Riwaya mpya: Mbwa wa geti

Riwaya mpya: Mbwa wa geti

Mbwa wa geti

Sehemu ya nane


Rpc akachanganyikiwa na hapo akaona anachezewa shere ndani ya mkoa wake,hiyo ni dharau akanyanyua simu na kupiga makao makuu.
*****

Kabah alikuwa amezungukwa na vijana kama sita hivi na vijana wote hawa walikuwa na T-shirt nyeusi zenye kichwa cha mbwa alieachama,wlikuwa ni vijana wa kikundi cha mbwa wa geti wakiongozwa na Temba.

Temba alikuwa anamkabidhi Kabah majalada kadhaa alioyachukua kutoka kwa askari wasaliti waliokuwa ndani ya jeshi.

Kabah aliyatia moto huku akitabasamu.

“hakuna kosa lolote?” aliuliza Kabah.

“Hatuna huo utaratibu wa kuacha nyayo mkuu” alijibu Temba kwa kujivuna

Wakiwa katikati ya maongezi gari ya Burizozo rafiki mkubwa wa Kabah ikaingia na kisha akateremka akiwa na picha mbili kashikilia,alipokifikia kile kikundi akamkabidhi zile picha Kabah na kusema

“Hawa wameagizwa kutoka makao makuu na wataingia hapa usiku huu,watafikia hotel ya perugina”

Kabah alicheka kisha akachukua picha zile na kumkabidhi Temba,Temba akazitazama kisha akaguna jambo lililofanya macho yote yamtazame.

“Kama huyu kweli yupo basi anatakiww kufa ndani ya usiku wa leo kabla hajapiga hatua yoyote ile” alisema Temba

“unamfahamu?!”aliuliza Kabah

“Ndio”

Burizozo akamtazama Temba kisha akamsukuma kwa kidole cha shahada huku akisema

“mh unalipwa kwa kazi kama hii,sitaki kusikia unanbia upuuzi huo wafe leo ama kesho,kikubwa wafe”

Temba alimtazama Burizozo aliekuwa anamwagiza Temba kwa dharau ,alitamani amshambulie japo kwa kichwa tu lakini haikuwezekana na hakuhitaji hilo litokee kwa wakati huo.

Wakati Burizozo akiongea na vijana wa Temba na Temba mwenyewe,Kabah alikuwa anaongea na simu kutoka kenya,simu ile ilimchamganya,tayari Zedi alikuwa ameanza kuleta madhara upande wake,kwa hasira akaioki bastola yake na kumpiga risasi ya kifua kijana wa Temba na kumuua papo hapo,jambo lile likamkera zaidi Temba na hata vijana wake hawakuonekana kulifurahia ila wakapata ishara kutoka kwa Temba ya kuwa watulie wasifanye lolote wakati huo zaidi walimchukua kijana mwenzao na kuelekea kumpeleka kuzika na kikao kile kikaishia pale huku Burizozo akimchukua Kabah wakaingia ndani huku nyuma waliacha maagizo kwa vijana ya kuwashugulikia wapelelezi kutoka makao makuu.

***

Wakati Temba akiwadhani tukio lile halikuonwa na watu wengine alikosea sana.

Siku ya tukio

Watu wawili walikuwa wamekalia viti ndani mgahawa bora na wa kisasa uliokuwa pembeni kidogo ya mataa,mgahawa huu uliitwa Destination.

Walikuwa wamependeza huku muda mwingi nyuso zao zikiwa zimepambwa kwa tabasamu la upendo.
“u mzuri sana mwanamke wewe,yaani natamani uwe wangu milele” alizungumza mwanaume aliekuwa amekaa kwa kuelekea upande wa barabara.

“mh Ziga mpenzi acha kunipamba hivyo mwenzio naona aibu” aliongea mwanamke kwa madeko huku akiachia kicheko laini kilichousisimua mwili wa komando Ziga ambae kwa sasa anahudumu ofisi kuu hapo alikuwa likizo yeye na mpenzi wake huyo waliekutana kwenye hekaheka za kikosi cha pili.

“Mina sio siri umeuteka moyo wangu huwa natamani kuwa nawe kila sekunde itambaayo,pua zangu hunusa harufu ya ngozi yako hata kama ukiwa umbali wa anga ama haki…..”

Pah,pah..

Wapenzi wale haraka walisahau mideko yao na nyuso zao wakazielekeza kule walikosikia mlio wa risasi na hapo wakashuhudia mparanginyiko wa watu waliokuwa wanakatiza barabarani huku madereva nao wakinusuru roho zao kwa kuvunja sheria za mataa.

Ziga akasimama huku mkono wake ukiwa unaelekea kiunoni,lakini Sajini Mina akawahi kumshika na kumzuia na kisha akamwambia

“mpenzi sio kila muda ni kazi,tupo likizo tuwaachie wenyewe na yaezekana ni uporaji tu huo mmh”

Ziga akimtizama mpenzi wake huyo na pasi kusema kitu alikaa.

Ni wakati anakaa tu ukaanza tena mrindimo wa risasi na kitendo kile kikaibua mashaka kwenye fikra zao,maana gari moja imeshambuliwa na watu wa aina mbili tofauti.

Mrindimo ule ulipokoma,wakasimama na kuondoka maana hata wahudumu wa mgahawa ule haikujulikana walikoelekea.

Ni wakati wanaanza kundoka ndipo wakashudia magari mengi ya polisi yakifika eneo lile na ulinzi kuimarishwa.

“Hebu ngoja niangalie kuna kitu gani kinaendelea pale” alisema Ziga huku akishuka ndani ya gari na kujichanganya na raia waliokuwa wameanza kujaa eneo lile.

Katika machache alionasa ni kuhusu faili lililopotea na pia alijua walioshambuliwa ni askari wa mkoani,Ziga aliona awaachie wenyewe akarudi ndani ya gari kisha wakaondoka kuelekea kwenye hotel waliofikia.

Usiku wa siku hiyo uliwakuta wapenzi wale wakiwa wanaogeshana ndani ya hotel kubwa na ya kisasa ilioko pembeni kidogo ya mji,hotel ya perugina.


Nb:wakati huu wa Ramadan tujaribu kufungua nyoyo zetu katika kuonesha tupo pamoja kila hatua
Utaonekana mnafiki na dhambi itakuandama kama kila siku unasoma hapa afu hata hukoment wala hulike.
Ila unangoja shetani akutumie siku nikiwa kimya kwa sababu mbalimbali basi uje hapa kutukana na kukejeli......

Zika unafiki leo sapoti kazi zetu waandishi hata kama haijakufurahisha sema ili tuumize kichwa kukufanya utabasamu kila usomapo

S
Asalaam kudo
 
Dyuuu hatare sanaaaaaaaaaaa mzigo unazid kukaa sawa bin sawia....thanks mkuu kud900
 
Mbwa wa geti

Sehemu ya tisa



Usiku wa siku hiyo uliwakuta wapenzi wale wakiwa wanaogeshana ndani ya hotel kubwa na ya kisasa ilioko pembeni kidogo ya mji,hotel ya perugina.

Wapenzi hawa walikuwa wanyoana via vyao vya uzazi,huku wakitomasana hapa na pale kwa uchu wa ngono.

Zoezi lao la kutomasana,kuogeshana na kusafishana,lilikamilika huku likiwa linawalazimisha kuingia kwenye zoezi lingine.

Ziga akambeba Mina kisha akaichomeka saundi na kuanza kupampu huku akipokea sauti ya wizi kuribu na masikio yake.

Zoezi lile alilifanya kutokea bafuni hadi kitandani kisha akambwaga Mina huku wololo yake ikiwa imesimama kwa uchu ikitamani kuzama kwenye sangulo ya Mina.

Ziga alipanda kitandani na akamshika Mina,lakini kwa makusudi Mina akatoa sauti ya Madeko eti anaogopa wololo ya Ziga.

Ziga nae kwa uchu akawa anataka kulazimisha maana maji yalikuwa yamezidi kingo,lakini akakuta Mina akiwa amebana upaja.

Loh wanawake wamejaliwa uwezo wa ajabu,na nguvu zote za Ziga ila alikwama kupanua mapaja ya mpenzi wake huyo aliekuwa anamfanyia kusudi ili mradi tu ilikuwa ni mbinu ya kutia hamasa kwenye mtanange ambao Mina aliamini utamwacha hoi na sangulo yake ikiwaka moto.

Ziga ikabidi awe mpole aanze kubembeleza apewe Sangulo.

“Mpenzi niachie kidogo basiii mmh!!”

“Aku sitaki leo niache mhm!!”

“Bebi niachie kidogo basi hata kichwa tu kiingie…!!”

Mina huku akitabasamu kwa mbali akajibu

“ Aha wololo yako haina mabega bwana itazama yote mh””

Ziga aliyadaka maziwa ya Mina yaliokuwa yamesimama kama papai changa juu ya mti wake akayatia mdomoni na hapo akaona miguu ya Mina ikichanua nae bila ajizi akaushika uwololo wake na kuupeleka kunako sangulo na kilichofuata si kuingiza kichwa tena ilikuwa ni watu kucheza ekibinda nkoi.
*****


Mina alikiweka kichwa chake kifuani kwa Ziga huku mikono yake laini ikipapasa kifua kile kipana na usingizi ulimpitia huku Ziga akiwa anapapasa kishudu cha Mina taratiibu na mawazo mapya yakikkfikia kichwa chake

Alimkumbuka Zedi

Taratibu akamweka pembeni Mina na kushuka kitandani kisha akaifuta simu yake na kuzitafuta namba za Zedi,lakini hazikuwa zikipatikana,akaamua kupiga namba za Tausi mke wa Zedi,nazo hazikupatikana na hakutilia shaka sana,akajivuta taratibu na kurudi kitandani huku macho yake yakiwa juu ya mwili wa mwanamke wa ndoto zake Mina.

Alikuwa hajapata hata lepe la usingizi simu ya Mina ikaita,akasonya huku akienda kuipokea ama kuizima kabisa,lakini aligairi baada ya kuona jina la mpigaji likiwa limeandikwa Chief

Haraka alimwamsha Mina.

Simu ile ikabadili kila kitu ndani ya likizo yao na ikaibua mapya na mageni masikioni mwa watanzania na waafrika kiujumla.

****

Zedi alikuwa anauacha mji wa Nyeri huku akiwa ni abiria asie maalumu ndani ya gari la kubeba mizigo aina ya fuso.

Lakini aliona tofauti nyusoni mwa wenyeji wake ambao kila mara walikuwa wakimtizama kijicho pembe kila mara huku mara chache akiwasikia wakiongea lugha ya kitaita ambayo hakuambulia neno hata moja.

Nafsi yake ilikataa kuwaamini dereva na tingo wake na kila mara alikuwa akiona utingo yuko bize kuwasiliana kwa njia ya ujumbe mfupi huku kila akimaliza kutuma anamtazama Zedi.

Walikuwa wamebakiza kilomita chache waingie mjini Nairobi na tayari walikuwa wanaingia sehemu maalumu ya kupimia uzito wa magari

Tingo alishuka,na dereva nae akashuka ni wakati huo Zedi aliutumia kukagua gazeti la Jambo Kenya na mwanzo tu akakutana na picha yake kubwa huku ikiwa imeambatana na maneno kadhaa juu yake,lakini pia aliona kiasi cha pesa kilichowekwa kama zawadi kwa atakae fanikisha kukamatwa kwake.

Alitabasamu na hapo akaona ndio muda sahihi wa yeye kuwaacha solemba watu wale.

Kulikuwa na foleni ya malori mengi yaliohitaji kupima uzito pale na na hivyo watu kadhaa walikuwa wapo chini wakifanya biashara zao,zedi akawatazama watu wale na kisha akatumia kioo cha upande wa dereva kuona waliko wenyeji wake na jambo la ajabu kabisa aliona dereva akiteta jambo na askari maalumu wanaokuwa wanalinda vituo vile,Zedi hakuwa mjinga.

Itaendelea
 
Mkuu kudo900 mambo ni pls ongeza hata uwe unatoa 2 tu ili kawe karefu kidogo.!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom