Ridhuani Mringo: Another billionaire entrepreneur to watch!

Ridhuani Mringo: Another billionaire entrepreneur to watch!

mh watanzania tunajua sana kujaji vitu kwavile hatukubahatika kuwa kwenye hizo nafasi naamini humu hamna ambaye hapendi kuwa billionaire ila kwavile ridhuani amekua bas mtatafuta hadi mambo msiyo yajua kila mtu ana njia yake ya kupata utajiri iwe halali au si halali cha msingi ashatoboa maisha sisi wa kando ni kujifunza na kutoa pongezi. over
 
Huyu jamaa anaijua hela balaa
Ana nyumba nyingi sana mjini hapa
Ukimuona hata huwez jua kama bilionea

Ova
Na Bank anayoimiliki week iliyopita imepewa kibali na BOT Cha kua Commercial bank kabla ilikua ni
Microfinance Bank(MWANGA Hakika).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom