MTAZAMO
Platinum Member
- Feb 8, 2011
- 19,993
- 34,868
Umenivunja mbavu mkuu!Nyie walimu nyie, sasa ndio mmefanya nini sasa.
Umenivunja mbavu mkuu!Nyie walimu nyie, sasa ndio mmefanya nini sasa.
Sio wewe tu ndugu ht mimi majibu yananiacha hoi jf kiboko.Ha ha,mi napenda tu majibu ya watu.jf lol!
5m must be including plumping work such as strong GS pipes for riser, inlet and outlet pipes including non return valve. unles mna riser iliyojengwa tayari
r u serious?Wana JF Bwana yesu awe. Pamoja nanyi na kwa waislamu Asalama aleko.
Leo hapa kwetu magu kuna sherehe ktk sekondari ya wahitimu wa kidato cha NNE wana habari na wakazi wengi wa mwanza wamekuja kumuunga mkono mtoto wa rais ktk hafla hii.
Lililo nisukuma ni jambo moja baada ya hotuba bwana ridhwani ametoa ahadi ya kusaidia shule hii TANKI la SIMTANK la lita 10,000 ambalo amedai lina thamani ya Tsh 5,000,000. Baada ya kauli hiyi Mjadala ukaanza hapa miongoni mwa watu. Tuliohudhuria kuwa je Tanki hilo linathamani hiyo?
Sisi huku magu hamna matanki yanamna hiyo nikaamua kuleta huu Mjadala Mtusaidie kufahamu thamani halisi ya TANKI hilo la Maji kwani sisi waalimu hatufahamu bei ya Kitu hicho kwakua sijawahi kuwaza kununua Tanki la Namna hiyo.
Tunaomba mtu saidie isije ikawa tunapigwa Changa la Macho.
Sasa na nyie walimu na uongozi mzima wa hiyo shule, mmemwalika Riz 1 kama nani nji hii. Mmekosa viongozi wa serikali kweli?? Mngemwalika hata mtendaji wa kata basi.
Nyie subirini hilo tank la maji hata kama atapewa bure au atachukua pale nyumbani kwao nyie subirini tank.
huyu Ridhiwani tumemshiba sana UVCCM. Sasa ameanza mashambulizi dhidi ya January Makamba na dada yake mwamvita
Nyie walimu nyie, sasa ndio mmefanya nini sasa.
Wana JF Bwana yesu awe. Pamoja nanyi na kwa waislamu Asalama aleko.
Leo hapa kwetu magu kuna sherehe ktk sekondari ya wahitimu wa kidato cha NNE wana habari na wakazi wengi wa mwanza wamekuja kumuunga mkono mtoto wa rais ktk hafla hii.
Lililo nisukuma ni jambo moja baada ya hotuba bwana ridhwani ametoa ahadi ya kusaidia shule hii TANKI la SIMTANK la lita 10,000 ambalo amedai lina thamani ya Tsh 5,000,000. Baada ya kauli hiyi Mjadala ukaanza hapa miongoni mwa watu. Tuliohudhuria kuwa je Tanki hilo linathamani hiyo?
Sisi huku magu hamna matanki yanamna hiyo nikaamua kuleta huu Mjadala Mtusaidie kufahamu thamani halisi ya TANKI hilo la Maji kwani sisi waalimu hatufahamu bei ya Kitu hicho kwakua sijawahi kuwaza kununua Tanki la Namna hiyo.
Tunaomba mtu saidie isije ikawa tunapigwa Changa la Macho.
Riz 1 bana au amekuja kutafuta mke huko?