Mi wanipeleke tuHawa jamaa ndio walewale akina bold na nifah wanatoa hadithi nzuri sana ikifika penye utamu wanaanza kuchangisha na kutumiana kwenye magroup ya WhatsApp sitaki Hata kuwafuatilia sasa.
Mkuu na mm naanza kuhisi harufu hyo, alikuwa mwaminifu yule Wa PENIEL...Hawa jamaa ndio walewale akina bold na nifah wanatoa hadithi nzuri sana ikifika penye utamu wanaanza kuchangisha na kutumiana kwenye magroup ya WhatsApp sitaki Hata kuwafuatilia sasa.
Hata yule wa akina gana na lobo alikuwa mwaminifu hakutuacha njianMkuu na mm naanza kuhisi harufu hyo, alikuwa mwaminifu yule Wa PENIEL...
Bold kazngua kinyamaHawa jamaa ndio walewale akina bold na nifah wanatoa hadithi nzuri sana ikifika penye utamu wanaanza kuchangisha na kutumiana kwenye magroup ya WhatsApp sitaki Hata kuwafuatilia sasa.
Umeona wapi wabongo wanasoma vitabuMi wanipeleke tu
nitatoa.
Mbona vitabu tunanunua kwa bei kubwa..sasa elfu tano kitu gani
Hadithi yake inaitwaje mkuu maana huyu nguzu haelewekiHata yule wa akina gana na lobo alikuwa mwaminifu hakutuacha njian
Uwe unanitag mpenda story mwenzangu.maana kila kwenye hadithi umonapenda sana story, mke wa raisi tuwe tu wavumilivu inataka moyo sana kuifatilia ile story.
Inaitwa duka la rohoHadithi yake inaitwaje mkuu maana huyu nguzu haeleweki
hahahhh usijal kisukariUwe unanitag mpenda story mwenzangu.maana kila kwenye hadithi umo
Ngoja niitafutee mkuuInaitwa duka la roho
Hahahaa stor tamu knyama ile mkuu
Nitag na mimi baaasi we mrembooohahahhh usijal kisukari
usijalNitag na mimi baaasi we mrembooo
wapo wanaosomaUmeona wapi wabongo wanasoma vitabu
Iko wapo jamaniInaitwa duka la roho
Hahahaa stor tamu knyama ile mkuu