndie!! Alex Kileo...





weka picha tuaminiHebu nitake radhi.. Mimi ni dume la mbegu, tena shababi na zaidi sana rijali... Nakojoa nikiwa nimesimama na kulishikilia kombeo....
Naam! Mimi ndie!! Alex Kileo...
Hahahhahaha
Hapana usiniachie jamani, Mimi kwa leo tuMm naona nikuachie moja kwa moja
Kushare siwezi mama we baki nae moja kwa moyo niko na moyo wa nyama sio chuma