Haya sasa kikowapi wengine tulikuwa tunasema katiba mpya sio dili. Hawa jamaa inabidi wachochewe na maswala ya accountability serikarini huko ndio kwenye matatizo.
Hivi inawezekana vipi matatizo yaanze January hadi kupata air time mwezi wa November kweli atuoni kuna uzembe wa hali ya juu form regulatory bodies both those those who do financial auditing and from those doing monitoring of quality and performances on the sector.
Navyojua mimi kazi ya wakaguzi ni kuionya serikari either matendo ya kitengo ie matumizi, practices zao na mengineo yanapokuwa sio sahihi hili ijiandae au ijaribu kuepusha undesired outcome by intervening. isitoshe wanatakiwa kujua shirika kama lina weza fanya services na budget yao, wajue mipango yao ya shirika kufikia malengo ya serikari na kuionya serikari as the situation starts to get alarming si jamani ndio maana wakaguzi wa nchi za wenzetu wana sign sijui za green, amber and red hili serikari ijipange au iingilie kati kabla ya madhara kwa jamii. Sasa si tu kwamba dawa zimeisha bali hata uamuzi wa shirika kupandisha bei kumefukuzwa wagonjwa kisa sh5000; maana yake hali ya umaskini inatisha na sasa watu wanataka nyan'ganywa hata basic right health being part of general human welfare today.
Sasa wewe unadaiwa mabillioni kwenye madawa na leo unaleta takwimu wananchi wanaona afya ndio kipaumbele halafu unaamua kutumia kwenye katiba mpya.
I tell ya Afrikans we are the most pathetic people na tunalaumu kila external influence isipokuwa matendo yetu na tabia zetu wenyewe. Yaani kwa kweli sisi ni species wa ajabu sana.