Ogah una uhakika na hicho ulichoandika? Je unajua sababu ya yeye kupelekwa Nairobi baada ya kuondolewa uMD Barclays TZ? Waulize aliofanya nao kazi, ninahakika jamaa ni kipanga wa darasani kupata first class n.k but sina hakika kama ni kipanga pia kiutendaji.
Ogah una uhakika na hicho ulichoandika? Je unajua sababu ya yeye kupelekwa Nairobi baada ya kuondolewa uMD Barclays TZ? Waulize aliofanya nao kazi, ninahakika jamaa ni kipanga wa darasani kupata first class n.k but sina hakika kama ni kipanga pia kiutendaji.
Tafakari.........................
Hii benki ya Baclays Bank managing director wake ni Rished Bade ambaye anatoka Arusha na wana undugu na Idrisa Rashid managing director wa Tanesco.Huyu Rashid Bade walikuwa wote benki kuu ya Tanzania wakati Idrisa Rashid akiwa gavana wa Benki kuu.Hivyo kama mikopo ilichukuliwa Baclays twaweza unganisha dots.Pia ile mipesa ya EPA na Richmond iliyopitia CRDB kwa managing director Kimei haikuwa bahati mbaya.Kimei alikuwa ni mkurugenzi benki kuu wakati Idrisa Rashid alipokuwa gavana wa benki kuu.Kwa hiyo Idrisa Rashid,Rished Bade na Kimei wanafahamiana sana tu na kwa karibu wakiwa benki kuu na baada ya kutoka benki kuu inaelekea wameendeleza mtandao fulani wa kuliza nchi.
Kiufupi twaweza kusema unapoongelea ufisadi na connection na benki kuu Rished bade,Idrisa na Kimei wako connected Kiuhalifu unaohusu ndani na nje ya benki kuu kupitia EPA,Richmond,Dowans.Maana mapesa yaliibwa benki kuu yakaenda CRDB mengine yakaibwa kupitia Richmond yakaenda CRDB na mengine yakakopwa Baclays sijui yalienda wapi kama mmiliki anakana kuwa hakukopa labda yalifanyiwa money laundering kupitia benki fulani yakayeyukia kule kunakofanana na wanakoficha pesa akina chenge na wengineo.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/25556-new-revelation-dowans-in-huge-debt-5.html
Anamwita Dr Idrisa Rashid Baba Mdogo , neema kwa ukoo huo. Alimaliza bcom ud 1995 na kuondoka na 1st class kabla ya kwenda kula masters UKAlikuwa MD wa Barclays kwa kipindi fulani kabla hajaenda Tanzania Mortgage Finance...
Hongera sana "dogo" halafu Kichwa Rished.........sitoshangaa huyu kijana kuja kuteuliwa kuwa Gavana wa Benki Kuu.....watch!
Jamani huyu c ndo ameua Barclay Bank (T)?? alikuwa anatoa mikopo kwa marafiki zake tuu mpk ikapata hasara ndo akaja mkenya??? Kweli tanzania hii kuwa uyaone...Kila kitu ni kujuana na si utendaji.....Hakika huko TRA marafiki zake hatalipa tena kodi
Ehee hiyo kiboko, kwa hiyo jamaa anawekwa kwenye mkondo wa TRA kivipi????
Classmate huyu, jamaa kwao ni vichwa sana. Sijawahi kukutana na mtu jinias kama huyu na dada zake !! Shuleni high school, jamaa alikuwa analala haendi darasani halafu tukitoka darasani unamuhadithia mlichosoma kesho yake test anapata 100 !! Alikuwa EGM lakini alikuwa anakokotoa na kufunza watu wa form six, yeye akiwa 5 physics, namba, n.k...!!
Balaa huyu...!!
Huu mpango unaosukwa huu.... mh!
Ogah una uhakika na hicho ulichoandika? Je unajua sababu ya yeye kupelekwa Nairobi baada ya kuondolewa uMD Barclays TZ? Waulize aliofanya nao kazi, ninahakika jamaa ni kipanga wa darasani kupata first class n.k but sina hakika kama ni kipanga pia kiutendaji.