RIWAYA: Mtutu wa Bunduki (1 - 3)

RIWAYA: Mtutu wa Bunduki (1 - 3)

Samahani sana wadau kwa niaba ya mwandishi wa riwaya yetu pendwa. Nimeongea naye mpaka mida ya saa tano usiku huu akawa ameniambia ametingwa kwani anajiandaa kwenda mwanza. Lakini alinihaidi kupost pia aliahidi kuja kwenye uzi huu kuwapa salamu. Sasa naona kimya lakini this is human error tuwe na subira jueni tu hata mimi alosto inanitesa pia. Tuwe wavumilivu.
 
Samahani sana wadau kwa niaba ya mwandishi wa riwaya yetu pendwa. Nimeongea naye mpaka mida ya saa tano usiku huu akawa ameniambia ametingwa kwani anajiandaa kwenda mwanza. Lakini alinihaidi kupost pia aliahidi kuja kwenye uzi huu kuwapa salamu. Sasa naona kimya lakini this is human error tuwe na subira jueni tu hata mimi alosto inanitesa pia. Tuwe wavumilivu.
Umeonyesha uungwana kuja kutoa taarifa. Uungwana ni vitendo mkuu banker !
 
Samahani sana wadau kwa niaba ya mwandishi wa riwaya yetu pendwa. Nimeongea naye mpaka mida ya saa tano usiku huu akawa ameniambia ametingwa kwani anajiandaa kwenda mwanza. Lakini alinihaidi kupost pia aliahidi kuja kwenye uzi huu kuwapa salamu. Sasa naona kimya lakini this is human error tuwe na subira jueni tu hata mimi alosto inanitesa pia. Tuwe wavumilivu.
Asante kwa taarifa mkuu
 
Dahh moja kati ya watunzi ninao wakubali sana...shusha burudani hiyo
 
Wakuu hapo nyuma mpaka leo nilikuwa nawasiliana kwa karibu na mtunzi. Kasema niwatoe hofu kuwa tutaendelea kupata riwaya hii tamu kuanzia ijumaa ya wiki ijayo pale atakapokuwa ameweka mambo yale sawa. Kiufupi mwandishi kawapenda wasomaji wote wa riwaya zake na kama zawadi amenipa riwaya zake mbili niwatumie msome. Moja inaitwa TAI KWENYE MZOGA na nyingine inaitwa MIFUPA 206 msiwr na wasi wasi kabisa. Pia endeleeni kuwasiliana na mtunzi kwa ajiri ya nakala zenu za liwaya ya UFUKWE WA MADAGASCAR, MIFUPA 206 na TAI KWENYE MZOGA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom