Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,708
- 8,746
Mkuu The Prover kimya sana
Norshad bobefu zoefu Pablo PAKAYA Ibney blackstarline Bryece Tater, Bigjahman moneytalk, marybaby, nipo2, Bishop Hiluka ram, kisukari, Smart911, Madame S, carbamazepine, Astelia, culture gal , Prisoner of hope, Mine eyes, kuku mweus, Thad, hearly, Shunie, money talk,Tumosa, Kinondoni Sweetheart Mine eyes, Kudo, swahiba92, ludist, Toyota escudo,
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana
Mmh kumbe kuna vidonge vyakutia nyege,jack nae lofa tuRIWAYA: NIACHENI NIKUFURU
MTUNZI: FAHAD MUSSA
EMAIL: fahadmussa55@gmail.com
SEHEMU YA NNE
Roida alitoka chumbani na kuelekea sebuleni alipo Jackline kwa lengo la kufanya kile walichokubaliana na Idris chumbani.
..........."Jack, samahani kwa kukukalisha hapa sebuleni peke yako, yani wenye nyumba tunakimbilia vyumbani alafu wewe mgeni tunakutelekeza hapa peke yako", Roida aliongea huku akitafuta sehem nzuri ya kukaa.
............"Usijali mwaya, hata sikuwa mpweke.Mi mwenyewe nilikuwa bize hapa kuangalia hii filamu. Kwa hiyo ondoa shaka", Jack alijibu.
........."Anyway, Enhe Shosti, hebu nipe kwanza habari za ndoa ili na sisi tunaoiogopa tuweze kuifikiria. Nishachoka kudanga mwenzako"
..........."hahahahaha, usinichekeshe Roida.Unadanga wapi wakati mumeo Idris yupo.Hapo tayari ushaingia ndoani, sina cha kukuelekeza maana kila ninachokifanya na Johnson na wewe unakifanya na Idris, hakuna tofauti japokuwa hamjaoana"
........"Aaaa wapi, ushanipiga gepu shosti, hapa hata akitokea kimada mwingine huko nje akaingilia mahusiano yangu sitakuwa na sauti ya kupambana nae, ila wewe hakuna mjinga atakayeweza kuingilia ndoa yako kirahisi, maana tayari mushahalalishwa kisheria, tofauti na mimi"
..........."Ila ni kweli usemacho Roida, ndoa inakufanya uwe na uhakika na mali yako, hakuna mwanamke atakayevamia shamba lako kirahisi. Sasa kwa nini hamjaoana wakati mumeo ana kazi nzuri tu na maisha yenu mazuri kama yetu"
........."Usijali mwaya, nadhani mwakani tutafunga. Ila nina jambo moja naomba nikushirikishe kama rafiki angu". Roida aliongezea
........."Kwako wewe tena, nitakataaje. Hebu nipe huo mchapo". Jack akajibu huku akikaa vizuri kusikiliza nini Roida anataka kumwambia
........"Jack, hapa nilipo mwenzako nina majanga. Yani Iddy anataka tufanye sex muda wote hadi nachoka mwenzako. Hakuna cha ijumaa wala cha jumatano. Hakuna cha saa sita wala cha saa kumi, yani ni kama kuku, muda wote ni kupandana tu. Hata tulipoingia hapa, tulielekea kwanza chumbani kutuliza kiu yake. Nimemaliza ndipo nimekufata hapa sebuleni"
"Duuh, pole sana mwaya, hawa wanaume wanachosha asikwambie mtu. Hata John nae yupo hivyohivyo tu, ila naona wa kwako kazidi. Kwahiyo umechukua hatua gani?"
........"Hatua ipi ya kuchukua zaidi ya kupanua mapaja tu, sitaki atoke nje ya mahusiano yangu, asije akaniletea ukimwi bureee, ndio maana naendelea tu kuvumilia kumpa"
............."Ni kweli Roi, endelea kuvumilia tu, naamini ipo siku atapunguza mwenyewe. Ukianza kum'bania atachepuka hovyo mwisho wa siku akuletee magonjwa"
.........."Ahsante kwa ushauri wako, ila naomba unisaidie jambo jingine pia. Ila natanguliza samahani"
............"usijali, sema tu Roida, nakusikiliza"
............"Mimi kama mwanamke, nina wivu sawa na wanawake wengine, na sipendi kuona Iddy wangu anaenda kwingine. Ila nimefikiria nimeona wewe unaweza kunisaidia. Nisaidie shosti angu,". Roida aliongea kwa manung'uniko huku chozi likianza kumtoka.
............."Sasa Roida, unapotoa chozi tambua unaniumiza hata mimi mwanamke mwenzako. Nyamaza basi alafu nieleze vizuri, mimi nikusaidieje?".Jackline alimjibu na kuchukua leso yake na kuanza kumfuta machozi Roida.
.............."Jack, naomba unisaidie tushee kwa Iddy, najua ni ngumu kunielewa ila naomba tufanye siri ili unisaidie kupunguza hamu zake. Sipo tayari kuona Iddy anaenda kutafuta wadada wengine ambao mimi siwajui". Roida aliendelea kuongea kwa kwikwi huku akilia. Jackline alishtuka sana baada ya kusikia ombi la Roida.
............"Mmmh, Roida, si unajua mimi nimeolewa jamani. Sasa nitaanzaje kulala na Iddy huku nina ndoa yangu". Jack alihema kwa nguvu huku butwaa bado lingali libichi usoni mwake.
.........."Najua umeolewa Jack, na mumeo ni rafiki mkubwa wa Idris, ila nitajitahidi kuitunza hii siri ili uniondolee hii aibu. Sipo tayari kuachana na Iddy wala kumruhusu aende kwingine, isipokuwa kwako tu". Roida aliendelea kum'bembeleza jack huku sasa machozi yakianza kupungua usoni.
.............."Duuuh, unanipa mtihani mgumu shosti angu, Nafsi inakataa kumsaliti mume wangu Jonhson"
..........."Jack, nipo tayari kukupa chochote ili mradi unisaidie, hata mumeo hawezi kujua chohote. Itabaki siri yetu mimi, wewe na mume wangu tu". Roida aliendelea kusisitiza.
........."Duuuh, huu mtihani ni mzito. Ila sawa shosti angu ntakusaidia ila naomba iwe mara chache sana. Sitaki kuwa mtumwa wenu. Nimekuonea huruma sana". Jack alijibu kwa sauti ya chini huku macho akiyaangalia chini.
'Yes, nimemuweza, kaingia mtegoni mwenyewe. Ngoja niseti mambo hapa nichukue changu napemaa kwa Iddy haraka sana'. Roida alijiwazia moyoni baada ya lengo lake la kumshawishi Jack kufanikiwa.
............."Ahsante sana best angu kwa kunikubalia, sikutegemea kama ungenikubalia ombi langu".
Roida aliinuka na kumkumbatia Jack kwa nguvu huku machozi yakiendelea kumtoka.
Laiti kama Jack angeujua ukweli uliopo baina ya Roida na Id.....
Roida alimuuliza Jack kinywaji anachotumia na kuelekea kwenye friji na kutoa soda mbili za koka na kurejea mezani. Waliendelea kupiga stori za hapa na pale huku wakinywa vinywaji vyao. Dakika kumi baadae Idris akatokea pale sebuleni na kuungana na akina Roida. Walipiga stori hadi saa kumi jioni
BAADA YA WIKI MOJA
..........."Honey, leo ni jumamosi. Naomba basi uniruhusu niende nyumbani kwa Roida japo nikapige nae stori. Kukaa nyumbani nimechoka alafu ukizingatia sahizi sina chochote cha kufanya tangu duka langu la nguo liungue moto". Jack aliongea kwa sauti yake ya kudeka huku akichezea ndevu za Johnson wakiwa wote chumbani.
........"Umenikumbusha malkia wangu, kuhusu duka nina mpango wa kukufungulia kubwa zaidi ya lile, nimepata frem soko la saba saba na nishalipia hela ya pango ya mwaka mzima. Subiri wiki mbili hizi nijichange change alafu tutajua tunaanzia mzigo wa shilingi ngapi. Najua umechoka sana kukaa nyumbani". Johnson aliongea.
.........."Na vipi kuhusu kwenda kwa Roida?". Jack akauliza
..........."Mke wangu, badala ya kuniuliza kodi ya hiyo frem ni sh.ngapi au mazingira ya hiyo frem yapoje, wewe unaona kwa Roida ndo muhimu sana". Johnson aliongea kwa hasira kidogo baada ya kuona mkewe hajatilia maanani maelezo ya duka aliyompa.
.........."Sio hivyo baby, simaanishi kuwa sijali maelezo yako, hapana. Bali nataka tu niende kwa Roida nikapige nae stori, alafu nikirudi tutazungumza vizuri kuhusu hiyo frem. Nisipokusikiliza wewe nitamsikiliza nani tena?". Jack akamtuliza mumewe.
.........."Sawa, we nenda, ila ikitimia saa kumi na mbili kamili jioni uwepo hapa. Mi utanikuta sebuleni nakopi baadhi ya documents za ofisi kwenye kompyuta.
..........."Sawa J wangu, hapo tu ndo ninapokupendea. Ngoja nioge chap niondoke". Jack alishuka kitandani na kuelekea bafuni kuoga. Alipomaliza akaingia tena chumbani na kuanza kujipodoa. Alivaa gauni lake la pink linaloishia magotini, nywele zake nazo zilizoshonewa rasta zilimfanya aonekane mrembo zaidi. Chini alivaa viatu vya pinki vya kisigino kirefu(High hills). Akashika na pochi yake ndogo ya mkononi yenye rangi ya pink. Hakika alipendeza, Uzuri wa sura yake na umbo lake jembamba ila lillilobarikiwa nyuma ndo kulizidi kumpa muonekano wa kuvutia zaidi.
.........."Mmmh, we mwanamke, kupendeza kote huko unaenda tu kwa Roida au kuna sehem nyingine unapitia?". Johnson aliuliza kwa mshango baada ya kumuona wife akiwa kajiremba kiasi kile.
........."Hahahahahaha, jamani darling usinichekeshe mwenzako, nitaenda wapi kwingine zaidi ya kwa Roida. Nimeamua tu kupendeza wala usijali". Jack alijibu huku akimalizia kupaka Lip gross mdomoni.
......"Sawa, we nenda. Ila hongera sana, hakika sikukosea kukuoa. We ni mzuri sana mke wangu, hata nikipita huko mtaani naringa. Sio mtu unakuwa na mke m'baya hadi unaona aibu kutembea nae mtaani". Johnson aliongea huku akimvalisha saa mkewe.
..........."Ndo hivyo, hukukosea. Ulifanya chaguo sahihi mume wangu.". Jack akamjibu mumewe huku tayari akiwa kashamaliza kujiandaa. Akamuaga mumewe na kuondoka.
Aliondoka na gari la mumewe hadi kwa Roida ambapo alimkuta Roida jikoni akipika. Idris alikuwa chumbani akichezea chezea kompyuta yake. Ghafla mlango wa chumbani ukafunguliwa.
........."Iddy, Jack ameshakuja, nipo nae jikoni ananisaidia kupika. Sasa tunafanyaje?". Roida aliongea mara tu alipoingia chumbani.
..........."Oooooh, waooooo. Nashukuru sana Roida, sijui nikupe zawadi gani. Basi naomba uchukue SEP (Sex Enhancement Pills) umchanganyie kwenye juisi, umpe anywe alafu utakuja kunishtua". Idris alimpa maelekezo Roida.
.........."Nipatie kabisa mshiko wangu, maana kazi yako nishaifanya. Kumuwekea SEP kwenye juisi sio kazi ngumu, naenda kumuwekea sahizi". Roida alijibu. Idris alielekea kwenye kabati lake na kulifungua kwa funguo maalumu. Akatoa kiasi cha laki mbili na nusu na kumpatia Roida.
..........."Tulikubaliana laki tatu Iddy, bado hamsini". Roida aliongea kwa ukali". Pasipo kusema chochote, Iddy aliliendea tena kabati lake na kutoka na elfu hamsini. Akampatia Roida.
........"Jiandae kula mzigo, nakuja kukuita sasa hivi". Roida alijibu baada ya kupokea hela na kuziweka kwenye mkoba wake. Akafungua mlango na kuelekea Jikoni.
......."Shosti, nikupatie juisi ya matunda unywe huku tukiendelea na mapishi yetu, au unasemaje". Roida alimuuliza Jack
.........."Poa nipatie, maana joto la humu jikoni lishaniongezea kiu". Jack alimjibu Roida huku akifuta futa jasho kwa leso yake.
Roida, akaliendelea friji lililo karibu na jiko, akachukua Jagi la sharubati (juisi) na kuimiminia kwenye glasi. Akageuka nyuma na kuangalia kama Jack atamuona, bahati nzuri Jack alikuwa bize na sim yake.
Roida akachukua vidonge viwili vya SEP (Sex Enhancement Pills) na kuvitia kwenye ile sharubati (juisi). Aliikoroga vizuri na kumpelekea Jack.
Ndani ya dakika tano tangu Jack aanze kuinywa ile sharubati(Juisi) akaanza kujihisi kama hamu ya kufanya ngono inamjia kwa kasi. Muda si mrefu akaanza kuichafua chupi yake kwa ute uliokuwa ukimtoka. Kadiri mda ulivyokuwa unaenda ndipo hamu zilizidi kupanda kupita kiasi. Hakuna kingine alichokuwa anahitaji muda huo zaidi ya kumpata mtu wa kumkuna, mtu atakayepunguza hamu zake.
USIKOSE SEHEMU IJAYO
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sana
Hahahahaha, ukijichanganya tu, mabaharia wanakunywesha SEPMmh kumbe kuna vidonge vyakutia nyege,jack nae lofa tu
Nishaitupia mkuu, karibu sanaMkuu the The Prover arosto asee hii adithi inaelekea kutamu sanaaaaaa