Ridhiwani na Mwalimu wake

mwalimu.JPG


Ridhiwani Kikwete akiwa na mwalimu aliyemsomesha darasa la kwanza 1987 katika Shule yaMsingi Matangini Mwl. Sophia Makong'o, alipomtembelea nyumbani kwake mjini Nachingwea. Kulia ni mtoto wa Mwl. Makong'o, Husna, ambaye alisoma naye Ridhiwani darasa la kwanza katika shule hiyo.

Like Father Like Son.
 
Bila kujali kusudio hasa la huyu bwana mdogo kumtembelea mwalimu wake wa zamani hii ni picha nzuri sana kwa ajili ya ukumbusho wa "ulipotoka"
 
Ridhwani nae binadamu kama watu wengine ukiachilia mbali utajiri au siasa. binadamu anakumbuka japo kwa dakika chache kule alikotoka na yale yaliyomsibu hadi kufikia hapo alipo. inawezekana kabisa kafika pale kwa kukumbuka mema aliyotendewa awali.
walimu wengi wamefanya makubwa sana karbu kwa kila Viongozi na matajiri na wanawakumbuka lakini sio kwa kuwasaidia . Hii ndio hali na tabia yetu binadamu wengi. Ukiachana na kasoro zingine huu mfano mzuri tuwakumbuke waliotusaidia kufikia hapa tulipo.
Mungu awape moyo walimu wazidi kusaidia wengine bila kukatishwa tamaa na yale yanayotokea kwa sasa.
Amen.
Kaenda kuomba kura ya baba tu,hakuna lolote.Hapo alimwachia kiasi cha pesa labda Tzs.10000 basi.Siku zote alikuwa wapi????
 
Sura ya mwalimu na Ridhiwani kama rika moja,lol

Ridhiwan anaonekana mzee kuliko mwalimu wake. ssa hapo ni sitting room au chumbani? Hivyo vitanda bomba sana huwezi kusikia mtu anaumwa mgongo asubuhi akiamka
 
mwalimu.JPG


Ridhiwani Kikwete akiwa na mwalimu aliyemsomesha darasa la kwanza 1987 katika Shule yaMsingi Matangini Mwl. Sophia Makong'o, alipomtembelea nyumbani kwake mjini Nachingwea. Kulia ni mtoto wa Mwl. Makong'o, Husna, ambaye alisoma naye Ridhiwani darasa la kwanza katika shule hiyo.

Kijana endelea kutetea ulaji wa familia Ikulu. Hii ndiyo kampeni ya nyumba kwa nyumba ili baba, mama na watoto wabaki Ikulu. Kweli Ikulu kutamu. Hebu hakikisha unaacha mshiko wa kumtoa mwalimu angalu kwa msimu mzima. Angalia alivyochoka kwa maisha magumu, kitanda ndiyo hicho. Angalia dada Hasna ambaye amesoma naye , maisha magumu. Kweli Ikulu kutamu
 
a very nice picha, huyu mwalimu anaonekana ni wale walimu wenye wito, safi sana Ridhiwani, hata kama ni siasa basi hii nimeipenda, watu wachache wanakumbuka walipotoka.
..Kinachonisikitisha sijui kama huyo dogo alipata akili ya kumnunulia hata kandambili huyo mwalimu mstaafu!
 
Kicheko hiko ni cha kinafiki sana! Inaonyesha ni jinsi gani serikali ya CCM inayoongozwa na Baba Yake ilivyoshindwa leta maisha bora kwa watanzania walio wengi hata walimu na wafanyakazi wengine. Tanzania bila Kikwete Inawezekana.

Mbona kama vie mwalimu na binti yake wamelazimishwa kupiga picha?? wamenuna sana jamani
 
mwalimu.JPG


Ridhiwani Kikwete akiwa na mwalimu aliyemsomesha darasa la kwanza 1987 katika Shule yaMsingi Matangini Mwl. Sophia Makong'o, alipomtembelea nyumbani kwake mjini Nachingwea. Kulia ni mtoto wa Mwl. Makong'o, Husna, ambaye alisoma naye Ridhiwani darasa la kwanza katika shule hiyo.


Mtoto nae anavaa PETE za sheikh Yahay?!!!! Au ni macho yangu wana jamvi?
 
..the two ladies dont look happy at all.

..sasa sijui Ridhiwani anafurahia nini hapo wakati kamkuta mwalimu wake choka mbaya namna hiyo.
 
picha hii ni NZURI SANA na amefanya vizuri kumtembelea mwalimu wake, pia kwangu inatupat ujumbe

1. Kukumbuka walimu wetu maana wao wame-play part kubwa kutufikisha kila mmoja alipo, hivyo kutembelea mfano vijijini walipo kama tukifika huko kwa sababu yoyote.
2. Mtoto unaemuona leo usimzarau maana hujui kesho atakuwa nani au atakuwa katika familia gani, hivyo tuheshimu wadogo na wakubwa
3. Matabaka mawili makubwa ya "the have" na "the have not" yapo na tofauti ni kubwa kama unavyoona katika picha
 
Old memory lane. Safi sana. Sisiemu ina kazi sana kutuletea maisha bora. Hiyo ni changamoto kwa kijana na chama chake.
 
Alitakuelekeza ukware wake kwa mtoto wa mwalimu, alipomkuta kachokaaa, akaona noma. Hapo aikuwa salamu tena.
 
Back
Top Bottom