Wajameni mbona kimyakimya huko pm, tafadhali msiniache
Wajameni mbona kimyakimya huko pm, tafadhali msiniache
Hakuna pm wala nn ndgu yngu tumsubiri kulubule tu hapaTumosa nipm na mim bathiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kwani pm ndio wapi ndio kwa bwana Majaliwa ama?Hakuna pm wala nn ndgu yngu tumsubiri kulubule tu hapa
Shangaa na ww shemelaKwani pm ndio wapi ndio kwa bwana Majaliwa ama?
Linga akupele , ngusuma ninenigawie basi mtz mweusi
Linga akupele , ngusuma nine
MarahabaaaaaaShikamoo kulubule
Haya tuendelee sasaWakuu nilikuwa sina Mb afu sehemu niliyokuwepo sikuwa na vocha
Marahabaaaaaa
PoleWakuu nilikuwa sina Mb afu sehemu niliyokuwepo sikuwa na vocha
Hata hii nimetumiwa na mdau tu leo ntaweka mbili