king of zodiac
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 311
- 432
Nitashusha mpaka mwishothanx king of zodiac
God bless u jmn.Nitashusha mpaka mwisho
Ha ha ha haaa asante, mi bado sijaanza kukisoma nitaanza kesho nikituliaaaaa. Leo kidogo namalizia malizia kusubiria mwezi hukuuuuuu ....Wanan,finyango,johape,shubalozimchovunie,kibuyu180,tumosa shamac matukutuku, bess,ngoma ya ukae,
Nimekuja finyango asante mwayaShunie ukuje sasa
Nipo mkuu asante ubarikiweShunie njoo kumenoga huku
Mtunzi wa hizo riwaya alikuwa na CPA ya uhasibuJamani naomba mnijuze, niliwahi kuambiwa na Jama mmoja kule Arusha" Eti mtunzi wa Hizi liwaya, kikomo, njama, kikosi cha kisasi. Hakua mwana usalama Bali alifanya kazi ujenzi, kabla hawajanzisha Tan road na TBA,Tanzania biuding agency. Mwenye. Ukweli huu a niambie kwafaida ya wengi.
Mpaka anafariki nadhani alikuwa MWENYEKITI wa Tanzania Chamber of CommerceJamani naomba mnijuze, niliwahi kuambiwa na Jama mmoja kule Arusha" Eti mtunzi wa Hizi liwaya, kikomo, njama, kikosi cha kisasi. Hakua mwana usalama Bali alifanya kazi ujenzi, kabla hawajanzisha Tan road na TBA,Tanzania biuding agency. Mwenye. Ukweli huu a niambie kwafaida ya wengi.