Shukran sana Prover
Sa hivi jukwaa limekuwa useless !!!Hii riwaya ndo imetokomea kusikojulikana jumlaaaaaa
Sure asee sikutegemea tutaachwa solemba ghafla kiasi hikiSa hivi jukwaa limekuwa useless !!!
Watu wàpo humu kujifanyia promo tu kwa kushusha viepisode vichache then wanasitisha na kutangaza bei......
Stori zote hazifiki mwisho kama zamani.
Ndio mchezo uliopo sasa!!Au ni copied somewhere jamaa kala biti?
Ndiyo maana wengi wamegeuka ghost reader........Sure asee sikutegemea tutaachwa solemba ghafla kiasi hiki