Ripoti Amnesty International: Serikali ilitumia nguvu kubwa kuwaondoa Wamasai Loliondo

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,377
8,121
1686031641995.png
Shirika la kutetea haki za Binadamu la Amnesty International limelaani mamlaka nchini Tanzania kwa kuwaondoa kwa nguvu watu wa jamii ya kiasili ya Kimasai kutoka katika ardhi ya mababu zao ya Ngorongoro.

Shirika hilo la kutetea haki za binadamu limesema Juni 2022, vikosi vya ulinzi na usalama vilianza kutumia nguvu kupita kiasi, kuwakamata watu kiholela na kuwafyatulia risasi watu wa Kimasai huko Loliondo, karibu na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Pia ilisema mamlaka ilionyesha kutozingatia kabisa utaratibu unaostahili au kupata ridhaa ya Wamasai.

Serikali ya Tanzania inashikilia msimamo kuwa kuondolewa kwa Wamasai ilikuwa ni muhimu kwaajili uhifadhi wa wanyamapori.

==============

TIMELINE OF THE JUNE 2022 FORCED EVICTIONS

On 7 June 2022, multi-agency state security forces arrived in Loliondo division to implement the authorities’ plans.
The state did not use any legal basis to evict the residents of the villages of Loliondo. In fact, it was after the forced
evictions, on 17 June 2022, that the state published the Wildlife Conservation (Pololeti Game Controlled Area) (Declaration) Order, 2022 (GN 421 of 2022), which declared that the area had become the Pololeti Game Reserve, a new name.

It is believed by lawyers interviewed by Amnesty International that this pronouncement was made so that the authorities could take away the whole 1,500km2 of grazing land shared by all the villages of Loliondo, including Ololosokwan, Kirtalo, Oloipiri, Lopolun, Orkuyainie, Oldoinyowas, Loosoito, Arash, Ormanie, Oloiswashi, Enkobereti, Olalaa and Kipambi villages, and Piyaya and Malambo village land, without following the required procedures of the Tanzanian Land Act, Village Land Act, Wildlife Conservation Act, and other national laws.

On 9 June 2022, community members from Ololosokwan, Oloirien, Kirtalo and Arash (four villages in Loliondo) gathered to protest the demarcation exercise by removing the beacons that had been erected by the security forces to mark the boundaries of Maasai land that the authorities intended to demarcate as a conservation area. Security forces used tear gas and firearms against the protesters.

On 10 June 2022, Tanzanian government multi-agency security forces, comprising the Tanzania People’s Defence
Force, the Tanzania Police Force, its Field Force Unit, the NCAA, TANAPA rangers and Tanzania military used force, including live ammunition and tear gas, to crush protests by Maasai residents of Loliondo, who had assembled in Ololosokwan village to resist a demarcation exercise being conducted by the security forces.

On the same day, Tanzania’s prime minister, Kassim Majaliwa, speaking in parliament, denied that there had been any violent confrontation between security forces and the community in Loliondo, dismissing as fabricated videos indicating the opposite.

On 21 October, Geophrey Privatus Mizengo Pinda, Tanzania’s deputy minister, Ministry of Constitutional and Legal
Affairs, read a statement at the 73rd Ordinary Session of the ACHPR also denying the state’s involvement in forced
evictions in Loliondo.

During and after the June 2022 forced evictions, security authorities prevented media outlets and NGOs from
accessing affected areas of Loliondo or by actively censoring them from independently reporting on these evictions.

Speaking to the media, representatives of the security authorities denied excessive use of force during the evictions, claiming that the relocation of Maasai community members had been undertaken consultatively and that the community was relocating voluntarily.

AMNESTY INTERNATIONAL
 

Attachments

  • FORCED EVICTIONS OF THE MAASAI IN LOLIONDO REPORT - Amnesty Intnl.pdf
    2.8 MB · Views: 3
WAMASAI hawakutendewa haki kabisaaaa.

Kunanuka rushwa kwa wote waliohusika, na niseme tu, nasikia kichefuchefu kujua askari wetu walio apa kulinda raia wake, wakisukumwa na kutumiwa kwenda kuangamiza Jamii ya MMasai.....na hawata koma hapo!

Nasikia kichefuchefu kujua Serikali yetu imesukumwa na Ulaghai wa "Kulinda Mazingira" yaani ni kigezo cha ajabu sana ukizingatia Wamasai waliweza kuishi katika maeneo hayo kwa karne kwa karne bila ya athari na madhara yalliyoorodheshwa na Walinda mazingira uchwara.

Shame on you.

Waliohusika wanajulikana....ipo siku haki itendeke
 
Shirika la kutetea haki za Binadamu la Amnesty International limelaani mamlaka nchini Tanzania kwa kuwaondoa kwa nguvu watu wa jamii ya kiasili ya Kimasai kutoka katika ardhi ya mababu zao ya Ngorongoro.

Shirika hilo la kutetea haki za binadamu limesema Juni 2022, vikosi vya ulinzi na usalama vilianza kutumia nguvu kupita kiasi, kuwakamata watu kiholela na kuwafyatulia risasi watu wa Kimasai huko Loliondo, karibu na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Pia ilisema mamlaka ilionyesha kutozingatia kabisa utaratibu unaostahili au kupata ridhaa ya Wamasai.

Serikali ya Tanzania inashikilia msimamo kuwa kuondolewa kwa Wamasai ilikuwa ni muhimu kwaajili uhifadhi wa wanyamapori.

==============

TIMELINE OF THE JUNE 2022 FORCED EVICTIONS

On 7 June 2022, multi-agency state security forces arrived in Loliondo division to implement the authorities’ plans.
The state did not use any legal basis to evict the residents of the villages of Loliondo. In fact, it was after the forced
evictions, on 17 June 2022, that the state published the Wildlife Conservation (Pololeti Game Controlled Area) (Declaration) Order, 2022 (GN 421 of 2022), which declared that the area had become the Pololeti Game Reserve, a new name.

It is believed by lawyers interviewed by Amnesty International that this pronouncement was made so that the authorities could take away the whole 1,500km2 of grazing land shared by all the villages of Loliondo, including Ololosokwan, Kirtalo, Oloipiri, Lopolun, Orkuyainie, Oldoinyowas, Loosoito, Arash, Ormanie, Oloiswashi, Enkobereti, Olalaa and Kipambi villages, and Piyaya and Malambo village land, without following the required procedures of the Tanzanian Land Act, Village Land Act, Wildlife Conservation Act, and other national laws.

On 9 June 2022, community members from Ololosokwan, Oloirien, Kirtalo and Arash (four villages in Loliondo) gathered to protest the demarcation exercise by removing the beacons that had been erected by the security forces to mark the boundaries of Maasai land that the authorities intended to demarcate as a conservation area. Security forces used tear gas and firearms against the protesters.

On 10 June 2022, Tanzanian government multi-agency security forces, comprising the Tanzania People’s Defence
Force, the Tanzania Police Force, its Field Force Unit, the NCAA, TANAPA rangers and Tanzania military used force, including live ammunition and tear gas, to crush protests by Maasai residents of Loliondo, who had assembled in Ololosokwan village to resist a demarcation exercise being conducted by the security forces.

On the same day, Tanzania’s prime minister, Kassim Majaliwa, speaking in parliament, denied that there had been any violent confrontation between security forces and the community in Loliondo, dismissing as fabricated videos indicating the opposite.

On 21 October, Geophrey Privatus Mizengo Pinda, Tanzania’s deputy minister, Ministry of Constitutional and Legal
Affairs, read a statement at the 73rd Ordinary Session of the ACHPR also denying the state’s involvement in forced
evictions in Loliondo.

During and after the June 2022 forced evictions, security authorities prevented media outlets and NGOs from
accessing affected areas of Loliondo or by actively censoring them from independently reporting on these evictions.

Speaking to the media, representatives of the security authorities denied excessive use of force during the evictions, claiming that the relocation of Maasai community members had been undertaken consultatively and that the community was relocating voluntarily.

AMNESTY INTERNATIONAL
Haha nao ni wapuuzi

Baada ya kuona bandari imeenda ndoo wanakumbuka kupiga kelele walikuwa wapi wakati masai wanakula kichapo!!?

Shirika la mchongo hilo!!
 
Walaaniwe wote waliofanya unyama huu kwa jamii ya kimasai.
 
Shirika la kutetea haki za Binadamu la Amnesty International limelaani mamlaka nchini Tanzania kwa kuwaondoa kwa nguvu watu wa jamii ya kiasili ya Kimasai kutoka katika ardhi ya mababu zao ya Ngorongoro.

Shirika hilo la kutetea haki za binadamu limesema Juni 2022, vikosi vya ulinzi na usalama vilianza kutumia nguvu kupita kiasi, kuwakamata watu kiholela na kuwafyatulia risasi watu wa Kimasai huko Loliondo, karibu na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Pia ilisema mamlaka ilionyesha kutozingatia kabisa utaratibu unaostahili au kupata ridhaa ya Wamasai.

Serikali ya Tanzania inashikilia msimamo kuwa kuondolewa kwa Wamasai ilikuwa ni muhimu kwaajili uhifadhi wa wanyamapori.

==============

TIMELINE OF THE JUNE 2022 FORCED EVICTIONS

On 7 June 2022, multi-agency state security forces arrived in Loliondo division to implement the authorities’ plans.
The state did not use any legal basis to evict the residents of the villages of Loliondo. In fact, it was after the forced
evictions, on 17 June 2022, that the state published the Wildlife Conservation (Pololeti Game Controlled Area) (Declaration) Order, 2022 (GN 421 of 2022), which declared that the area had become the Pololeti Game Reserve, a new name.

It is believed by lawyers interviewed by Amnesty International that this pronouncement was made so that the authorities could take away the whole 1,500km2 of grazing land shared by all the villages of Loliondo, including Ololosokwan, Kirtalo, Oloipiri, Lopolun, Orkuyainie, Oldoinyowas, Loosoito, Arash, Ormanie, Oloiswashi, Enkobereti, Olalaa and Kipambi villages, and Piyaya and Malambo village land, without following the required procedures of the Tanzanian Land Act, Village Land Act, Wildlife Conservation Act, and other national laws.

On 9 June 2022, community members from Ololosokwan, Oloirien, Kirtalo and Arash (four villages in Loliondo) gathered to protest the demarcation exercise by removing the beacons that had been erected by the security forces to mark the boundaries of Maasai land that the authorities intended to demarcate as a conservation area. Security forces used tear gas and firearms against the protesters.

On 10 June 2022, Tanzanian government multi-agency security forces, comprising the Tanzania People’s Defence
Force, the Tanzania Police Force, its Field Force Unit, the NCAA, TANAPA rangers and Tanzania military used force, including live ammunition and tear gas, to crush protests by Maasai residents of Loliondo, who had assembled in Ololosokwan village to resist a demarcation exercise being conducted by the security forces.

On the same day, Tanzania’s prime minister, Kassim Majaliwa, speaking in parliament, denied that there had been any violent confrontation between security forces and the community in Loliondo, dismissing as fabricated videos indicating the opposite.

On 21 October, Geophrey Privatus Mizengo Pinda, Tanzania’s deputy minister, Ministry of Constitutional and Legal
Affairs, read a statement at the 73rd Ordinary Session of the ACHPR also denying the state’s involvement in forced
evictions in Loliondo.

During and after the June 2022 forced evictions, security authorities prevented media outlets and NGOs from
accessing affected areas of Loliondo or by actively censoring them from independently reporting on these evictions.

Speaking to the media, representatives of the security authorities denied excessive use of force during the evictions, claiming that the relocation of Maasai community members had been undertaken consultatively and that the community was relocating voluntarily.

AMNESTY INTERNATIONAL
Wanatuona nyani tu!
 
Halafu huyo Waziri aliyekiuka sheria yupo tu katika Ofisi za umma ni kuhadilishana tu nafasi, ipo siku watawajibika kwa ukatili huo kwa Jamii hiyo.
 
Back
Top Bottom