Ridhuani Mringo: Another billionaire entrepreneur to watch!

Ridhuani Mringo: Another billionaire entrepreneur to watch!

Mringo is our modern day case study that demonstrates its possible to come from ordinary background and still get rich in Tanzania...
This guy started from bottom few years ago but now he owns couple of skyscrapper in Dar.. In the past five or six years, he has made a number of contribution that affect Tanzania as a country positively...
Apart from helping in changing the face of the city with ultramodern structures, his company Derm Electrics has done much in rurar electrification as well as providing jobs.
Different from many billionaires, he is very keen of supporting local economy because he buys alot domestically rather than importing what is available in the domestic market.
The guy is very discreet and media shy, that is why he has latgely remained annonimous...
Huyu ni mdau mkubwa wa Dau, jamaa aliyekuwa NSSF.
 
Kwani Ndugu hii thread inahusu wa china au Mringo?ulitaka tutoke nje ya mada tuzungumzie wachina?leta thread ya wachina,tutaanza tutawajadili huko...by the way hakuna anaemuonea wivu,unaanzaje kumuona wivu mtu ambae ni rahisi kwa ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko yy kuiona heaven...
Huu utajiri wa mali tutauacha hapa hapa...6 feet below huendi ht na senti 5
Na hizo nyingine zinaitwa subtopic... Na ndio uone tofauti ya kumpa kandarasi mzawa na mgeni! Wachina waliochuma pesa za NSSF wamezipeleka kwao. Huyu mzawa amewekeza hapa hapa nchini which is beneficial to our economy...
 
Na hizo nyingine zinaitwa subtopic... Na ndio uone tofauti ya kumpa kandarasi mzawa na mgeni! Wachina waliochuma pesa za NSSF wamezipeleka kwao. Huyu mzawa amewekeza hapa hapa nchini which is beneficial to our economy...
Huyu sio tu kachuma huyu katuibia sana kuliko kawaida....mfumo umemlinda sana...kwaio km unataka subtopic tujadili pia alivyotuibia pale udom na magenerator yake na ktk miradi ya NSSF
 
intelligently state your case mtoa post...tell us how do you think he's going to be billionaire.?toa rough estimates za earnings zake,..usitaje tu anamiliki magorofa mangapi mjini hapa...Hata Makongoro Mahanga ana maghorofa ,does that make him a billionaire?
 
Haya ni majengo marefu sana...

Kigezo cha kuitwa hilo jina mtu akiwa gorofa ya juu akinyoodha mkona wake lazima aguse mawingu.

Watu kama huyu billionea wangepewa kufanya miradi ya rea nchi hii ingekuwa imepiga hatua kubwa sana kwa maendeleo hasa huko vijijini.

Na washawasha!
 
Watu tulishasahau na kufunika makaburi ila anaibuka na kutusifu ujinga. Only in Tanzania.
 
hivi mkiandikaga kiswahili mnapungukiwa nini? aarrrghhi!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuuu umesahau....tupo kwenye kampen za ubunge wa Africa mashariki..........muongozaji, muulizaji na muulizwaji woooooteeeeee......za fanana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] afu mijadara ya ni lugha gani itumike kufundishia wao ndo wa kwanza kiswahiliiiii...........................CALL ME J
 
Kwani Ndugu hii thread inahusu wa china au Mringo?ulitaka tutoke nje ya mada tuzungumzie wachina?leta thread ya wachina,tutaanza tutawajadili huko...by the way hakuna anaemuonea wivu,unaanzaje kumuona wivu mtu ambae ni rahisi kwa ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko yy kuiona heaven...
Huu utajiri wa mali tutauacha hapa hapa...6 feet below huendi ht na senti 5
Wivu..............
 
Bora ungekaa kimya. Bashite akimjua atatozwa hongo kila mwezi la sivyo atafanyiwa mizengwe na kufilisiwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom