Habari wakuu
Nadhani wengi wetu tunamkumbuka Ben R Mtobwa, binafsi nilimsoma shuleni na alinikosha sana. Maktaba za kishetani ni riwaya yake nyingine katika mfululizo wa harakati za Joram Kiango ambazo aliandika wakati wa uhai wake.
NB: Kitabu kitatolewa January bado kipo kwenye mchakato wa kutoka. Hapa chini ni mwanzo wake. Riwaya ya HATIA leo ni mwisho na baada ya muda ntaweka tamati yake.
![]()
nameless girl Khantwe davidson689 Toplady ram BPM Sangomwile Mamamercy jonnie_vincy mbalu byb sac mlyn VAN HEIST nrangomangimezamuuza ubuyu Jullie ZIgunga Mojaculbby mugaru