USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Alhamisi jimboni Chalinze. Nimegawa pikipiki kwa watendaji wa kata 6 za Halmashauri yetu ya Chalinze, kutembelea kiwanda cha Uzalishaji wa marumaru cha Keda, na kupokea vifaa tiba kwa ajili ya Vituo vya Afya viwili Kata za Kibindu na Msata na Zahanati vijiji 11.
Wakati tunakwbidhi pikipiki, tumewakumbusha Watendaji kutumia vifaa hivi kuzingatia makusudio ya kutolewa kwake. Wakawasikilize wananchi na kutoa ufumbuzi wa changamoto zao.
Tukikabidhi vifaa tiba tumewahimiza kuvitunza na kuvitumia kwa makusudio yake. Kazi kubwa inaelekezwa Kituo cha Afya Miono ambapo kazi ya ujenzi wa miundo mbinu inapaswa kuwa kipaumbele. Kwa upande wa kiwanda tumewashukuru wawekezaji kwa kutambua mchango wa Rais Samia Suluhu.
#KaziInaendelea
USSR
Wakati tunakwbidhi pikipiki, tumewakumbusha Watendaji kutumia vifaa hivi kuzingatia makusudio ya kutolewa kwake. Wakawasikilize wananchi na kutoa ufumbuzi wa changamoto zao.
Tukikabidhi vifaa tiba tumewahimiza kuvitunza na kuvitumia kwa makusudio yake. Kazi kubwa inaelekezwa Kituo cha Afya Miono ambapo kazi ya ujenzi wa miundo mbinu inapaswa kuwa kipaumbele. Kwa upande wa kiwanda tumewashukuru wawekezaji kwa kutambua mchango wa Rais Samia Suluhu.
#KaziInaendelea
USSR