RIWAYA: Mtutu wa Bunduki (1 - 3)

RIWAYA: Mtutu wa Bunduki (1 - 3)

Ni mpenzi wa riwaya ila huwa sipendi kuwa teja kwa kusubiria zidondoshwe taratibu namna hii....ikiisha naomba mnitag!
Njo makapuku kuna story nimeweka itapidi uanzie mwanzo ipo episode ya 40 now chit chat
 
Njo makapuku kuna story nimeweka itapidi uanzie mwanzo ipo episode ya 40 now chit chat
Asante mamy, ngoja nije ndani ya muda mfupi nitakuwa sambamba nanyi!
 
Mkuu demu wangu namtumiaga kwa whatsapp sasa hizo lawama anazonipaga kwa kumcheleweshea hii adithi ungeiweka yote tu maana nikimkosea kidogo tu lazima Niambiwe na roho mbaya ndo maana namtumia adithi nusu nusu
 
Nadhan ht hii itaishia sehemu Fulani mbele ili ilobaki isomwe kitabuni,yote kher twende kaz!
 
Mkuu demu wangu namtumiaga kwa whatsapp sasa hizo lawama anazonipaga kwa kumcheleweshea hii adithi ungeiweka yote tu maana nikimkosea kidogo tu lazima Niambiwe na roho mbaya ndo maana namtumia adithi nusu nusu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom