Ridhiwani Kikwete: Nimesikitishwa na watu wanaonilisha maneno, Instagram yangu imedukuliwa

Lkn kweli mkuu, acha kwanza hasira kidogo, hatujawahi kukushuhudia ina maana chairman na cdm hakuna kitu hata kimoja ambcho walishafanya kikakukera ukakiongelea?
Unachepusha reli!! Mbowe mfungulie post tutachangia tu. Kinachozungumziwa hapa ni ujumbe wa Riz1 kwa ccm na mtukufu
Hebu changia kuhusu hoja alizotoa Riz1 ni sawa au si sawa?!
 
Unachepusha reli!! Mbowe mfungulie post tutachangia tu. Kinachozungumziwa hapa ni ujumbe wa Riz1 kwa ccm na mtukufu
Hebu changia kuhusu hoja alizotoa Riz1 ni sawa au si sawa?!
Wewe sina shida na wewe wa kwetu, nimemuuliza mtu mmoja ambaye misimamo yake inajulikana, hii haikuhusu, najua wewe mi msema kweli bila kukumbatia uchama, ndo maana sijakuuliza
 
Sawa R1 ila ujumbe ulishafika, achana na hao wadukuzi, walikufanyia kazi nzuri sana kukupelekea ujumbe kwa wahusika. Karibu tena!
 
Kama kweli wanachukizwa na gharama za marudio warudi bungeni wakaondoe utaratibu huu wa kufanya chaguzi za marudio, haiwezekani waruhusu zifanyike alafu zikifanyika waanze kulalamika kuhusu gharama. Kuziondoa hizo gharama ni kuondoa vipengere vinavyo ruhusu kurudia chaguzi lasivyo acha tumie tu.
 
nasema hivi chaguzi ndogo zije tu mpaka tufe kwa kukosa madawa maana sisi ni shithole watupu bullshit
 
QUOTE="mshana jr, post: 25450197, member: 98741"]Duu asante sana kapiga penyewe[/QUOTE]


Sio yeye ni MDUKUZI ndio kasema hivyo.Yeye hana tatizo, tusimsingizie bure.
 
Anamjaribu asiye jaribiwa?
Kitu kiko juu kile cha moto...afu kina zumba.....acheze mbali asee...
 
Back
Top Bottom