joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,160
- 31,742
Brother mimi sio mjinga thread nimeisahau,matusi na ya kumbuka.Hati chafu mwaka jana? Upo serious? Unaweza kuthibitisha huu uongo wako?
Then hapo hakuna pesa imeibwa bali imetumika ila tu hakuna kikao kilikaa kuidhinisha meaning ni bureaucracy tu hazikufuatwa ila bidhaa imenunuliwa na risiti zipo otherwise angetoa hati yenye mashaka.
Sawa hamna pesa iliyopigwa ndio maana nikawaita MALAIKA.