Malata Junior
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 3,102
- 2,540
Mwakyembe harudi bungeni.
Mimi nilijua ameapa kwenda mahakamani, kumbe ni porojo za kisiasa tu?
Aende mahakamani akafanye nini ilhali alishamtundika akiwa Bungeni? Au hujui kuwa Bunge ni mhimili mmoja kati ya ile mitatu ya dola? Kwikwikwikwikwikwiiiiiiii! Yaani tangu umekuwa BAVICHA hakika unachekesha sana. Huna hata chembe ya ufahamu
Ndio maana nikakwambia hizi ni porojo tu za kisiasa.Aende mahakamani akafanye nini ilhali alishamtundika akiwa Bungeni? Au hujui kuwa Bunge ni mhimili mmoja kati ya ile mitatu ya dola? Kwikwikwikwikwikwiiiiiiii! Yaani tangu umekuwa BAVICHA hakika unachekesha sana. Huna hata chembe ya ufahamu
Pombe mwisho kaunta ikulu ni Lowassa tu.Uzuri UKAWA wanautambua mziki wa CCM!!! Basi tu, wanajifariji na Lowassa.
Kama wanajiandaa kuona nyetiza kuku wajaribu kumchokonoa Lowasa.
sita na mwakyembe ni wachumia tumbo na wafungwa watarajiwa1. Mh. Edward Lowassa aliyekuwa waziri Mkuu wa Tanzania na aliyejiuzulu katika kadhia hiyo?
2. Mh. Samwel Sitta aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa lililopokea na kujadili Ripoti ya kashfa hiyo ya Richmond?
3. Dr. Harrison Mwakyembe aliyekuwa Mwenyekiti wa kamati Maalum ya Bunge ya Kuchunguza kashfa hiyo ya Richmond na kuwasilisha Ripoti Bungeni kwa majadiliano na maazimio ya Bunge?
4. Dr. Wilbroad Slaa aliyekuwa Mbunge wa Bunge la tisa lililopokea na kujadili Ripoti ya Kamati ya Dr. Mwakyembe na kutoa maazimio?
LAKINI, kama kungekuwa na msemakweli kati ya hao, kwanini asingeusema ukweli huo juu ya kashfa hiyop iliyoathiri nchi na wananchi wake kwa kiasi kikubwa mwaka huo wa majadiliano 2008? Kwanini aseme na kuaminika sasa?
Sitta na Mwakyembe wanafiki wakubwa
ingawa naamini Lowassa alihusika...lakini Sitta na Mwakyembe hawana moral authority
ya kumnyooshea mtu kidole
wao walikuwa na nguvu yote ya kuongoza au kulazimisha mchakato wa kimahakama
kuwashitaki woote waliohusika na tusingekuwa tunajadili tena leo..mahakama ingesema...
hawakufanya yote hayo na sasa wanaligeuza suala la Richmond la kisiasa
masuala ya kimahakama yawe ya kimahakama
The Boss wakati mwingine unakuwa Great Thinker! kwa nini usichague kubakia hivi hivi kuliko unapoamua kuyumba?
Hapa anayeaminika sasa ni Lowasa peke yake ambaye amesema maswala mawili mazito ambayo si hawa madalali hapo juu, si serikali, kiongozi yoyote amediriki kutoka hadharani na kumhoji au kumjibu Slaa au kutolea maelezo ya tuhuma alizozisema Lowasa.
1. Mradi wa Richmond ni wa Kikwete. Wenye akili wanaunganisha na taarifa aliyoisema Mwakyembe kwamba mengine wameamua kuyaficha kwa usalama wa nchi, naye huyu anaungana na Pinda aliyesema mafisdi ni watu wenye nguvu sana wakiguswa nchi itatikisika. Kwa maelezo haya, kwa nini TUNALAZIMISHWA KUTOKUMWANINI LOWASA ALIYESEMA HADHARANI KWAMBA RICHMOND NI YA KIKWETE NA HAKUNA KIKWETE, MWAKYEMBE, SITA WALA NANI AMEJITOKEZA HADHARANI KUKANUSHA AU HATA KUMCHUKULIA HATUA ZA KISHERIA LOWASA KWA KUSEMA UWONGO JUU YA MKUU WA NCHI?
2. Lowasa amewaambia, mwenye ushahidi wowote dhidi ya tuhuma zinazoelekezwa kwa yeye Lowasa, ampeleke mahakamani. Mahakamani sote tunafahamu ndipo waharifu wote hupelekwa na mahakama inapojjiridhisha bila shaka juu ya ukweli, hukumu hutolewa.
SWALI LAKUJIULIZA, DR. SLAA, MWAKYEMBE, SITA, WOTE HAWA WANADAI WAO WANAVILELEZO HALISI VYA UFISADI HUU. KAMA KWELI MHUSIKA NI LOWASA, WALIOGOPA NINI KUMPELEKA MAHAKAMANI ILI AHUKUMIWE?
SERIKALI HIYO YA CCM INAYOKIMBILIA KUMSHITAKI GWAJIMA KWA KUHARIBU NYAYA ZA TANESCO, KWA NINI HAIKUMSHITAKI LOWASA BAADA YAKUWA IMEKABIDHIWA REPORT YOTE YA MWAKYEMBE?
SASA JUZI JUZI TENA LOWASA KARUDIA KWAMBA, MWENYE TUHUMA DHIDI YAKE AENDE MAHAKAMANI, KWA NII KINA MWAKYEMBE, SITA NA LOWASA HAWAENDI MAHAKAMANI BADALA YAKE WANAISHIA KUBWABWAJA KWA WANANCHI AS IF HAWAJUI SHERIA NA TARATIBU ZA KUSHUGHULIKIA WAHARIFU?
WANAPOKUJA KULIA LIA KWETU WANATAKA WANANCHI WATOE HUKUMU KAMA PINDA ALIVYOAMURU WATU WAPIGWE TU? AU KAMA MAGUFULI ALIVYOWAAMURU POLISI WAUE MAJAMBAZI BILA TRIALS?
MNAONAJE WANANCHI TUKIAMUA SASA KUANZA KUTOA HUKUMU KIVYETU VYETU KWA WATUHUMIWA WA RICHMOND WLAIOSHINDWA KUJITETEA KINA KIKWETE?
TUKIWAMALIZA TUNAKWENDA KWA WATUHUMIWA WA EPA?
BAADAYE TUNAKWENDA KWA MAGUFULI NA UFISADI WAKE WA BILIONS 250 ZA REPORT YA CAG?
TUTOKE HAPE TUWASHUGHULIKIE WATUHUMIWA WA KIWIRA AMBAO WANAFAHAMIKA TU?
BAADA YA HAPO TUENDE KWA MEREMETA, KAGODA, RADA, NDEGE YA RAISI, ESCROW NA REA INAYOTUFANYA TULIPE MAFEDHA YA UMEME WA KUONEA KAMA TUNA VIWANDA MAJUMBANI?
NANI ATABAKI SALAMA CCM YENU HIYO?
CCM WANAFANYA KAMPENI HATARISHI KULIKO WANAVYODHANI. UJINGA WAO UTAWAGHARIMU.
KAMA WANAJUA HILO, HATUTAKI WAJE NA UPUMBAVU WAO KWETU, WASITUPOTEZEE MUDA BALI WAENDE MAHAKAMANI KABLA HATUJAWAPOPOA NA MAWE!.
Nadhani EL umuondoe then wabaki watatu.1. Mh. Edward Lowassa aliyekuwa waziri Mkuu wa Tanzania na aliyejiuzulu katika kadhia hiyo?
Sitta na Mwakyembe wanafiki wakubwa
ingawa naamini Lowassa alihusika...lakini Sitta na Mwakyembe hawana moral authority
ya kumnyooshea mtu kidole
wao walikuwa na nguvu yote ya kuongoza au kulazimisha mchakato wa kimahakama
kuwashitaki woote waliohusika na tusingekuwa tunajadili tena leo..mahakama ingesema...
hawakufanya yote hayo na sasa wanaligeuza suala la Richmond la kisiasa
masuala ya kimahakama yawe ya kimahakama