RIWAYA: Mtumwa wa Ngono

RIWAYA: Mtumwa wa Ngono

SLAVE SEX(mtumwa wa ngono)……(12)
MTUNZI…..EMMANUEL F. KWAY
Contact…..+255718 862176
AGE….(18+)
ILIPOISHIA.
“Nipishe nina safari,unanichelewesha bwana, toka
mbele yangu NICKSON”
Gloria aliongea kwa ukali na kuyafanya mapigo ya
moyo ya Nickson yazidi kwenda kwa kasi na
jambo hilo kumshangaza sana Nickson na kudhani
wenda anaota ndoto!
SONGA NAYO.
Butwaa alilopigwa Nickson halikuwa na kipimo
chake,alimtizama mke wake mara mbilimbili
aliyekuwa mbele yake akisema kuwa anampotezea
muda tena kwa ukali,alihisi mgongo wake
umepigwa na ubaridi,alihema ndani kwa ndani na
mapigo ya moyo yakamdunda akiwa haamini yale
anayoyasikia kutoka kwa Gloria.
“Sogea basi,au?”
Gloria alizidi kusema, safari hii alisimama na
kuanza kumuangalia mume wake kuanzia juu
utosini mpaka kwenye miguu kwa dharau,hakutofa
utishwa na mtu anayetizama kinyesi!
“Gloria”
“Ndio jina langu,unasemaje?”
“Embuu kaa kidogo tuongee”
“Labda nikirudi”
“Kwani unaenda wapi mke wangu?”
“Sio lazima ujue lakini tambua kuwa nina
safari,tena ya maana”
“Gloria,tafadhali baki na mimi”
“Nickson embu nipite basi,unanichelewesha,kaa
kando”
Katika maneno aliyoongea Gloria hakukua na
masihala ndani yake,ulitokea mzozo mkubwa sana
kwa sababu Nickson hakuwa tayari kumruhusu
Mke wake atoke nje isitoshe hakujua ni wapi
anaenda mbali na hilo pia alikuwa ni mgeni wa jiji
hilo.
Dakika moja baadaye simu ya Gloria ikaita na
kuitoa mfukoni huku akitabasamu na kuiweka
sikioni ili kuongea na upande wa pili wa simu.
“Ndio….natoka nje hapa..kwahiyo tukutane wapi?…
hapo Airpot?. Sio kwako tena?..sasa mimi
sipafahamu, itakuaje?nikodi gari eeh.ahsante
baba,aya sawa.Namimi pia”Gloria akakata simu
baada ya kuhitimisha mazungumzo yake na
Pedeshee Kway.
“Umeona hii simu,naomba nipite sasa”
“Ni nani huyo?”
“Huyu wewe hakuhusu,unachotakiwa kukifanya
wewe hapa ni kunipisha nipite sasa hivi,nitaachwa
na ndege”
“Ndege?”
“Nickson ,usinipotezee muda hapa”
Katika purukushani, Nickson akasukumizwa kwa
nguvu kando na Gloria akatoka nje,moja kwa moja
akaingia ndani ya taxi moja wapo kati ya nyingi
zilizokuwa nje.
“Dada wapi?”
Dereva taxi aliuliza baada ya kumpokea mizigo
mteja wake.
“Airpot”
“Hapo wekundu wawili sista”
“Wekundu wawili ni nini?”
“Elfu ishirini”
“Sawa twende”
Dereva akaingia kwenye usukani safari ikaanza
mara moja.
Nickson alivyotoka nje alimshuhudia mke wake
yupo ndani ya taxi na ikawa imeshaondoka,ha
kutaka kukubali japokuwa moyo ulimuuma
mno,alirudi ndani kwa kasi ya mwewe na kubeba
funguo za gari,ilikuwa ni lazima afukuzie taxi na
azuie safari aliyotaka kuifanya Gloria.
Mkanda kama wa video ulitiririka ndani ya
kompyuta yake ya kichwani akarudi mpaka kijijini
Mwika alivyokuwa na Gloria wakiwa wenye furaha
kisha kufunga ndoa wakiishi wakiwa wenye amani
tele ndani ya ndoa yao.
Aliwaza jinsi alivyomtoa Gloria kijijini kwa wakati
huo alikuwa bado anavaa magagulo akamfundisha
kuvaa vizuri nguo za dukani,lakini leo hii ana
mjibu ovyo kwa dharau,hiyo ikawa haitoshi
akakumbuka jinsi Gloria alivyokuwa amevalia
kimini kilichoonesha mapaja yake nje,Nickson
akapata uchungu zaidi,akazidi kukanyaga mafuta
na gari ikaongeza kasi,katika maongezi aliyoyasikia
kwa mke wake katika simu alisikia neno ‘AIRPORT’
alilijua eneo hilo japokuwa kwa wakati huo
hakuiona Taxi aliyokuwemo mke wake,
ilibidi anyooshe mpaka Airpot na kupaki gari katika
maegesho ya magari akashuka na kuanza
kuangalia huku na kule akimtafuta mke
wake,Gloria.
*****
Pedeshee Kway alikuwa amefika tayari uwanja wa
ndege Mwalimu Nyerere na haikuchukua muda
mfupi wakawasiliana na Gloria, wakaonana.
“Baby safari bado?”
Gloria aliuliza akiwa katikati ya mikono ya
Pedeshee Kway.
“Bado kama dakika hamsini Fulani hivi”Pedeshee
Kway akajibu huku wakianza kutembea.
“Nitafurahi sana niki fika huko ala….”
“Gloriaaa!”
Gloria hakuweza kumalizia sentensi anayotaka
kuongea akakatishwa na mtu aliyekuwa akimuita
jina lake,sauti hiyo aliweza kuitambua ilikuwa ya
Nickson,Mume wake.Akageuka kwa mikogo ya
kisistaduu!
“Unasemaje?”
Namna alivyomjibu Nickson,ilikuwa ni kama
anamjibu mtu wa kawaida kwake, sababu bado
alikuwa amegandana na Pedeshee Kway aliyekuwa
kimnya anamtizama Nickson kuanzia chini mpaka
juu.
“Gloria,nini nimekufanya lakini?mbona unakuwa
hauna shukrani mama angu,tafadhali
usiniache,nakupenda Gloria wangu,nakupenda sana
tafadhali rudi nyumbani,japo chukua hata sekunde
mbili tu ukumbuke wapi nilipokutoa”
Nickson aliongea kwa uchungu,picha aliyoiona
mbele yake ilizidi kumtia wivu zaidi,alishaelewa
tayari hana chake.
“Ha!Haa!Haaaa!,eti nikumbuke nilipotoka wewe
mpumbavu nini,tena uache kuniimbia ngonjera
hapa”
“Gloria usiseme ivyo,mimi nakupenda bado”
“Wewe utampenda nani sasa hivi? Hata ivyo
sijakutambulisha huyu ndiye mwanaume wangu”
“Mwanaume wako kivipi?”
“Kusoma hujui hata picha huoni? Wa wapi wewe!”
Kipindi hicho cha malumbano ya Gloria na Nickson
yakiwa yanaendelea Pedeshee Kway yeye alikaa
kimnya alikuwa ni kama anayeangalia maigizo ya
jukwaani.
Alivyoangalia saa yake ya mkononi aliona ni dakika
thelathini teyari zimekatika,hakutaka tena
kuendelea kupoteza muda,akamshika Gloria kiuno
na kumvuta .Ghafla Nickson akamshika Mkono
Pedeshee Kway ili asiweze kuondoka.
“Kijana! hunijui,sikujui,hatujuani…!”
Pedeshee Kway akageuka akisema huku sura yake
ikiwa imejikunja.
“Jaribu kuwa na ustaarabu kidogo,usijitafutie
matatizo ya kujitakia,UNANICHAFUA”
“Anco tafadhali usinifanyie hivyo”
Nickson akasema kwa uchungu.
“Embu kwanza niachie,hivi nyie vijana mtaacha lini
kuvuta bangi?wewe unamfahamu huyu binti?”
“Ndio ni mke wangu”
“Wapi ameandikwa kuwa ni mke wako?”
“Ni mke wangu Anco”
“Embuu kaa mbali,unanuka jasho! Una uwezo wa
kuwa na mke kama huyu wewe?potea mara moja
usije ukajitafutia mabalaa bwana mdogo”
“Gloria ala…”
Nickson hakuamini macho yake na kusita kuongea
baada ya kuangalia kidoleni kwa Gloria na kutoona
pete ya ndoa,hapo ndipo alichanganyikiwa
zaidi,alimuachia Pedeshee Kway na kuanza
kumvuta Gloria.
“Nickson niachie nakwambia”
“Mke wangu tafadhali,usinifanyie ivy…o nipo chini
ya miguu yako,bado nakupenda kwa dhati.Anco
naomba uniachi..e mke wangu,niurumie nimemtoa
mb…….ali.”
Nickson alishindwa kuyazuia machozi yake
yaliyokuwa tayari yameshaanza kulowanisha
mashavu yake,badala ya Gloria kuuzunika yeye
alicheka.
“Ha!Haaaa!Haaaaaa sasa unalia nini?kisa
naondoka?tafuta mwanamke mwingine Nickson,
mimi sio type yako kwa sasa hivi,achia ngazi”
Gloria aliongea maneno ya dharau huku akitaka
kumtoa Nickson mikononi mwake aliyekuwa bado
analia machozi kama mtoto mdogo.
“Baby,huyu mvuta bangi bado unampenda kwani?”
Pedeshee Kway alimuuliza Gloria.
“Nimpende kwa lipi?”
“Basi nisubiri nakuja”
Baada ya Pedeshee Kway kuondoka.Ghafla Nickson
akaona maaskari sio chini ya kumi wamemfikia na
kumzoa huku wakiwa wameishika suruali yake kwa
nyuma wakimsukuma mbele yaani Tanganyika jeki!
“Jamani nini nimefanya mimi?Yule ni mke wangu”
Nickson alijaribu kuongea huku miguu yake ikiwa
inaelea juu juu.
“Aroo twende,unareta habari za bangi hapa,songa
mbere wewe,utaeleza ukifika kituoni”
Askari mmoja wa kikurya aliyefahamika kwa jina la
Mwita alisema.
“Jamani sio ivy…”
Nickson hakumalizia sentensi yake akatulizwa na
ukofi mkali wa uso na kutupwa ndani ya diffenda
ya polisi.
BILA KUSAHAU KWAMBA HADITHI HII INAPATIKANA
YOTE WATSAP NA INBOX KWA MALIPO YA TSHS
3000/- KWA MWEZI mawasiliano namba +255718
862176.
Sasa unaweza kusoma hadithi za mtunzi kway
insta@storzyakway
ITAENDELEA.
 
SLAVE SEX(mtumwa wa ngono)…….(13)
MTUNZI….EMMANUEL F. KWAY
Contact….+255718 862176
AGE…..(18+)
*******
“Vua mkanda”
“Lakini af….”
“Ebwana vua mkanda na viatu weka pale”
“Nini kosa langu?”
“Unamuuliza nani?”
Nickson alifikishwa kituo cha polisi tabata
Mwananchi akiwa tayari ameumizwa usoni vibaya
mno, kutokana na virungu alivyokuwa akipigwa
bila kosa lolote,aliumia sana moyo,hakujua ni kosa
gani amelifanya mpaka akapigwa kama mwizi,
kilikuwa ni kitendo cha udharirishaji kutokana na
elimu aliyokuwa nayo, isitoshe alikuwa ni
mwanasheria,alielewa sana kuwa maaskari
walikuwa wanaenda kinyume na sheria lakini
alitulia kimnya na kutii amri.
Alivua mkanda na viatu na kutupwa maabusu.Kila
alipomkumbuka Gloria alizidi kuumia zaidi,mpaka
anafikishwa ndani alijua bado yupo kwenye njozi
ya kutisha na muda mfupi atashtuka na kumkuta
Gloria pembeni yake, lakini mambo yaliyokuwa
yanamtokea yalikuwa yana ukweli ndani yake!
“Gloria nimekukosea nini?”
Alijikuta anasema kwa sauti.
“Oyaa vipi bwana mdogo, unaziba oxygen embu
toka hapo”
Sauti nzito ya kukwaruza iliyotokea nyuma yake
ilimshtua akiwa amesimama kwenye
nondo,alivyogeuka alimuona mwanaume mwenye
misuli na mwenye sura mbaya ya kutisha.Usoni
alikuwa ana mabaka kama kenge,akili yake ikampa
jibu kuwa alikuwa ni kibaka,aliyeshi
ndikana.Hakutaka kubishana alisogea mpaka
kwenye kona na kukaa kitako.
“Nani kakuruhusu ukae huko?”
Jitu hilo lilizidi kuuliza ki utemi.
“Naongea nawewe bwana mdogo,embu sogea
hapa”Jitu hilo lilizidi kuamuru.
Ndani ya chumba hicho kulikuwa kuna harufu kali
ya vinyesi na mikojo kutokana na dirisha moja
dogo lililokuwa juu, hewa ilikuwa finyu.
Nickson alikuwa yupo mahabusu kimakosa na
aliyesababisha hayo yote alikuwa ni mke wake
waliohaidiana kanisani kuwa watapendana katika
maisha yao yote duniani,lakini ilikuwa kinyume.
“Jina lako nani dogo?”
“Mimi naitwa naitwa Nickson”
“Ongea kwa ukakamavu”
“Naitwa Nickson”
“Embu nivulie hiyo pete yako fasta fasta”
Swala la Nickson kutoa Pete yake ya ndoa lilikuwa
bado gumu na bado alimpendsa sana Gloria
japokuwa alimtenda vya kutosha,kwake pete hiyo
ilikuwa na maana kubwa sana.
“Hapana kaka,labda kitu kingine lakini sio hii pete”
“Unasema nini wewe fala!”
Nickson alipigwa ukofi mkali na kudondoka
chini,hapo hapo alivuliwa pete na ikachukuliwa.La
kini baada ya pete kuchukuliwa mtu huyo mwenye
miraba minne alimtizama Nickson kwa macho
yasiyo ya kawaida.Nickson alitafsiri kitu kupitia
macho ya Mwanaume huyu mwenye mwili mkubwa
kama mcheza mieleka wa marekani aliyeitwa
‘UMAGA’.
“Inabidi usiku tuongee vizuri”
Hapo ndipo Nickson akapata picha ya nini
kilitakiwa kifanyike baada ya kusikia maneno hayo
ya kutisha,aliogopa sana na machozi kumlenga.
Nickson alihitajika kuingiliwa kinyume na
maumbile kutokana na uzuri wake wa sura.
Kitu alichokifikiria kichwani ndicho kilichotokea
usiku ulipofika Mwanaume aliyekuwa naye ndani ya
mahabusu moja aliyejitambulisha kwa jina la
Tompoo alianza kumsumbua Nickson akimfanyia
vitendo vya ajabu.
“Tulia,ili jambo hili lifanyike kiwepesi,hata ukipiga
kelele haitokusaidia Mimi ndio Tompoo,tulia
kisura”
Alisema Tompoo huku akishusha nguo yake ya
Ndani na kufanya maumbile yake makubwa
kuonekana huku akiwa anamsogelea Nickson
aliyekuwa anarudi kinyume nyume na kufika
kwenye pembe ya ukuta, jambo hilo hakutaka
lifanyike lakini hakuwa na uhakika kama ataweza
kushindana nguvu na Tompoo ambaye uume wake
ulikuwa teyari umesimama imara na mkononi
alikuwa ameshika kikopo chenye mafuta.
Nickson alijaribu kupiga kelele lakini alikamatwa
kohoni na kupigwa ngumi ya tumbo iliyomfanya
ajikunje mpaka chini.Hapo ndipo Tompoo
alipoanza kulipaka Kombola lake mafuta
akamgeuza Nickson na kumvua Suruali yake kwa
nguvu zote,alichomfanyia hapo ni kitendo ambacho
kilicho sababisha Mungu aiteketeze Sodoma na
Gomola.Nickson alilia kwa uchungu wakati wa
tendo hilo likiwa linafanyika aliomba msaada kwa
askari lakini alisikia tu wakicheka!
***
Wakati Nickson akisota mahabusu yeye Gloria
alikuwa Afrika Kusini jijini Cape town usiku huo
yupo na Pedeshee Kway uchi wa mnyama,
wanafurahia maisha katika hotel ya nyota tano
iliyoitwa Swein Hotel,iliyokuwa na kila kitu ndani
yake,Gloria alizidi kulewa na maisha mazuri
akasahau alipotolewa na Mume wake Nickson
Shayo, Moshi kijijini Mwika akampendesha na
kumpa mapenzi yote,katika akili yake hakuwepo
tena mtu anayeitwa Nickson,pesa za Pedeshee
Kway zilifanya kazi kisawasawa!
sio pesa tu hata kitandani mwanaume huyu tajiri
hakuwa gogo, aliweza kumpagawisha vizuri Gloria.
Ambapo kwa wakati huo alikuwa ameweka ulimi
wake ndani kabisa ya mgodi wa Gloria huku mkono
wake mmoja ukiwa juu ya chuchu za mrembo
huyo.Gloria alidata, akili yake haikuwa hapo
tena,ilisafiri maili nyingi zaidi,mpaka wakati huo
alikuwa yupo katika mzunguko wa nne.
Pedeshee Kway alivyohisi kuna maji maji ndani ya
mgodi alipanda juu yake na kuanza kulana denda
kwa fujo huku kidole chake kikipita kwenye masikio
ya Gloria kikashuka na kupapasa maziwa na
taratibu kwenye kitovu kisha mgodini hapo ndipo
Gloria alipoanza kukatika taratibu mno akitoa
miguno ya puani.
Ilionesha kuwa mambo hayakuwa mazuri
kwake,bila kuulizwa alishika tango la Pedeshee
Kway na kulitumbukiza shimoni,ilionekana
uzalendo ulimshinda na alihitaji huduma ya haraka
sana.
Hapo ndipo Pedeshee Kway nayeye alianza
kujituma kwa kasi, alizungusha kiuno chake na
yeye kwa madoido akikatika juu ya kiuno cha mke
huyu wa mtu aliyekuwa mzuri mno,mikao mbali
mbali ilibadilishwa na baada ya dakika arobaini na
mbili Pedeshee Kway alikuwa ametulia juu kifuani
kwa Gloria wakiwa wamekumbatiana wamechoka.
*****
Kelele za gari la wagonjwa iliyosikika asubuhi hiyo
kwenye barabara ya Mandela Road likitokea kituo
cha polisi Tabata mwananchi likiwa katika mwendo
wa kasi isiyo ya kawaida lilizidi kuchanja mbunga!
kama sheria za barabarani zinavyotaka magari
yote yalilipisha gari lililokuwa limewasha taa zake
juu huku dereva aliyekuwa ndani ya gari hilo
akijitahidi kuomba njia na kuzidi kukanyaga
mafuta.
Ndani ya gari alikuwa amelala Nickson hana
fahamu kabisa,damu zinamvuja nyuma ya makalio
yake na kufanya mashuka yachafuke,ni baada ya
kufanyiwa kitendo kibaya na Tompoo cha
kuingiliwa kinyume na maumbile yake.Kutokana na
Mwanaume huyo kuwa na maumbile makubwa
alimchana vibaya sana, tena bila kujali alikuwa
akirudia raundi nyingi tofauti,hapo ndipo Nickson
akapoteza fahamu zake,hakuelewa ni kitu gani
kinachoendelea ulimwenguni baada ya hapo.
Spidi mia ishirini gari la wagonjwa likakunja kona
barabara ya kuelekea Tabata na kuiacha inayoenda
Buguruni,likashusha kilima likapandisha na
kukunja kidogo kushoto,likafunga breki za ghafla
katika Hospitali iliyoandikwa Madona.
Haraka haraka manesi wakashuka garini,wakiwa na
machela,kila aliyemwona alitingisha kichwa.
“Ilikuwaje huyu?”
Muuguzi mmoja alimuuliza Mwenzake aliyekua
akishuka ndani ya gari.
“Amefanyiziwa”
“Ndio najua,imekuaje?Ni shoga au?”
“Sidhani,embu muwahishe ndani mara moja,dokta
yupo?”
“Ndio yupo na alikuwa anawasubiri”
“Basi fanya apatiwe huduma ya haraka”
“Duuu!”
Nesi alizidi kustaajabu,japokuwa Nickson alikuwa
amepoteza fahamu lakini damu nyingi zilizidi
kumtoka makalioni, picha ilioneha kuwa alijeruhiwa
sana na hiyo ndiyo picha iliyoonekana hata kwa
manesi waliokuwa wanapita kandokando.
Machela ilisukumizwa harakaharaka mpaka
chumba cha wagonjwa,kisha dokta akatoka mbio
mbio.
“Mmemuandikia dawa?”
Dokta Muna alimuuliza nesi baada ya kutokeza
mlangoni.
“Hapana tulikuwa tukikusubiria wewe hapo,ili
umuangalie kwanza,maana hali yake sio nzuri”
Alijibu Nesi na kumpisha Dokta Muna.
“Mungu wangu”
Dokta Muna alisema kwa Mshtuko wa waziwazi
baada ya kumchunguza Nickson.Moyo wake
ukadunda kwa nguvu kutokana na kuona kitu
ambacho hakukitegemea katika maisha yake tangu
aanze kazi yake ya Udaktari.
“Kuna tatizo kubwa hapa,Suzi embu njoo ofisini”
BILA KUSAHAU KWAMBA HADITHI HII INAPATIKANA
YOTE WATSAP NA INBOX KWA MALIPO YA TSHS
3000/- KWA MWEZI, mawasiliano namba +255718
862176
Sasa unaweza kusoma hadithi za mtunzi kway
insta@storyzakway
ITAENDELE
 
Gloria anastahili adhabu kali kwa ukatili aliomfanyie mumewe mpaka kupelekea kulawitiwa
 
Gloria anastahili adhabu kali kwa ukatili aliomfanyie mumewe mpaka kupelekea kulawitiwa
Ila hii transition imekuwa gafla sana aiseee... Na hivi alikataa ile ofa ya bosi wa mumewe mara kabadilika gafla!!
 
kuoa mwanamke mzur umeolea watu yani mpaka machoz yamenitoka
 
Ndio maana mwanamke mrembo humtafsiri tofauti sana. Huyu niliemua watu hunidharau kwanini nioe mke sura kauzu na shule yote?

Warembo ni road to temporal pleasure. Usilete ufundi sana. Na kujidai kupenda, unapoteza muda.

See Kijana Diamond-atahamia kenya au kokote. Ila nimecoment hivi kwa hizi stor tu! Ukweli upo...
 
Plot iko sawa. Kiswahili ndio cha kisharobaro. E.g. Africast=>half cast(nusu mweusi nusu mweupe)
 
SLAVE SEX(mtumwa wa ngono)…..(14)
MTUNZI…EMMANUEL F.KWAY
Contact….+255718 862176
AGE….(18+)
ILIPOISHIA.
Dokta Muna alisema kwa Mshtuko wa waziwazi
baada ya kumchunguza Nickson.Moyo wake
ukadunda kwa nguvu kutokana na kuona kitu
ambacho hakukitegemea katika maisha yake tangu
aanze kazi yake ya Udaktari.
“Kuna tatizo kubwa hapa,Suzi embu njoo ofisini”
SONGA NAYO.
Kitu cha kwanza kukifanya baada ya Dokta Muna
na Nesi Suzi kuingia ofisini walichukua bomba na
kurudi nalo mpaka chumba alicholazwa Nickson
hapo waliburuza kitanda chake mpaka chumba
kingine cha jirani,wakamvua nguo zake zote kisha
kupitisha bomba nyuma ya makalio yake ili kutoa
uchafu uliosababishwa na kuingiliwa kinyume na
maumbile, baada ya kitendo hicho kufanyika
alipelekwa kwenye chumba cha operesheni na
kushonwa nyuzi tano,akachomwa sindano ya anti
biotic kisha wakamuacha.
“Inabidi apumzike mpaka baadaye atakapo amka ili
tujuwe tutafanya nini, sasa hivi saa ngapi?”
“saa sita”
“By saa nane akiwa bado hajapata fahamu uje
ofisini kwangu”
“Sawa dokta”
“Endelea na kazi,mimi nipo ofisini kwangu
usisahau kumuandikia dawa Yule mgonjwa
aliyepata ajali ya pikipiki”
Dokta Muna akaacha maagizo na kuondoka zake.
****
Kitu cha kwanza kukihisi yalikuwa ni maumivu
makali sana chini ya mgongo wake ndani ya
makalio yake, alihisi kuumia mno, maumivu
aliyokuwa akiyasikia hakuweza kuyafananisha na
kitu chochote kile,kumbukumbu zake zilianza
kurudi nyuma taratibu akaangalia pembeni yake na
kuona vitanda na watu wakipishana wamevalia
nguo nyeupe,haraka akagundua kuwa yupo
Hospitalini.
Kitendo cha kwanza kukikumbuka ni kuingiliwa
kimwili kinyume na maumbile, sura ya Gloria
ikamjia kichwani kwake akaanza kulia machozi ya
uchungu bila kutegemea.
Hakika hakustaili adhabu hiyo, ilikuwa ni aibu
kubwa sana kwa kitendo alichofanyiwa hakuwa na
uhakika kama tayari watu walikuwa wanajua
kitendo alichofanyiwa cha kulawitiwa.
“Kaka unajisikiaje?”
Nesi alimuuliza baada ya kupita kandokando yake.
“Na..jisiki..a vizuri,vi.pi kuna watu walikuja
kuniona?”
“Nafikiri wapo njiani walipigiwa simu na ndi…”
Kabla ya Nesi kumaliza kuongea mlango
ukafunguliwa akatokeza Dokta Muna akiwa na
kijana mrefu maji ya kunde,Nickson alimtambua
kuwa alikuwa ni Tito rafiki yake kipenzi,alishindwa
kuvumilia na kujikuta analia tena, machozi
yakamtoka kama maji yakapita pembeni ya
mashavu na kulowanisha kitanda.
“Nickson,vipi rafiki yangu,imekuaje tena kaka?”
Aliuliza Tito akiwa katika hali ya uzuni.Hali
aliyomkuta nayo rafiki yake ilimtisha
kupindukia.Akasogea karibu na kumshika bega.
“Nickson nini tatizo ndugu yangu?”
“Ni.. st..ori ndefu Tito ndu..gu yangu lakini sasa
hivi naumwa sana”
“Usilie sasa mbona kuumwa ni sehemu ya
matatizo,vipi Nesi imekuaje huyu yupo hapa?”
Ilionekana Tito hakujua lolote.
“Tafadhali naomba utoke nje,kwa sasa hivi
mngonjwa apumzike”
“Sawa”
Tito akatoka nje.
Kadri siku zilivyozidi kukatika ndipo hali ya
Nickson ilizidi kuonesha matumaini japo alitembea
kwa tabu huku miguu yake akiwa ameitenganisha
huku na kule, hakutofautishwa na mtu mwenye
ugonjwa mbaya wa kaswende au Gono.Kila
mfanyakazi mwenzake aliyekuja kumuona
alitingisha kichwa.
Lakini katika watu wote waliokuja kumuona
Nickson, Mke wake hakuonekana hata mara
moja,hilo likazua maswali mengi kila ndani ya
kichwa cha mtu.Lakini hawakutaka kuhoji maswali.
“Nickson mbona wife sijamuona tangu
ulivyokuwepo hapa hospitali?”
Tito aliuliza siku hiyo wakiwa ndani ya gari baada
ya Nickson kuruhusiwa siku ya nne.
“Yupo kwao Moshi”
Nickson alidanganya hakutaka kabisa kuanika
mambo yake ya ndoa kwa kila mtu.
“Pole sana,lakini hukunihadithia ilikuwaje”
“Acha tu nitakuhadithia siku nyingine usijali”
“Okay”
Walizidi kusonga mbele mpaka Tabata Segerea
wakiwa ndani ya gari mpaka walipofika nyumbani
kwa Nickson akashuka Tito akamsindikiza swaiba
wake kisha kuondoka.
“Gloria,Gloria…”
Nickson alijaribu kuita ingawa alijua Gloria
hakuwepo ndani,hakutaka kuamini kuwa bado
hajarudi nyumbani,alijikuta akilengwa na machozi
hasa alipofika kitandani na kukuta hayupo Gloria,
nyumba ilikuwa kimnya.
Picha ya Gloria ikapita kichwani akaangalia
kitandani akamuona jinsi alivyokuwa ana kanga
moja na kumuita,alizidi kuvuta kumbukumbu
akakumbuka walivyokuwa wakifanya starehe za
kitandani mchana na usiku.
Akashindwa ni kitu gani akifanye.Bado alidhani
anaota ndoto ndefu ya kutisha ambayo angeshtuka
muda mfupi na kumkuta Gloria wake.
Hakuelewa ni kitu gani kilimkumba,alienda bafuni
na kujimwagia maji kisha kujitupa kitandani.Kwa
kuwa siku hiyo ilikuwa Ijumaa na kesho yake
kulikuwa hakuna kazi ivyo alitumia muda huo
kutafakari juu ya maisha yake.
*****
“Baby”
“Yes”
“Huyu nani?”
“Yupi?”
“Huyu aliyetuma meseji,sijui anashukuru kwa penzi
ulilompa”
“Rafiki yangu”
“Kivipi?”
“wewe jua ni rafiki yangu,acha maswali”
Mapigo ya moyo ya Gloria yalimwenda mbio kupita
kiasi, meseji aliyoiona kwenye simu ya Pedeshee
Kway ilimkosesha amani na kujikuta anaingiwa na
wivu akazidi kuuliza tena.
“Nipatie simu yangu,kuna mtu nataka kumpigia”
Pedeshee Kway akachukua simu kwa nguvu na
kuitupa pembeni.
“Hujanijibu lakini”
“Achana na hiyo meseji,unanipenda?”
“Ndio”
“Sasa tatizo lako nini?”
“Sina tatizo”
Gloria akajibu kishingo upande wakiwa bado wapo
kitandani asubuhi,safari ya kwenda uingereza
ilighairishwa, Pedeshee Kway aliamua kula maisha
na mke huyo wa Mtu Afrika Kusini wakawa
wanazunguka kila mahali.
Mara ghafla Gloria akatoka kitandani mbio na
kuelekea bafuni akimuacha pedeshee Kway
kitandani anamtizama kwa mshangao,alivyorudi
alitabasmu.
“Vipi?”
“Hakuna kitu”
“Mbona umetoka ghafla?”
“Tumbo linanisumnbua”
“Ahaa”
Wakasogeleana wakaanza kulana denda,hazikupita
hata sekunde tano Gloria akasimama wima na
kukimbia tena Bafuni,hapo ndipo Pedeshee Kway
akamfuata nyuma.
“Mbona unatapika,tatizo nini?”
“Sijui mpenzi”
“Itakuwa Malaria,pole sana”
“Ahsante baby”
Sio kwamba Gloria hakujua nini tatizo, alielewa
wazi ilikuwa ni mimba ndiyo inasababisha jambo
hilo litokee,hakuelewa pedeshee Kway atamfikiria
vipi endapo atasema kuwa ana ujauzito tena siyo
wa kwake.
Kadri siku zilivyozidi kusogea mbele hali ya Gloria
ilizidi kuwa mbaya,alitapika mara nyingi hapo
ndipo Pedeshee Kway alipomchukua na kunyoosha
mpaka hospitalini.
Majibu yalivyotoka yalimshtua Pedeshee Kway
akasimama na kuondoka huku akimuacha Gloria
akiwa ofisini kwa daktari.Alichukia ajabu alivyosikia
Gloria ana ujauzito, akaingia moja kwa moja ndani
ya gari lake, kabla ya kuliwasha Gloria akatokeza
akagonga kioo na kikashushwa.
“Unataka nini?”
Pedeshee Kway akauliza kwa Jazba huku sura yake
ikiwa imejikunja.
“Mbona umeondoka ghafla?”
“Wewe mpumbavu nini? Tena usinizoee toka
kwenye gari langu,usilitie nuksi zako”
“Kway jamani”
“Embu wewe..usinishike Malaya,Tena ukome kuliita
jina langu,naomba fanya yako namimi nifanye
yangu,hunijui sikujui,siwezi kulea mimba za
wanaume wenzangu”
Hayo ndiyo maneno aliyoongea Pedeshee Kway
huku kioo cha gari kikipanda juu,hakutania alitoa
gari kwa kasi na kumuacha Gloria akiwa hospitalini
asijue wapi aelekee kwa sababu alikuwa bado
mgeni wa jiji la Afrika kusini.
BILA KUSAHAU KWAMBA HADITHI HII INAPATIKANA
YOTE WATSAP NA INBOX KWA MALIPO YA TSHS
3000/- KWA MWEZI.mawasiliano namba +255718
862176
Sasa unaweza kusoma hadithi za mtunzi kway
insta@storyzakway
ITAENDELEA.
 
Ndo tabu ya kuoa kijijini akishaingia mjin tu ni shidaaaa?
 
Back
Top Bottom