Risk ya mchawi kujigeuza mnyama...!

Risk ya mchawi kujigeuza mnyama...!

Kwenye mikusanyiko ya watu ukifanikiwa kuwa na jicho la tatu utaona mengi sana.. Pale kariakoo pale Ilala sokoni, buguruni nknk kuna wanyama wengi sana katikati ya makundi ya watu..
Duuh kwa hyo wanatu sanifu tu
 
Hii ni kaliba iliyojaa upweke na mateso japo kuna watu eti wanatamani wanatamani kuwa wachawi.

Mojawapo ya advertise ya kuwa mchawi ni uwezo wa kujigeuza umbo la kibinadamu na kuwa mnyama... Na binadamu wengine wasikujue kabisa kama wewe sio mnyama halisi.. Japo wanyama huwa wana hisia na maranyingi watajitenga na wewe ama kukufukuza...

Unapokutana na kundi la wanyama lakini kuna mmoja kajitenga na wenzake... Tambua tu kwamba huyo si mnyama halisi kwa asilimia kubwa.

Kwenye mikusanyiko ya watu ukifanikiwa kuwa na jicho la tatu utaona mengi sana.. Pale kariakoo pale Ilala sokoni, buguruni nknk kuna wanyama wengi sana katikati ya makundi ya watu..

Kujigeuza umbo la kibinadamu kuwa mnyama ni uthubutu wa hali ya juu japo ni sifa kwa mtendaji ila anapaswa kuwa na msingi mzuri kwenye taaluma yake kwakuwa akikutana na nguvu kubwa kuliko yeye atapigwa dafrau na kupoteza maisha..

Kuna wanga hupenda kujigeuza paka na kuingia kwenye majumba ya watu, sometimes panya au hata nyoka nk.. Sasa hawa ukiwavizia ukawalia timing ukawapa mkong'oto... Asubuhi yake utapata tu habari..

Utasikia mzee fulani kaumia bega au kichwa au mkono nknk.. Na ukija kurudisha kumbukumbu nyuma unakuta pale ulipompiga yule mnyama ndio hapo hapo anapoumwa huyo mzee.. Na haendi hospital ataugulia nyumbani mpaka apone..

Risk kubwa ni pale wanapopata kipigo mpaka kupoteza maisha. Siku ya pili mtaani utaona turubai!
Mshana sisimizi , mjusi,mende, ndege nao wana uhusiano gani na uchawi
 
Wana uhusiano mkubwa sana hugeuzwa silaha kushambulia adui lakini kwanza lazima vipate chanzo... Chanzo huwa vishetani kama hivi
Mshana sisimizi , mjusi,mende, ndege nao wana uhusiano gani na uchawi
Hivi ndo viwakilishi vya kila uhai kama sisimizi, nyuki, nyigu, siafu nk
Voodoo_Market_Bohicon_(Benin).jpeg
 
Hahahahahaha kuna mzee mmoja hapa mtaani alikuwa anakuja kuniwangia anajigeuza paka siku nikamtegeshea akapigwa dafrau akaugulia kwake akawa ananiulizia mbona siend kumuona ajab siku nimeenda kumuona asubuh jion akapona hakukoma akaja tena akachezea vitasa sasa anaugulia ndani pamoja na kuniulizia sijaenda kumuona
Nimecheka sanaaa walah, jamii forum Kuna raha bhanaa
 
Hii ni kaliba iliyojaa upweke na mateso japo kuna watu eti wanatamani wanatamani kuwa wachawi.

Mojawapo ya advertise ya kuwa mchawi ni uwezo wa kujigeuza umbo la kibinadamu na kuwa mnyama... Na binadamu wengine wasikujue kabisa kama wewe sio mnyama halisi.. Japo wanyama huwa wana hisia na maranyingi watajitenga na wewe ama kukufukuza...

Unapokutana na kundi la wanyama lakini kuna mmoja kajitenga na wenzake... Tambua tu kwamba huyo si mnyama halisi kwa asilimia kubwa.

Kwenye mikusanyiko ya watu ukifanikiwa kuwa na jicho la tatu utaona mengi sana.. Pale kariakoo pale Ilala sokoni, buguruni nknk kuna wanyama wengi sana katikati ya makundi ya watu..

Kujigeuza umbo la kibinadamu kuwa mnyama ni uthubutu wa hali ya juu japo ni sifa kwa mtendaji ila anapaswa kuwa na msingi mzuri kwenye taaluma yake kwakuwa akikutana na nguvu kubwa kuliko yeye atapigwa dafrau na kupoteza maisha..

Kuna wanga hupenda kujigeuza paka na kuingia kwenye majumba ya watu, sometimes panya au hata nyoka nk.. Sasa hawa ukiwavizia ukawalia timing ukawapa mkong'oto... Asubuhi yake utapata tu habari..

Utasikia mzee fulani kaumia bega au kichwa au mkono nknk.. Na ukija kurudisha kumbukumbu nyuma unakuta pale ulipompiga yule mnyama ndio hapo hapo anapoumwa huyo mzee.. Na haendi hospital ataugulia nyumbani mpaka apone..

Risk kubwa ni pale wanapopata kipigo mpaka kupoteza maisha. Siku ya pili mtaani utaona turubai!
 
Mshana jr.utaka kuniambia kira mchawi anaqeza kujigeuza atakavyo au ni taaluma maalumu kwao?
 
Hapana sio wote inategemea umefika level gani na kila ukubwa wa mnyama una level yake... Kama level yako ni kujigeuza mbwa basi huwezi kujigeuza simba
Mshana jr.utaka kuniambia kira mchawi anaqeza kujigeuza atakavyo au ni taaluma maalumu kwao?
 
Anaekataa uchawi haupo, basi na aendelee kukataa vivyo hivyo. Nakupeni visa kadhaa vilivyowahi kutokea katika maisha yetu(Kifamilia).


Mnamo mwaka 2005 zikiwa zimebaki siku takribani 4 kufika Xmas, kuna mjukuu wa kwanza wa mama, alianza kuwa anaanguka, hapa ndipo nilipochoka. Humuoni akianguka, ila unamuona akijikung'uta tu kutoka chini.
Kile kitu kiliwashinda aliokuwa anacheza nao(wadogo zetu) wakamwambia mama, mama akajifanya mkali, anamwambia aache upumbavu wake wa kujiangusha, atampiga. Dogo akamwambia, bibi miguu haina nguvu na mimi sijiangushi! Mama akamwambia hebu njoo ukae hapa nione kama utaanguka, dogo akaenda kukaa mbele ya mama. Kidogo tukamuona anajikung'uta vumbi kutoka chini, mama akasema umefanyaje!!!? Hapo sasa wote tupo tunamuangalia.

Hatujakaa sawa, tukamuona tena anainuka kutoka chini, mama akasema tuingine ndani, ile kuingia ndani, tukamuona mlangoni anainuka kutoka chini, tukaingia ndani, akawa anaangalia juu pande zote za ndani akiwa amekaa kwenye kiti, mama nikamwambia aache ukali wake kwani hautasaidia chochote kujua ukweli wa unaosumbua.
Usiku ukafika tukalala, hali ikawa ile ile. Mama akanambia hebu mchukue mpeleke kwa fulani(huyo nloagizwa kwake alikuwa ni mganga wa majini alokuwa akitutibia nyumbani). Nikafika, nikamueleza, akachukua vitu vyake akaanza kumkanda miguu, akagunaaa, akasema huyu mbona Miguu imeshakufa! Ni ya baridi kabisa, ila haina shida nitapambana nayo. Akamkanda pale akanambia kaeni mpumzike kidogo, ukiondoka usiage wala kumsemesha yeyote ila ukifika nyumbani umwambie dada(mama sasa) aje jioni nataka aongee na Maimuna. Nikasepa nikafika hom, mama nikampa ujumbe jioni akaenda.

Akaenda kilingeni, yule mganga akapandisha, Maimuna kaja wakaanza kupiga stori hapo akamwambia kuna watu wanataka kumuua huyo mjukuu, asipofanya juhudi basi xmas ya mwaka huo itakuwa na msiba, mama akaelekezwa cha kufanya, akafanya huku dogo akaendelea na maisha fresh mpaka leo na yeye sasa hivi ana mtoto.
 
Back
Top Bottom