Teh teh...unaovadozi sasa
Hebu kuja uwe kwangu Zainabu? Hahaha
Zabibu bwana
Ya juu sio hofu hiyo mzazi... ni Kikomo! Hofu ni pande fulani za A-Town ambako Willy alikutana na Maninja... sema dah, baada ya Njama nai-feel sana Kufa na Kupona!NasDaz kimbia jukwaa la entertainment hofu ipo kule kuna mdau kaanza kuirusha Hofu'
Ya juu sio hofu hiyo mzazi... ni Kikomo! Hofu ni pande fulani za A-Town ambako Willy alikutana na Maninja... sema dah, baada ya Njama nai-feel sana Kufa na Kupona!
You're right... kwa zile nondo zake za ukweli, nadhani Hofu ilikuwa ndiyo nondo yake ya mwisho kabla hajatoa riwaya ambayo ilizungumzia mauaji ya Kimbali ya Rwanda...Kabisa hofu ni ishubya maninja arusha na nadhani kimetoka mwishoni mwa miaka ya 80 mkuu...i mean kimetanguliwa na Njama Kikomo Kufan na kupona na Kikosi cha kisasi kaka sikosei
You're right... kwa zile nondo zake za ukweli, nadhani Hofu ilikuwa ndiyo nondo yake ya mwisho kabla hajatoa riwaya ambayo ilizungumzia mauaji ya Kimbali ya Rwanda...
KABISAAA! Manake nilikuwa najaribu kukumbuka jina lake, lilinitoka kabisa na sidhani kama ningekumbuka manake nilikisoma mara moja tu na kilivyopotea potea hadi leo hii sifahamu! Si unajua enzi zile, unakuta mtu anakuazima novel, uliyemwazima na yeye anamwazima mwenzake... mwenzake na mwenzake hadi kinapotelea kusikojulikana.Ile ya mauajinya Kimbari inaitwa Uchu mkuu nadhani ninacho.