mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,282
- 6,162
Mkuu acha tu hii jinsi ya ke ikikuamulia utajuta
Mkuu acha tu hii jinsi ya ke ikikuamulia utajuta
Asante best![]()
![]()
![]()
pole weee

Khaaaa we naeee aseeee![]()
![]()
hizi kelele vp, nlijua mambo tayari
huyo hapo avast ni ww![]()
![]()
![]()
pole weee
Umeonyesha uungwana kuja kutoa taarifa. Uungwana ni vitendo mkuu banker !Samahani sana wadau kwa niaba ya mwandishi wa riwaya yetu pendwa. Nimeongea naye mpaka mida ya saa tano usiku huu akawa ameniambia ametingwa kwani anajiandaa kwenda mwanza. Lakini alinihaidi kupost pia aliahidi kuja kwenye uzi huu kuwapa salamu. Sasa naona kimya lakini this is human error tuwe na subira jueni tu hata mimi alosto inanitesa pia. Tuwe wavumilivu.
Hapana ndg ynguhuyo hapo avast ni ww
AbeeehShunieeeeeeeeeeeeee![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Asante kwa taarifa mkuuSamahani sana wadau kwa niaba ya mwandishi wa riwaya yetu pendwa. Nimeongea naye mpaka mida ya saa tano usiku huu akawa ameniambia ametingwa kwani anajiandaa kwenda mwanza. Lakini alinihaidi kupost pia aliahidi kuja kwenye uzi huu kuwapa salamu. Sasa naona kimya lakini this is human error tuwe na subira jueni tu hata mimi alosto inanitesa pia. Tuwe wavumilivu.
mm naomba Kuja pm tubonge mambo flaniHapana ndg yngu
huko Ndani kwako![]()
![]()
ndo wapi