Ringtone ya simu.

Kirikou Wa Kwanza

JF-Expert Member
May 24, 2013
3,564
1,989
Jamaa yupo kwenye msiba wa dada yake, wakati jeneza linatolewa ndani watu wote msibani walikuwa wakilia. Mara simu ya Jamaa ikaita kwa ringtone ya
dada huyoo anaolewaa, dada huyoo anaolewaa, mahali kishatolewa, mahali kishatolewaa x5. Jamaa kuzima simu anashindwa maana kabeba jeneza na simu inaendelea kuita.

Kilichoendelea mi sijui!
 
Jamaa yupo kwenye msiba wa dada yake, wakati jeneza linatolewa ndani watu wote msiba walikuwa wakilia. Mara simu ya Jamaa akaita kwa ringtone ya
dada huyoo anaolewaa, dada huyoo anaolewaa, mahali kishatolewa, mahali kishatolewaa x5. Jamaa kuzima simu anashindwa maana kabeba jeneza na simu inaendelea kuita.

Kilichoendelea mi sijui!
wewe mzima kweri?
 
Jamaa yupo kwenye msiba wa dada yake, wakati jeneza linatolewa ndani watu wote msiba walikuwa wakilia. Mara simu ya Jamaa akaita kwa ringtone ya
dada huyoo anaolewaa, dada huyoo anaolewaa, mahali kishatolewa, mahali kishatolewaa x5. Jamaa kuzima simu anashindwa maana kabeba jeneza na simu inaendelea kuita.

Kilichoendelea mi sijui!
Hahaahahaaaa
 
Hizo kiki za kitoto peleka kwenye magroup ya facebook mtu huwez kubeba jeneza lenye mwili wa dada ako hizo nguvu unaztoa wap unles kama mlikuw mnashutu sce ya ze komedy
 
Hizo kiki za kitoto peleka kwenye magroup ya facebook mtu huwez kubeba jeneza lenye mwili wa dada ako hizo nguvu unaztoa wap unles kama mlikuw mnashutu sce ya ze komedy

Wewe unaonekana bado mgeni kama hujui maana ya hili Jukwaa toka humu hapakufai!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom