Ripoti Maalum: Muhimbili hali mbaya

Ripoti Maalum: Muhimbili hali mbaya

Bdo hao watu wa mabondeni wataichagua ccm tu na hao wote walio lazwa chini wajinga ndio walio uliwa huu usemi sijuwi kwanini haubadiliki kwa wa Tanzania!!!
Pinda kasema wapigwe tuu wakashangilia sasa atasema na wafee tu watashangilia !!!
 
kuwa mtanzania harafu masikini n kama dhambi vile, da ni shida sana na inasikitisha sana. Mungu sijui atusaidije maana nahisi atakuwa kafikiria sana harafu akaona sisi ni wajinga, akaamua tusimchoshe, katupotezea ili tufanye maamuzi wenyewe. ole wake atakaechagua tena uongozi wa namna hii next election
 
Frankly speaking, NIPASHE wamethubutu kuandika Habari yenye uchunguzi wa kina, pongezi za dhati kwao, laiti habari kama hii ingewafikia wananchi from the grassroots level na wakapewa deep analysis ya kitu gani kinachosababisha hayo yote, ingekuwa ni turufu njema dhidi ya wanyonyaji hapo 2015. It's very sad kuna watu wanataka kuivua lawama Serikali kwa hoja dhaifu mno mithili ya nyumba ya buibui, hamna huruma nyie na Watanzania wenzenu? Maybe mpo ktk position ya kutoweza kukutwa na masaibu hayo ya Muhimbili, but kumbukeni ipo siku mtakayolipwa kwa kila dhulma mliyoifanya.
 
Hii ripoti ikifanyiwa kazi naamini muhimbili yaweza kuwa mahala salama kiasi.
 
Last edited by a moderator:
Frankly speaking, NIPASHE wamethubutu kuandika Habari yenye uchunguzi wa kina, pongezi za dhati kwao, laiti habari kama hii ingewafikia wananchi from the grassroots level na wakapewa deep analysis ya kitu gani kinachosababisha hayo yote, ingekuwa ni turufu njema dhidi ya wanyonyaji hapo 2015. It's very sad kuna watu wanataka kuivua lawama Serikali kwa hoja dhaifu mno mithili ya nyumba ya buibui, hamna huruma nyie na Watanzania wenzenu? Maybe mpo ktk position ya kutoweza kukutwa na masaibu hayo ya Muhimbili, but kumbukeni ipo siku mtakayolipwa kwa kila dhulma mliyoifanya.
Naunga Mkono hoja kwa 100%; what is weird in all this kuna wahusika wakutoa habari hizi ambao ni government agents and independent agents wanaojiita NGO's au hata hospitali yenyewe kuja na ripoti ya self defence kuhusu hali yake kabla gazeti alijanasa na kutoa perspective yake.

Kama gazeti ndio limekuwa la kwanza kutoa extensive report of the problem ni kiashiria tosha tumejaza vimeo kwenye administration ya serikari na usimamizi hafifu kabisa. Inawezekana serikari imeliona kwa kumuondoa katibu wa wizara lakini waziri wake anafanya nini kama na yeye alishiriki kuona hali mpaka inafikia hapo hili ni swala la kufukuza wote sio mtu mmoja tu.

Mimi ndio maana ni mshabiki wa vijana kuwa mstari wa mbele sasa katika kuliongoza taifa letu, maana unakuta haya matatizo hayausiani na chama cha siasa directly lakini kuna wapambe wao watajitokeza kutetea uzembe ambao aujengi bali umekaa kujitia aibu na kuonyesha jinsi gani watu walivyo tayari kutetea hata uovu kwa sababu wazijuazo wao.

Chama tawala kinatakiwa kuwa makini kuhakikisha ilani yake inawafikia wananchi na hili kuweza kufanikisha hilo zoezi lazima iwasimie watendaji wa serikari na taasisi zinazotakiwa kutoa hizo huduma au hizo fursa kwa wananchi. Na huku ndipo katibu mkuu wao Kinana ameonya sana lakini hawa jamaa especially those in the supervisory role and decision makers kama mawaziri au raisi mwenye huwezo wa kuchagua kwa kweli amekuwa very slow to react on this matters. Kwa hivyo unaweza sema tatizo lingine lipo kwa wale wanaomshauri kwa karibu kuhusu maswala ya government administration.

Kiongozi wao mwengine ambae amekuwa sambasamba na Kinana muda wote kuhusu uzembe wa watendaji serikari juzi kwenye hotuba yake kasema ya ukweli kabisa pengine kwakuwa awezi kuyasema chamani kwenye mikutano yao ya CC or whatever the heck they call them. katika hotuba yake aliwasii vijana kuwa chachu yamabadiliko huko CCM maana wanawajibu wa kukiweka chama na wakati hili kukizi mahitaji ya jamii.

Na kwakweli nikisoma idadi za ajali barabarani (na uzembe wa usimamizi au ukaguzi plus regulations), ujambazi uliokithiri au imani za kichawi na social disturbance mara mtu kamfungia mama yake mzazi mara sijui mtoto mchanga katupwa wapi au mtoto wa la saba kaenda kuchunwa ngozi etc to do with people desperation acts (haya maswala ni largely poverty fueled acts), inafikia hatua hata genge la wahuni wanaweza funga mtaa na raia wakajifungia kwa woga polisi wako wapi; kama atuwezi zuia genge wahuni tutaweza zuia matukio ya kijambazi ambayo ni unexpected kweli kama huu uporaji wa fedha unaozidi kua tatizo.

Sasa kwakweli atuwezi kuendelea kuongozwa na watu wasioona changamoto zimezidi na hali ya walio nacho na wasio nacho inazidi kuwa mbaya jumlisha na utendaji mmbovu serikalini kutuletea huduma maana sasa hata huko ni mwenye hela ndio anapata huduma au mwenye kutoa hongo.

Huyu jamaa hapo chini ndio kawaambia ukweli indirectly na wenye masikio wamsikie ni wakati wakufanya overhaul thinking kwenye hiko chama chao especially for those with the role of decision making and the future direction; wabakize wazee tu wenye nguvu za kulinda yale yaliyo muhimu kichama na kwa maslahi ya muungano maana huko hawa vijana bado awa aminiki in my eyes.

 
Last edited by a moderator:
CCM imeshindwa ni kuiondoa madarakani tu....nimeshangaa waliosema eti Lowassa chaguo la wananchi wa wapi? au wamekula pesa yake hao
 
Mkuu Salary Slip, kipindi kile tuliposema tukaonekana "wahuni",
-Chanjo: iliongelewa na kuna madaktari wawili waliokufa kwa ugonjwa wa homa ya ini, wauguzi wangapi waliokufa na hatujui ni madaktari na wauguzi wangapi wenye ugonjwa huu but above all, hatujui ni wagonjwa wangapi walioambukizwa kupitia wahudumu wa Afya.

Fedha: Mtu anakaa Tegeta anaitwa usiku saa saba,unaitwa tena hana usafiri, akiamua kutumia fedha zake mfukoni atalipwa miezi sita au zaidi tena si fedha yote.

Madawa:Ukiwaagiza watu wakanununue KAM pharmacy kwasababu ni karibu, wanaona umewapeleka kwenye pharmacy yako.

Sasa kwasasa acha tupige kazi hivyo hivyo.
 
Last edited by a moderator:
wewe bibi kweli umevurugwa,hapa watu wanaongelea nini?

Wanaongelea au wanahororoja na kubwabwaja, hayo wadanganyeni wajinga wenzenu, kuna mambo mema chungu nzima mbona hamtaki kuwaelimisha Watanzania?

Badala ya kuchangiana harusi na kipaimara mngekuwa mnachangia bima ya afya zenu: National Health Insurance Fund

Ukiwanayo iyo wala husumbuki kuwa huna pesa ya dawa, na sasa hivi mpaka vijijini ipo. Hebu elimikeni kidogo, msingoje kila kitu kufanyiwa. Mkiitwa misukule hamtaki wakati mambo mazuri yapo hamtaki kuyatumia.
 
kuwa mtanzania harafu masikini n kama dhambi vile, da ni shida sana na inasikitisha sana. Mungu sijui atusaidije maana nahisi atakuwa kafikiria sana harafu akaona sisi ni wajinga, akaamua tusimchoshe, katupotezea ili tufanye maamuzi wenyewe. ole wake atakaechagua tena uongozi wa namna hii next election

Tatizo lenu, kila jema hamlioni. Sijui vichwa vyenu vimejaa maji? Jisomee:

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wang’ara Kanda ya Ziwa

Lini ulihamasisha hii? ni habari njema kabisa.
 
Hakuna mwenye uchungu na muhimbili wala hospitali yoyote ya serikali. Wanaojiona binadamu ndio hao wanaenda kutibiwa majuu. Acha walalahoi wafe hakuna mwenye uchungu nao.... thamani ya mlalahoi ni kura yake tu... akishapiga yeye ni takataka tu!

Hata madaktari nao wameanza kupiga wagonjwa ambao ni walalahoi wasio na mtetezi... walalahoi wataamka lini wajipiganie wenyewe??????
 
Huku Twaweza wametoa taarifa ya utafiti wao kuwa ccm inaongoza,na wazee ambao uwezo wa seli zao kupambana na magonjwa umepungua,wakishambuliwa na magonjwa na huku wafikapo mahospitalini wanaambiwa hakuna dawa za bure,bado twaweza wamesema kutokana na ziara za Kinana na Nape ccm imerudia hadhi yake,wazee hao ndio wanaitaka ccm!
TWAWEZA wanatuambia nini,ni hospitali ipi inatibu bure wazee kiasi waishabikie ccm?
ni mzee yupi ambaye mtoto wake hana ajira,elimu duni,mazao yake yakikopwa,wakcifukuzwa kwenye maeneo waliyoyafye ka kwa miaka 20, yamekuwa safi wanaambiwa wapishe kwa mamufaa ya mafisadi
 
Hakuna mwenye uchungu na muhimbili wala hospitali yoyote ya serikali. Wanaojiona binadamu ndio hao wanaenda kutibiwa majuu. Acha walalahoi wafe hakuna mwenye uchungu nao.... thamani ya mlalahoi ni kura yake tu... akishapiga yeye ni takataka tu!

Hata madaktari nao wameanza kupiga wagonjwa ambao ni walalahoi wasio na mtetezi... walalahoi wataamka lini wajipiganie wenyewe??????

Mpango wa bima ya afya ya Taifa ulianzishwa ili kuhakikisha hakuna anaekosa tiba wala dawa, wlaiojiunga hawajalalamika unayolalamika wewe, jee ni lini utahamasisha hii:

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wang’ara Kanda ya Ziwa
 
hivi bima ya afya kama hospitali hakuna dawa wala wodi za kulaza inamaana gani,hao waliopo muhimbili wapo wenye hizo bima ila huduma ndo hakuna
 
Tatizo lenu, kila jema hamlioni. Sijui vichwa vyenu vimejaa maji? Jisomee:

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wang’ara Kanda ya Ziwa

Lini ulihamasisha hii? ni habari njema kabisa.

Acha uongo,mimi ni mmoja wa wanaotumia bima,lakini dawa na tiba bora hutegemea sana,uko kundi gani,ccm inaviongozi ambao kutokana na katiba mbovu,sera mbovu zimewapendelea zaidi viongozi wa kisiasa ambao kupitia kodi zetu,wanaishi maisha marefu zaidi kuliko wapigakura wao, hii ni hujuma dhidi ya mwajiri wako!

Acha kuhadaa
 
Ccm oyeeee maisha bora kwa kila mtanzania, halafu watoto wa lumumba mnatetea serikal ya kihun hii MSALAN CHABRUMA LIZABONO NA SIMIYU YETU, achane kutumika ninyi vijana ndo maana huwa tunawatukana kwa maana inatia hasira sn, uozo wa serikal kijana anakuja kuisifia jaman hebu nyie watoto wa Lumumba tuweken waz au mnajiuza huko serekalin? Mnaogopa mkisema madhaifu yaliyokuwa serikalin mtaachika na mabwana zenu???? Eboo now naanza kuamin Wallah hawa watoto wanafanya bishara haram kwl kbs waje hapa watuambie ukwl tu kana ndo biashara zao za kuza buzz ya zaman!!! Na kuogopa kusema ukwl kwa faid za Taifa kwa ujumla huku wakihofia kuachwa wasema tu..
 
Back
Top Bottom