Pasco
Endelea kulinda mafisadi, siku ya uzinduzi wa Kampeni za Ukawa majina yote na kiasi kilichochotwa Stanbic kitawekwa hadharani.
Kuanzia yule aliyebeba 9bilion na kisha kumuua yule kijana aliyetumwa na Noah nyeusi namba..... Kwenda Stanbic kubeba hizo hela na kupewa asante ya 40mililion kisha akauwa Airport masaa macheche tu baada ya kukabidhi mzigo ule.
Wee nawe kutuning'iniza roho...haya ngoja tusubiri hiyo siku mtakapoamua kutumia 'mtaji' wenu...