Nyamsusa JB
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 568
- 1,562
Wanajanvi Tupeane Ripoti ya Upepo wa Kisiasa unavyoendelea kijiweni pako kadri ya siku zinavyoenda.
Hapa kijiweni pangu napocheza Drafti kila jioni hali kidogo imebadilika baada ya Tundu Lissu kuteuliwa kugombea Uraisi wa JMT.
Sifa kidogo alizokua akipewa Mfarume wa Uajemi zimepungua sana. Na watu wameanza kumtafakari zaidi Mh Tundu Antipasi Lissu. Na Swali kubwa linaloendelea hapa kijiweni ni Kwa Nini Walitaka Kumuua Tundu Lissu kwa Malisase.
Kwa Upande wa Zanzibari hapa kijiweni Swali kubwa ni kuhusu Je? safari hii Watakubari Kumpa Mh Maalim Seif Uraisi wake maana inatathiminika na wataalamu tulio nao hapa kijiweni kua this time arround Maalim atatoa kichapo kisichoelezeka kwa Mwinyi Mtoto.
Nitaendelea kuwajuza mambo yatavyokua yakibadirika kadri ya muda.
Tupe Ripoti huko kwenu vipi?
Hapa kijiweni pangu napocheza Drafti kila jioni hali kidogo imebadilika baada ya Tundu Lissu kuteuliwa kugombea Uraisi wa JMT.
Sifa kidogo alizokua akipewa Mfarume wa Uajemi zimepungua sana. Na watu wameanza kumtafakari zaidi Mh Tundu Antipasi Lissu. Na Swali kubwa linaloendelea hapa kijiweni ni Kwa Nini Walitaka Kumuua Tundu Lissu kwa Malisase.
Kwa Upande wa Zanzibari hapa kijiweni Swali kubwa ni kuhusu Je? safari hii Watakubari Kumpa Mh Maalim Seif Uraisi wake maana inatathiminika na wataalamu tulio nao hapa kijiweni kua this time arround Maalim atatoa kichapo kisichoelezeka kwa Mwinyi Mtoto.
Nitaendelea kuwajuza mambo yatavyokua yakibadirika kadri ya muda.
Tupe Ripoti huko kwenu vipi?