Ridhiwani Kikwete: Nimesikitishwa na watu wanaonilisha maneno, Instagram yangu imedukuliwa

Nimesikitishwa sana na hili jambo lililotokea leo.

Watu wameingilia Ukurasa wangu wa Instagram na kunizuia nisiingie kwenye account yangu. Lakini jambo baya zaidi wanalolifanya ni kuandika vitu au maneno ambayo hata sijawahi na sitamani kuyasema.

Nimeshangazwa sana na hili na sijui Nia ya kufanya hivyo ni nini? Malengo yenu hamtafanikiwa.

Mimi niko katika vikao vya halamashauri kupanga bajeti za Halmashauri yetu ya Chalinze.

Hayo maneno na matukio hata hayajawahi tokea.

Naomba utulivu katika kipindi hicho ambacho wataalamu wanafanya kazi ya kurudisha Ukurasa huu mikononi mwangu.
 
Nimesikitishwa sana na hili jambo lililotokea leo.

Watu wameingilia Ukurasa wangu wa Instagram na kunizuia nisiingie kwenye account yangu. Lakini jambo baya zaidi wanalolifanya ni kuandika vitu au maneno ambayo hata sijawahi na sitamani kuyasema.

Nimeshangazwa sana na hili na sijui Nia ya kufanya hivyo ni nini? Malengo yenu hamtafanikiwa.

Mimi niko katika vikao vya halamashauri kupanga bajeti za Halmashauri yetu ya Chalinze.

Hayo maneno na matukio hata hayajawahi tokea.

Naomba utulivu katika kipindi hicho ambacho wataalamu wanafanya kazi ya kurudisha Ukurasa huu mikononi mwangu.
Ridhiwani, hiyo account waachie hao wadukuzi maana wanaonekana Wana akili kukuzidi!

Fungua account nyingine!
 
Mwalimu wangu wa shule ya msingi Budushi, Kwimba alinifundisha jambo moja kuhusu "maandishi" ....kabla hujatuma barua yoyote,iweke kwenye kisonzo...nenda kacheze na wenzako ukirudi oga, kula na kabla hujalala soma ulichokiandika na lala. Kesho asubuhi rudia tena kusoma na hapo unaweza kutuma barua yako! Kwangu huwa ni nadra sana kumkosea radhi mtu kwa njia ya maadishi iwe ni sms au nini. Liz ameandika akiwa kwenye "mudi"
 
Back
Top Bottom