chamlungu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 326
- 339
Kuna watu wameshindwa kufanya kazi yao hasa kikosi cha kova
Polisi hawawezi kujua kama unasafirisha fedha. Ni jukumu lako kuwapa taarifa ili wakupe ulinzi. Watu waache kufanya mambo /vitu kwa mazoea
Kuna watu wameshindwa kufanya kazi yao hasa kikosi cha kova
Kova na vijana wake walikuwa busy uwanja wa taifa wanashangaa
Kuna watu wameshindwa kufanya kazi yao hasa kikosi cha kova
Polisi hawawezi kujua kama unasafirisha fedha. Ni jukumu lako kuwapa taarifa ili wakupe ulinzi. Watu waache kufanya mambo /vitu kwa mazoea
Samahani endapo nikitomba ulinzi wa Polisi not atakuwa kumlipa?
||Tomorrow will say its a memory and we have enjoyed our lives for couple of days||
Ashukuru kapona nadhani siku nyingine atakumbuka kuomba ulinzi wa Askari,mzembe mwenzake kafa jana Mlimani City...
Si bure..., ni mawili either haujui unachoongea au unashirikiana na hawa majambazi
Tatizo wa Tanzania somo la Insurance atujalipata kwahiyo kulipia gari la kubeba pesa zikifika salana tunaona ni hasara kwetu bila kufikiri madhara amabayo yangepatikana kama umevamiwa.
Polisi tupe elimu na hao wasafirishaji watoe elimu wati wajue umuhimu wa kutobeba pesa wenyewe.