Riwaya: 'Njama'

Riwaya: 'Njama'

kidi kudi umenifurahisha kwa kitu kimoja, unashusha uhondo kwa speed kali,safi sana umekaza vidole ipasavyo!
 
Last edited by a moderator:
Nimesoma hadi najipa breki mwenyewe.....asante sana
 
Shukrani..jipange kupata 'HOFU' very soon

kidi kudi umetisha mbaya.

Hii kitu nilisomaga 1980s niko primary lakini sikumalizia coz mwenye kitabu alikifuata.

Sijakipata tena until today abt 30yrs later.

Asante sana
 
Last edited by a moderator:
asante mkuu, ubarikiwe sana. weka zote HOFU, KISASI nk. safi sana.
 
Shukrani mkuu, story nzima ipo nina wasiwasi nikiiweka yote kwa pamoja kama itawachosha kusoma. Ila kama mtaridhia sita shindwa kuimwaga yooote mjinafasi kwa raha zenu,mna maoni gani? Nasuburi maoni yenu.

Sawaaaa babaaa
 
Mimi nimesoma haya mavitabu ya hadithi mpaka basi. Kina Ben Mtobwa, sss Simbamwene, Hammie Rajabu Musiba mwenyewe vote vi4....lakini vyooote kilichonishika ni Sofia wa Gongo la mboto. Pili pilipili na pumbazo la moyo....dah kitambo kweli
 
Enzi hizoo za shule ya msingi sio sasa hivi hadithi za ht hazieleweki kopy pestii:what:
 
Naamini nimekata kiu yenu wakuu,,tukutane tena kwa ajili ya riwaya ya HOFU

Sana mkuu yaani sina maneno ya kuelezea shkuraniz angu kwa kutuletea tena riwaya hii ambayo niliisoma nikiwa mdogo an sasa nimepata nafasi ya kuisoma tena...imekuwa kama mpya!

yaani siweze kusubiri mambo ya HOFU na uninja wa Willy Gamba ndani ya Arusha!

tafadhali mkuu tuwekee uhondo
 
Sana mkuu yaani sina maneno ya kuelezea shkuraniz angu kwa kutuletea tena riwaya hii ambayo niliisoma nikiwa mdogo an sasa nimepata nafasi ya kuisoma tena...imekuwa kama mpya!

yaani siweze kusubiri mambo ya HOFU na uninja wa Willy Gamba ndani ya Arusha!

tafadhali mkuu tuwekee uhondo

Na wewe kumbe unapenda?
 
Back
Top Bottom