Membe, Tundu Lissu si karata sahihi kupeperusha bendera kupitia Muungano wa Vyama vya Upinzani Uchaguzi Mkuu 2020

King JiluX

Member
Jan 30, 2018
52
38
Naomba nianze na salamu wana jukwaa la siasa. Hapa jamvini jamii Forum.

Kutokana na kipindi tulichopo(kuelekea uchaguzi mkuu 2020) kumekuwa na majina mengi ya wagombea nafasi ya urais hasa kupitia upinzani ambako ndiko jicho la ushindani wa kupewa nafasi lipo huko (CCM alipita bila kupingwa), Hivyo kuna majina kadhaa yamekuwa yakipewa nafasi na wapo waliokwisha kuchukua fomu na kurudisha lakini pia wapo walioishia kutia nia na kisha nia zao zikayeyuka ghafla.

Naomba niwaongelee wawili hapo juu maana ndio wanaopewa na kupigiwa chapuo sana na wengi wa wanavyama wao hasa makada maarufu na viongozi wenza. MH. BERNARD KAMILIUS MEMBE na MH TUNDU ANTIPHAS LISSU


MHE. BERNARD MEMBE

Huyu anapigiwa debe sana na ACT-WAZALENDO. Huyu kwangu sioni kama ni sahihi kupeperusha bendera kwa kupitia upinzani (MUUNGANO) lakini simaanishi kwamba hana sifa kabisa kugombea urais hapana. Ila kwa kupitia upinzani, watakuwa wameamua kubutua.

Kwa sababu:

-Kwa alichokifanya MH E. Lowasa kurudi CCM kimewavunja sana moyo upinzani katika kuamini hawa hamahama hivyo akipitishwa kuna possibility kubwa ya kutokuungwa mkono na wengi ya wanachama wa upinzani ukizingatia huyu yeye hana mob la wanachama wa ccm aliohama na mioyo yao kama Lowasa.

-Kwa kipindi alichokuja, ni ngumu kuwaaminisha wananchi kwamba ana mapenzi na taifa na si tamaa zake binafsi za kutimiza lengo la kuwa mgombea wa urais ukizingatia kutoboa sio rahisi mwaka huu.

-Tatu, endapo akipitishwa na muungano wa vyama vya upinzani anaweza kuleta mpasuko mkubwa hasa ukizingatia kuna MH Lazaro NYalandu ambaye naye anaonekana yupo serious sana kutaka kupewa nafasi hiyo pengine kuliko mtia nia yeyote wa upinzani

MHE. TUNDU A LISSU

Huyu anapigiwa debe sana na CHADEMA wanachama makada na viongozi waandamizi. Kwangu mimi sioni kama ni chaguo lao sahihi kwa uchaguzi huu wa 2020 lakini angeweza kufaa kama ni maandalizi ya 2025.

Kwa sababu:

-Licha ya kwamba amefanya mengi sana kujitolea na kusaidia raia wanaoonewa ukisoma katika historia yake lakini ukiangalia wengi walimuona anafaa kuwania kiti ni kutokana na shambulio lake (HURUMA ambayo kwa sasa naona wengi wameanza kusahau tukio) hivyo hiyo huruma haiwezi kumbeba kwa sasa na ni ukweli kwamba mengi aliyoyafanya tangu enzi hizo wananchi wengi hawayajui kutokana na kutokuwa na desturi ya kusoma historia au pengine kutokana na kwamba aliyafanya katika kipindi ambacho mitandao ya kijamii haikuwa imechukua nafasi katika kumtangaza.

-Pili, Kwa upinzani kulingana na upepo wa sasa ulivyo kutoboa ni ngumu sana hasa katika kiti cha urais na Mh Tundu A Lissu sioni kama ni sahihi kwa yote aliyoyafanya kumtunuku nafasi ya kwenda kujaribu nafasi iliyo finyu sana kwa sasa ( nearly hawezi kushinda), Sitamani kuona Lissu akishindwa, sitamani…!!! Atafaa 2025 uchaguzi utakapokuwa serious.

NINAVYOONA

Ni vema sana kwa sasa wakimpa ridhaa ya kupeperusha bendera Mh L.Nyalandu au yule DR wa kike. Naona sifa za kuwabeba wao zipo n ahata kushindwa kwao sio pigo la kukatisha tamaa kwa mapambano ya demokrasia
 
Umetumwaaaa
emoji83.png
emoji83.png
emoji83.png
 
Membe hana madhara.huyo mwengine kiwete ni wa kutonesha mguu tu.hivi ni mguu wa kulia ama kushoto?
 
Acha kuweweseka....... ccm inaombea asiwe TUNDU LISSU maana ni mpango wa Mungu na ni lazima awe yeyw
Tundu Lissu ni sahihi ila sio 2020. Sitamani kumuona Tundu Lissu akishindwa asubuhi tu. Kwa njia yoyote Magufuli hawezi kushindwa uchaguzi huu hata kama hatopigiwa kura
 
Membe hana madhara.huyo mwengine kiwete ni wa kutonesha mguu tu.hivi ni mguu wa kulia ama kushoto?
Weka heshima usimwite kiwete,
Huyu kazaliwa Mzima, bali wasiopenda haki wamemtia kilema.
Huyu hatoitwa Kiwete.
Ni mtu aliyetiwa Ulemavu tuu usio wa asili
 
Naomba nianze na salamu wana jukwaa la siasa. Hapa jamvini jamii Forum.

Kutokana na kipindi tulichopo(kuelekea uchaguzi mkuu 2020) kumekuwa na majina mengi ya wagombea nafasi ya urais hasa kupitia upinzani ambako ndiko jicho la ushindani wa kupewa nafasi lipo huko (CCM alipita bila kupingwa), Hivyo kuna majina kadhaa yamekuwa yakipewa nafasi na wapo waliokwisha kuchukua fomu na kurudisha lakini pia wapo walioishia kutia nia na kisha nia zao zikayeyuka ghafla.

Naomba niwaongelee wawili hapo juu maana ndio wanaopewa na kupigiwa chapuo sana na wengi wa wanavyama wao hasa makada maarufu na viongozi wenza. MH. BERNARD KAMILIUS MEMBE na MH TUNDU ANTIPHAS LISSU


MH BERNARD MEMBE

Huyu anapigiwa debe sana na ACT-WAZALENDO. Huyu kwangu sioni kama ni sahihi kupeperusha bendera kwa kupitia upinzani (MUUNGANO) lakini simaanishi kwamba hana sifa kabisa kugombea urais hapana. Ila kwa kupitia upinzani, watakuwa wameamua kubutua.

Kwa sababu:

-Kwa alichokifanya MH E. Lowasa kurudi CCM kimewavunja sana moyo upinzani katika kuamini hawa hamahama hivyo akipitishwa kuna possibility kubwa ya kutokuungwa mkono na wengi ya wanachama wa upinzani ukizingatia huyu yeye hana mob la wanachama wa ccm aliohama na mioyo yao kama Lowasa.

-Kwa kipindi alichokuja, ni ngumu kuwaaminisha wananchi kwamba ana mapenzi na taifa na si tamaa zake binafsi za kutimiza lengo la kuwa mgombea wa urais ukizingatia kutoboa sio rahisi mwaka huu.

-Tatu, endapo akipitishwa na muungano wa vyama vya upinzani anaweza kuleta mpasuko mkubwa hasa ukizingatia kuna MH Lazaro NYalandu ambaye naye anaonekana yupo serious sana kutaka kupewa nafasi hiyo pengine kuliko mtia nia yeyote wa upinzani

MH TUNDU A LISSU

Huyu anapigiwa debe sana na CHADEMA wanachama makada na viongozi waandamizi. Kwangu mimi sioni kama ni chaguo lao sahihi kwa uchaguzi huu wa 2020 lakini angeweza kufaa kama ni maandalizi ya 2025.

Kwa sababu:

-Licha ya kwamba amefanya mengi sana kujitolea na kusaidia raia wanaoonewa ukisoma katika historia yake lakini ukiangalia wengi walimuona anafaa kuwania kiti ni kutokana na shambulio lake (HURUMA ambayo kwa sasa naona wengi wameanza kusahau tukio) hivyo hiyo huruma haiwezi kumbeba kwa sasa na ni ukweli kwamba mengi aliyoyafanya tangu enzi hizo wananchi wengi hawayajui kutokana na kutokuwa na desturi ya kusoma historia au pengine kutokana na kwamba aliyafanya katika kipindi ambacho mitandao ya kijamii haikuwa imechukua nafasi katika kumtangaza.

-Pili, Kwa upinzani kulingana na upepo wa sasa ulivyo kutoboa ni ngumu sana hasa katika kiti cha urais na Mh Tundu A Lissu sioni kama ni sahihi kwa yote aliyoyafanya kumtunuku nafasi ya kwenda kujaribu nafasi iliyo finyu sana kwa sasa ( nearly hawezi kushinda), Sitamani kuona Lissu akishindwa, sitamani…!!! Atafaa 2025 uchaguzi utakapokuwa serious.

NINAVYOONA

Ni vema sana kwa sasa wakimpa ridhaa ya kupeperusha bendera Mh L.Nyalandu au yule DR wa kike. Naona sifa za kuwabeba wao zipo n ahata kushindwa kwao sio pigo la kukatisha tamaa kwa mapambano ya demokrasia
Kama huu ujumbe ume tokea Lumumba, tuachie upinzani tuamue. Lissu ni Binge ya turufu.. Subirini moto.
 
Naomba nianze na salamu wana jukwaa la siasa. Hapa jamvini jamii Forum.

Kutokana na kipindi tulichopo(kuelekea uchaguzi mkuu 2020) kumekuwa na majina mengi ya wagombea nafasi ya urais hasa kupitia upinzani ambako ndiko jicho la ushindani wa kupewa nafasi lipo huko (CCM alipita bila kupingwa), Hivyo kuna majina kadhaa yamekuwa yakipewa nafasi na wapo waliokwisha kuchukua fomu na kurudisha lakini pia wapo walioishia kutia nia na kisha nia zao zikayeyuka ghafla.

Naomba niwaongelee wawili hapo juu maana ndio wanaopewa na kupigiwa chapuo sana na wengi wa wanavyama wao hasa makada maarufu na viongozi wenza. MH. BERNARD KAMILIUS MEMBE na MH TUNDU ANTIPHAS LISSU


MH BERNARD MEMBE

Huyu anapigiwa debe sana na ACT-WAZALENDO. Huyu kwangu sioni kama ni sahihi kupeperusha bendera kwa kupitia upinzani (MUUNGANO) lakini simaanishi kwamba hana sifa kabisa kugombea urais hapana. Ila kwa kupitia upinzani, watakuwa wameamua kubutua.

Kwa sababu:

-Kwa alichokifanya MH E. Lowasa kurudi CCM kimewavunja sana moyo upinzani katika kuamini hawa hamahama hivyo akipitishwa kuna possibility kubwa ya kutokuungwa mkono na wengi ya wanachama wa upinzani ukizingatia huyu yeye hana mob la wanachama wa ccm aliohama na mioyo yao kama Lowasa.

-Kwa kipindi alichokuja, ni ngumu kuwaaminisha wananchi kwamba ana mapenzi na taifa na si tamaa zake binafsi za kutimiza lengo la kuwa mgombea wa urais ukizingatia kutoboa sio rahisi mwaka huu.

-Tatu, endapo akipitishwa na muungano wa vyama vya upinzani anaweza kuleta mpasuko mkubwa hasa ukizingatia kuna MH Lazaro NYalandu ambaye naye anaonekana yupo serious sana kutaka kupewa nafasi hiyo pengine kuliko mtia nia yeyote wa upinzani

MH TUNDU A LISSU

Huyu anapigiwa debe sana na CHADEMA wanachama makada na viongozi waandamizi. Kwangu mimi sioni kama ni chaguo lao sahihi kwa uchaguzi huu wa 2020 lakini angeweza kufaa kama ni maandalizi ya 2025.

Kwa sababu:

-Licha ya kwamba amefanya mengi sana kujitolea na kusaidia raia wanaoonewa ukisoma katika historia yake lakini ukiangalia wengi walimuona anafaa kuwania kiti ni kutokana na shambulio lake (HURUMA ambayo kwa sasa naona wengi wameanza kusahau tukio) hivyo hiyo huruma haiwezi kumbeba kwa sasa na ni ukweli kwamba mengi aliyoyafanya tangu enzi hizo wananchi wengi hawayajui kutokana na kutokuwa na desturi ya kusoma historia au pengine kutokana na kwamba aliyafanya katika kipindi ambacho mitandao ya kijamii haikuwa imechukua nafasi katika kumtangaza.

-Pili, Kwa upinzani kulingana na upepo wa sasa ulivyo kutoboa ni ngumu sana hasa katika kiti cha urais na Mh Tundu A Lissu sioni kama ni sahihi kwa yote aliyoyafanya kumtunuku nafasi ya kwenda kujaribu nafasi iliyo finyu sana kwa sasa ( nearly hawezi kushinda), Sitamani kuona Lissu akishindwa, sitamani…!!! Atafaa 2025 uchaguzi utakapokuwa serious.

NINAVYOONA

Ni vema sana kwa sasa wakimpa ridhaa ya kupeperusha bendera Mh L.Nyalandu au yule DR wa kike. Naona sifa za kuwabeba wao zipo n ahata kushindwa kwao sio pigo la kukatisha tamaa kwa mapambano ya demokrasia
Kama watu wanampenda Lissu zaidi ya mwingine hakuna akili yoyote kumwacha Lissu na kumchagua mwingine, au hujui siasa na demokrasia?
 
Acha kuweweseka....... ccm inaombea asiwe TUNDU LISSU maana ni mpango wa Mungu na ni lazima awe yeyw
Ktk demokrasia hakuna neno lazima awe yy isipokua Ni maamuz ya vikao Kwa mujibu wa katiba ya chama husika watia nia cdm wapo weng ukisema lazima awe yey lisu huwatendei haki wale wengine tusubir maamuz ya vikao halal vya chama.
 
Naomba nianze na salamu wana jukwaa la siasa. Hapa jamvini jamii Forum.

Kutokana na kipindi tulichopo(kuelekea uchaguzi mkuu 2020) kumekuwa na majina mengi ya wagombea nafasi ya urais hasa kupitia upinzani ambako ndiko jicho la ushindani wa kupewa nafasi lipo huko (CCM alipita bila kupingwa), Hivyo kuna majina kadhaa yamekuwa yakipewa nafasi na wapo waliokwisha kuchukua fomu na kurudisha lakini pia wapo walioishia kutia nia na kisha nia zao zikayeyuka ghafla.

Naomba niwaongelee wawili hapo juu maana ndio wanaopewa na kupigiwa chapuo sana na wengi wa wanavyama wao hasa makada maarufu na viongozi wenza. MH. BERNARD KAMILIUS MEMBE na MH TUNDU ANTIPHAS LISSU


MH BERNARD MEMBE

Huyu anapigiwa debe sana na ACT-WAZALENDO. Huyu kwangu sioni kama ni sahihi kupeperusha bendera kwa kupitia upinzani (MUUNGANO) lakini simaanishi kwamba hana sifa kabisa kugombea urais hapana. Ila kwa kupitia upinzani, watakuwa wameamua kubutua.

Kwa sababu:

-Kwa alichokifanya MH E. Lowasa kurudi CCM kimewavunja sana moyo upinzani katika kuamini hawa hamahama hivyo akipitishwa kuna possibility kubwa ya kutokuungwa mkono na wengi ya wanachama wa upinzani ukizingatia huyu yeye hana mob la wanachama wa ccm aliohama na mioyo yao kama Lowasa.

-Kwa kipindi alichokuja, ni ngumu kuwaaminisha wananchi kwamba ana mapenzi na taifa na si tamaa zake binafsi za kutimiza lengo la kuwa mgombea wa urais ukizingatia kutoboa sio rahisi mwaka huu.

-Tatu, endapo akipitishwa na muungano wa vyama vya upinzani anaweza kuleta mpasuko mkubwa hasa ukizingatia kuna MH Lazaro NYalandu ambaye naye anaonekana yupo serious sana kutaka kupewa nafasi hiyo pengine kuliko mtia nia yeyote wa upinzani

MH TUNDU A LISSU

Huyu anapigiwa debe sana na CHADEMA wanachama makada na viongozi waandamizi. Kwangu mimi sioni kama ni chaguo lao sahihi kwa uchaguzi huu wa 2020 lakini angeweza kufaa kama ni maandalizi ya 2025.

Kwa sababu:

-Licha ya kwamba amefanya mengi sana kujitolea na kusaidia raia wanaoonewa ukisoma katika historia yake lakini ukiangalia wengi walimuona anafaa kuwania kiti ni kutokana na shambulio lake (HURUMA ambayo kwa sasa naona wengi wameanza kusahau tukio) hivyo hiyo huruma haiwezi kumbeba kwa sasa na ni ukweli kwamba mengi aliyoyafanya tangu enzi hizo wananchi wengi hawayajui kutokana na kutokuwa na desturi ya kusoma historia au pengine kutokana na kwamba aliyafanya katika kipindi ambacho mitandao ya kijamii haikuwa imechukua nafasi katika kumtangaza.

-Pili, Kwa upinzani kulingana na upepo wa sasa ulivyo kutoboa ni ngumu sana hasa katika kiti cha urais na Mh Tundu A Lissu sioni kama ni sahihi kwa yote aliyoyafanya kumtunuku nafasi ya kwenda kujaribu nafasi iliyo finyu sana kwa sasa ( nearly hawezi kushinda), Sitamani kuona Lissu akishindwa, sitamani…!!! Atafaa 2025 uchaguzi utakapokuwa serious.

NINAVYOONA

Ni vema sana kwa sasa wakimpa ridhaa ya kupeperusha bendera Mh L.Nyalandu au yule DR wa kike. Naona sifa za kuwabeba wao zipo n ahata kushindwa kwao sio pigo la kukatisha tamaa kwa mapambano ya demokrasia

Hii inaitwa kiwewe.

Lb7 pelekeni salaam kwa slow slow - hatudanganyiki!
 
Membe hana madhara.huyo mwengine kiwete ni wa kutonesha mguu tu.hivi ni mguu wa kulia ama kushoto?
Maneno haya wala hayakusaidii, sanasana yanaonesha upungufu mkubwa wa akili ulionao. Nakuombea uishi muda mrefu ili uuone utukufu wa Mungu wewe mkamilifu.
 
Tundu Lissu ni sahihi ila sio 2020. Sitamani kumuona Tundu Lissu akishindwa asubuhi tu. Kwa njia yoyote Magufuli hawezi kushindwa uchaguzi huu hata kama hatopigiwa kura

Mkuu ni sawa na kusema kuwa Mbao Fc wasiingie uwanjani kisa watafungwa na Simba. Hakuna mpinzani anayeigopa kushindwa, bali tunataka ushindani halisi na mshindi halali atangazwe. Hata kama Magufuli atashinda kwa mizengwe wananchi watajionea wenyewe. Magufuli asipopata ushindani halisi safari hii, ni rahisi kujiongezea muda wa kukaa madarakani zaidi ya miaka 10.

Huyo Nyalandu na Membe ni wanaccm na sisi wapiga kura wengi wa upinzani hatuna imani nao. Hivyo wala usipoteze muda wako kuwaongelea maana hatuna muda nao.
 
Ktk demokrasia hakuna neno lazima awe yy isipokua Ni maamuz ya vikao Kwa mujibu wa katiba ya chama husika watia nia cdm wapo weng ukisema lazima awe yey lisu huwatendei haki wale wengine tusubir maamuz ya vikao halal vya chama.

Hata iwe ni vikao halali vya chama, sisi wapiga kura wengi tunamtaka Lissu. Na ikitokea wasipompitisha Lissu, hao wengine hatutapoteza muda wetu kwenda kuwapigia kura, haswa Nyalandu, ya Lowasa yanatutosha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom