Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,500
- 17,377
Richmond ni yeye na JK....ila kulinda Serikali JK kamtosa.....subiri tribute ya jK monduli....asiposema hatasema tena bora afe nacho tu unafiki kiwango cha lami......JK aseme ukweliii ....siku mazishii hana jinsiLink inaenda.Ila lazima ulilie 500 kusoma hilo gazeti la citizen.
Kwa kifupi hilo gazeti linasema kuwa bora asingejiuzulu mwaka 2008.
Lakini ukisoma ripoti ya mwakyembe hakuna jinsi angepona