Hizo bima za afya tunazo na zenyewe ni ubabaishaji tu, kama dawa hakuna na unakadi ndio utakayo meza? Bima zenyewe zimekuwa adhabu mpaka hospitali nyingine wamekataa kutibu wanaotumia bima tatizo lipo nje ya uwezo wa mgonjwa, wanajua wao kwa wao, dawa zimekwama bandarini bima itatoa? Sasa hivi baadhi ya hospitali wametangaza kabisa kusitisha matibabu kwa njia ya bima. Labda F.F angesema serikali ya Tanzania ikatiwe bima ya uendeshaji wa shughuli zake, maana ni ajali kubwa kuendeshwa na watendaji waliopo.