Ridhiwani Kikwete Ndani ya MAGU,

Wana JF Bwana yesu awe. Pamoja nanyi na kwa waislamu Asalama aleko.

Leo hapa kwetu magu kuna sherehe ktk sekondari ya wahitimu wa kidato cha NNE wana habari na wakazi wengi wa mwanza wamekuja kumuunga mkono mtoto wa rais ktk hafla hii.

Lililo nisukuma ni jambo moja baada ya hotuba bwana ridhwani ametoa ahadi ya kusaidia shule hii TANKI la SIMTANK la lita 10,000 ambalo amedai lina thamani ya Tsh 5,000,000. Baada ya kauli hiyi Mjadala ukaanza hapa miongoni mwa watu. Tuliohudhuria kuwa je Tanki hilo linathamani hiyo?

Sisi huku magu hamna matanki yanamna hiyo nikaamua kuleta huu Mjadala Mtusaidie kufahamu thamani halisi ya TANKI hilo la Maji kwani sisi waalimu hatufahamu bei ya Kitu hicho kwakua sijawahi kuwaza kununua Tanki la Namna hiyo.

Tunaomba mtu saidie isije ikawa tunapigwa Changa la Macho.

samahani ndugu,alikua magu day,kandawe au lubugu? Au shule ya msingi moi au isandura? Niambie tafadhari,naona huyu kijana ameamua kutusumbua.
 
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

umeshamaliza zile alawanzi za dicota mkuu??

Yaani nakudharau kweli nikikuona jf..... Ulikuja kwa mbwembwe, baada ya kupewa kati yako naona hata madeni yamepungua

bwahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

MTM,
Kaishamaliza mpunga wote..hahahahaha njaa mbaya
 
Mwalimu kwann usiende kuulizia kwa Lusana ukatambua bei yake
 
Wana JF Bwana yesu awe. Pamoja nanyi na kwa waislamu Asalama aleko.

Leo hapa kwetu magu kuna sherehe ktk sekondari ya wahitimu wa kidato cha NNE wana habari na wakazi wengi wa mwanza wamekuja kumuunga mkono mtoto wa rais ktk hafla hii.

Lililo nisukuma ni jambo moja baada ya hotuba bwana ridhwani ametoa ahadi ya kusaidia shule hii TANKI la SIMTANK la lita 10,000 ambalo amedai lina thamani ya Tsh 5,000,000. Baada ya kauli hiyi Mjadala ukaanza hapa miongoni mwa watu. Tuliohudhuria kuwa je Tanki hilo linathamani hiyo?

Sisi huku magu hamna matanki yanamna hiyo nikaamua kuleta huu Mjadala Mtusaidie kufahamu thamani halisi ya TANKI hilo la Maji kwani sisi waalimu hatufahamu bei ya Kitu hicho kwakua sijawahi kuwaza kununua Tanki la Namna hiyo.

Tunaomba mtu saidie isije ikawa tunapigwa Changa la Macho.


Sasa mwl. ujue vitu vingine si muhimu sana kuvileta humu, kimsingi mimi binafsi sijakuelewa mantiki yako hasa unataka nini? Ridhwan amekosea kukupeni hilo SIMTANK? unahoji gharama ya Simtank hilo kwani nyie mlimtuma la shilingi ngapi na yeye akaja kuwaambieni hizo laki tano? mi nadhani wakati mwingine tuwe na shukrani tu, kuna vitu vya kuhoji lakini si katika suala hilo.
 
Naomba kujua maana halisi ya mgeni rasmi na vigezo vinavyohitajika kuweza kupatiwa nafasi hiyo.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom