Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,810
- 22,513
UVCCM waandae maandamano nchi mzima kutaka ofisi za UNDP zifungwe na tumpongeze rais kwa kukuza uchumi kwa kasi kubwa kiasi cha mabeberu kumuonea wivu.
UVCCM waandae maandamano nchi mzima kutaka ofisi za UNDP zifungwe na tumpongeze rais kwa kukuza uchumi kwa kasi kubwa kiasi cha mabeberu kumuonea wivu.
Umeelewa kilichoandikwa....!?Na bado yatarudi hadi 100% ndio kuna viumbe wataamka usingizini!/
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe namba zako 'mbichi' ambazo hazijapikwa. Natanguliza shukrani.Eti tumefikia uchumi wa kati kwa namba za KUPIKWA.
Tupe namba zako 'mbichi' ambazo hazijapikwa. Natanguliza shukrani.
Umeelewa nilichojibu...!?Umeelewa kilichoandikwa....!?
Sawa, karibu tena.Umeelewa nilichojibu...!?
Na wewe karibuSawa, karibu tena.